Vihoja wanavyofanya mwaka wa kwanza pindi wanapoingia chuoni kwa mara ya kwanza

Utakua unamjua Mama Quantity pale Sua getini
Mimi kioja changu wakati naripoti Nimetoka kunywa hapo mjini ilikuwa SAA 7 baada ya bia zangu kadhaa nikaita bodaboda mpaka sua na begi langu nyuma nikafika nikaenda sehemu ya usajili na begi langu la mgongoni sikulifunga nyuma vzur nikaishia kudondosha vitu kadhaa huko njiani sina habari


Kwenye usajili nilikuwa naongea pumba mdomo unatoa harufu ya pombe hata kweny ile hospital yetu ambapo unaenda Pima afya wakati naenda walijua kabisa huyu kanywa nurse mmoja pale akamuita auxiliary police wale walinzi wetu sua anisaidie kidogo nimalizie usajili ukwel yule mzee alicheka sana akaniambia kijana wewe sio mzima sipo makini akaniambia umeletwa kozi gan nkamwambia agricultural engineering akasema engineer mlevi we kweli umalizi chuo nkacheka nkamwambia sawa mzee


Nashkuru nilimaliza usajili ndani ya siku 3 ela nilitumia vibaya kwenye pombe ilinibidi niwe nanunua ukoko plus yule mama kibandani alinizoea nikawa ananijazia
 
First year wamekuwa wakifanya vimbwanga mbalimbali pale tu wanaopenda kufanya usajili mimi nimevinyaka hivi kwa first year wanaoingia chuoni kufanya usajili mwaka huu.

Navibandika hapa na wewe bandika vyako hapo chini tuongezea angalau siku za kuishi.

View attachment 1245104View attachment 1245105View attachment 1245106View attachment 1245109
View attachment 1245103
Mkuu hawa walikuwa special program chini ya udhamini wa Benki ya dunia nadhani, walikuwa wametoka familia maskini za vijijini. Na program yao ilikuwa mahususi kwa ajili ya ualimu wa haraka. Ila serikali na uongozi wa UDOM ulichowafanya, kuna watu kama kweli kuna Jehanam basi lazima wapite. hawa watoto walichofanyiwa basi tu.
 
Ndo mana ajira hazitolewi kumbe kwa sabab ya huu ulimbuken.. What's funny mtu kuja na tranka kwa ajili ya kuhifadhia vitu vyake..

Hawa ni watoto wa wakulima na huwa Mara nyingi wanamalizaga chuo na GPA safi.. Achana na Hawa wakifikaga chuo wanajikuta ma models kumbe amna kitu
 
Waafrica ni shida sana sasa kama huo ndo uwezo wake unataka abebe nini? afu ni zuri kwa ulinzi wa vitu vyake ,first year wako real na ilipaswa waremain hivyo ,kwa ujumla wanachuo ni watu wa hali ya chini a bunch of dependants wote ningekuwa mimi ndo muamuzi wanachuo wote
1.Kwanza wavae sare yenye muonekano kama kombati za kijeshi
2.Asubuhi sio ombi kila mwanachuo anapaswa kukimbia lisaa limoja ,unless anasababu za kiafya
3.Marufuku kuingia na smart phone lecture rooms
4.Kila jumatatu hauingii chuo bila kupimwa alcohol test getini
Hizi mambo za kuandaa wajenzi wa taifa nyoronyoro hazifai kabisaa
hyo namba4 itakuwa siku ya mikojo chuoni maan kwa nyomi la wanafunzi waaanze kupimana kila jumatat aahahhhahaha Mikojo day hyo
 
Hao ni form one bana!! siyo first year wa chuo!!! hao wa chuo tayari wamesha kuwa wajanja mnoo! kutokea sec. labda km ni wale wa sec. za day ni mamburula hayajuagi kitu yale!
 
Back
Top Bottom