Vijana acheni ujinga, hakuna Mambo ya Connection TAMISEMI

Vijana acheni ujinga, hakuna Mambo ya Connection TAMISEMI

Hi hope mko poa Sana.

Nimeshangaa kuona kijana mmoja eti anataka kutoa 500K kwa kiongozi Fulani ngazi ya wilaya eti atamsaidia kupata kazi Tamisemi.

Yaani huu ujinga wa vijana wa siku hizi ni hatari, wengine wanatoa 50K kwa mkuu wa Shule ili awaandikie Barua za kujitolea eti ndo watapata ajira.

Vijana acheni Ujinga, Tamisemi hakuna Rushwa, watu wanatenda haki hakuna vya Connection Wala Nini, hata mtoto wa waziri hawezi penyezwa kijinga.

Badirika
Hakuna pasipo na connection katika jamii ya wanadamu ila kama ni story za kwenye kahawa kwa mzee kibusha endelea na story.
 
20 June kinafanyika kikao cha mwisho kuhakikisha kwamba selection imezingatia vijijini. Tarehe 20 hiyohiyo June KATIBU Mkuu akiridhishwa ataitisha vyombo vya habari siku ya jumanne 21. Saa 7 mchana akisha maliza mkutano na vyombo vya habari mkekaa utaachiwa saa kuanzia 12 jioni siku hiyo hiyo.

Siki kumi na nne za kuripoti kama kawaida.

Hivyo ndugu zangu waalimu muandae NAULI. Tarehe 21 hadi 5 Julai muda wa kuripoti.

Omba MUNGU jina lako lirudi tu.

Kila la heri Ndugu watumishi wa umma.

Save hii comment ili uje uniambie UTABIRI WANGU umenyooka au la!.
Hii ni unabeti au unauhakika ?
 
Mliomaliza 2015 na 2016 andaeni mabegi kabisa.

Ila hawa wengine tuombe Muombe Mungu.
 
Haaaaa kwamba selection zilifanywa bila kuangalia vijiji, kwa tarifa yako kila shule/kituo Cha afya kilichoonekana kwenye mfumo kitapata Mtumishi,afu PDF ilikamilika since 19/05
Pdf ilikamilika tokea 19/5 acha kudanganya watu wewe.

Kama hujui kitu bora kukaa kimya.
 
Mliomaliza 2015 na 2016 andaeni mabegi kabisa.

Ila hawa wengine tuombe Muombe Mungu.
Hao na wenyewe wanafika zaidi ya 20,000 hawawezi kuchukuliwa wote, maana wangalia mahitaji then wanagawa kwa kila idadi, mfano walimu Wa awali 1000, science 2500 art 3000 n.k......ndio maana kwa science utawakuta Wa 2020 wapo.
 
Tutapigwa na ajira hela hadi tukome.

viva ccm
 
Ila huyu mwenye uzi bwana uzi umeanza akielezea hakunaga connection sahiv anaanza kuropoka connection ipo
 
Hao na wenyewe wanafika zaidi ya 20,000 hawawezi kuchukuliwa wote, maana wangalia mahitaji then wanagawa kwa kila idadi, mfano walimu Wa awali 1000, science 2500 art 3000 n.k......ndio maana kwa science utawakuta Wa 2020 wapo.
Walimu wa awali ndio wapi?

Au hawa wa early childhood?
 
20 June kinafanyika kikao cha mwisho kuhakikisha kwamba selection imezingatia vijijini. Tarehe 20 hiyohiyo June KATIBU Mkuu akiridhishwa ataitisha vyombo vya habari siku ya jumanne 21. Saa 7 mchana akisha maliza mkutano na vyombo vya habari mkekaa utaachiwa saa kuanzia 12 jioni siku hiyo hiyo.

Siki kumi na nne za kuripoti kama kawaida.

Hivyo ndugu zangu waalimu muandae NAULI. Tarehe 21 hadi 5 Julai muda wa kuripoti.

Omba MUNGU jina lako lirudi tu.

Kila la heri Ndugu watumishi wa umma.

Save hii comment ili uje uniambie UTABIRI WANGU umenyooka au la!.
Mwongo sana huyu mtu, ndomana walimu mnadharaulika ivi tangu lini watangaze selection za walimu mda huu halafu waachie jioni??, ukiona anatangaza maana ake mda anaotangaza na matokeo yapo mtandaoni Tyr. Nyie walimu mna njaa kali sana akili zenu zinawatesa kwann msingesoma kwa bidii muende Afya???? Wenzenu wa Afya ajira 7000 walioomba ata 40000 hawafiki ila nyie mpo mpaka laki [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]mpo laki [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Mnalia Lia sana PDF likishatoka mnaanza tena " serikali inatangaza lini ajira za afya na ualimu"?
 
Mwongo sana huyu mtu, ndomana walimu mnadharaulika ivi tangu lini watangaze selection za walimu mda huu halafu waachie jioni??, ukiona anatangaza maana ake mda anaotangaza na matokeo yapo mtandaoni Tyr. Nyie walimu mna njaa kali sana akili zenu zinawatesa kwann msingesoma kwa bidii muende Afya???? Wenzenu wa Afya ajira 7000 walioomba ata 40000 hawafiki ila nyie mpo mpaka laki [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]mpo laki [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Mjomba utakufa kwa jazba. Unautamani sana UALIMU. Ila wapi au ndo mnalazimisha kila mtu asome afya?!

Hao afya wenyewe walijisomesha bila waalimu hadi kufikia hapo walipo??!!

Acha shibe zako za kande zikusumbue mwenyewe. Na infinix yako ya kujibu pumba hapa.[emoji115][emoji115][emoji115]
 
Back
Top Bottom