Tempest
Senior Member
- Apr 26, 2022
- 192
- 296
Simu nna 4G tu ambayo inajitahidi kidogo , nahofia kununa na device yao halafu iwe miyayushoKama Kuna simu ya 5G test, si kweli kwamba 5G coverage ipo dar nzima, 5G unaweza kua km 1 toka mnara na usiipate, ipo sensitive sana na vikwazo kama miti, milima, Majengo marefu etc.
Natumiaga ile ya 30+ GB sa SME hainaga shida ila muda mwingine tu inaweza kuwa slow