Ramon Abbas
JF-Expert Member
- May 4, 2021
- 1,964
- 3,900
Sijakuuliza kuhusu salio,Meseji inakataa kwenda. Nina balance Tsh. 0
nimekwambia onesha screenshot ya namna ulivyotuma hio sms
Sijakuuliza kuhusu salio,Meseji inakataa kwenda. Nina balance Tsh. 0
Daaa aseee wazee wakutoboa usiku tumeachwa wakiwa kama wana Ukawa. Siamini sasa Muvi kali naenda kuzifata kwenye mabanda muvi zenyewe zimetafasiliwa sizipendi hata kidogo muvi za kutafsiriwaHamna tena
Daaa aseee wazee wakutoboa usiku tumeachwa wakiwa kama wana Ukawa. Siamini sasa Muvi kali naenda kuzifata kwenye mabanda muvi zenyewe zimetafasiliwa sizipendi hata kidogo muvi za kutafsiriwa
YesPoa lakini ni uhakika ndugu yangu ni mitandao yote? cpendi ubabaishaji
Zamani ilikuwa ni 500kbps (kama 60KBps)Hivi spidi ya internet kwa voda nnapokuwa nimemaliza GB zangu 37 za mwezi inafika ngapi kwa wale mliounga hiki kifurushi cha 50,000
Duh.. iyo 60KBps hata browsing si ni shida tupuZamani ilikuwa ni 500kbps (kama 60KBps)
Site za kawaida kama jf unabrowse vizuri tu, ila site yenye picha nyingi na script kubwa itachukua muda.Duh.. iyo 60KBps hata browsing si ni shida tupu
Njoo inboxNaipataje?
Mkuu kwa sasa hivi una offer/bando gani?maana hali ni mbaya
Ni 15k 72gb mkuu per yearMkuu kwa sasa hivi una offer/bando gani?maana hali ni mbaya
Nakuja pm mkuuNi 15k 72gb mkuu per year
Mkuu nitumie namba yako ya muamala pm.Ni 15k 72gb mkuu per year
Sawa mkuuNakuja pm mkuu
Nakuja Pm mkuuNi 15k 72gb mkuu per year
niunge kwenye conservation yako mkuuNakuja pm mkuu
Mtandao ganiNi 15k 72gb mkuu per year
Mkuu mbona umepotea pm hata namba ya muamala hujanipa?Sawa mkuu