mama kubwa
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 6,527
- 10,538
Nasikia TTCL GB 1.2 1000 wiki nzima. Kweli nyumbani kumenoga.
Hiyo unafuu upo Airtel bado wanazingua tuuNimejiweka Zantel ni burudani kabisa raha mustarehe.
1500=1.5 gb-160 mnts-500 sms per 7 dys.
1000=1 gd 7 dys.
10,000=10 gb 30 dys.
Aaisee huu mtandao una kas Sana yaani Ni mtelezo hatari wewe fikiri 2000 unapata gb 3.5 kwa saa 24 aiseemnaoendelea kutumia mtandao wa vodacom hadi leo bila shaka ndio mashabiki wa kiba nyie yaani asili yenu ni ubishi na kukumbatia utopolo
Sasa mbona mimi iko hivyo hadi nilihisi walikosea kumbe nikawapigia simu wakaniambia yajayo yanafurahisha kwani nitakuwa na gb 2 kwa buku jeroHakuna kitu ni uongo tu.View attachment 1753112
dawa ni kuacha kutumia laini zao tuHakuna kitu ni uongo tu.View attachment 1753112
Nimejiweka Zantel ni burudani kabisa raha mustarehe.
1500=1.5 gb-160 mnts-500 sms per 7 dys.
1000=1 gd 7 dys.
10,000=10 gb 30 dys.
Mimi niliacha kwa muda sana kuwatumiaa Kama week tatu hivi bilakuweka bandle Wala salio nikabaki zangu airtel basi leo nakaa zangu jioni nikaona nitembelee nione kama Kuna mabadiliko ndio nikakutana na mabadiliko hayodawa ni kuacha kutumia laini zao tu
Ni kweli hata hivyo tumeshasepa,...... View attachment 1753096
Mtandao gani huu?Sasa mbn mm iko hvyo adi niliisi walikose kumbe nikawapigia simu wakaniambia yajao yanafurahisha kwani nitakuwa na gb 2 kwa buku jeroView attachment 1753117