....Nilinunua 2014 kwa 60...kama ni 25 tu nitaifata hata kesho...... thanks.....Huwezi mkuu. Modem za 4g bei rahisi siku hizi nafkiri 25,000 zantel wanauza, na unaweza kuitoa lock ukatumia mitandao mingine.
......
Hivi hii unlimited bando ya 1500 6to12 y halotel.....ni unlimited kweli???.