Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

hawa wanahost youtube
https://xmovies8.ru
Samahani nipo out of mada kiongozi...

Ni hivi simu yangu (HTC e9 plus) nikitumia data halotel ina overheat sana na kuisha betri haraka tofauti na ninapokuwa natumia data kwa voda....he tatizo ni nini?

Nilijaribu kuuliza baadhi ya watu wanaotumia halotel data kwa huku nilipo wakasema wana experience the same issue....

Natanguliza Shukrani
 
Samahani nipo out of mada kiongozi...

Ni hivi simu yangu (HTC e9 plus) nikitumia data halotel ina overheat sana na kuisha betri haraka tofauti na ninapokuwa natumia data kwa voda....he tatizo ni nini?

Nilijaribu kuuliza baadhi ya watu wanaotumia halotel data kwa huku nilipo wakasema wana experience the same issue....

Natanguliza Shukrani
duuuuh...kwa hapa naufyata kupisha wajuaji...
 
voda ndo hapo huwa naikubali 3gb siku 5 na kwa speed nzuri ajabu.
Unaipataje hiyo mkuu
Hii ni thread ya vifurushi ambavyo sio rasmi kama vya chuo au vifurushi maalum ambavyo vinatoa kiasi kikubwa cha internet, nitalist vifurushi ninavyovifahamu kama kuna wanaojua vyengine watasaidia

Tigo
-1gb kwa shilingi 600

Nunua vocha ya 1000 halafu ingiza mfumo huu *104*namba ya vocha*03# watakukata shilingi 600 na utapewa 1gb ya internet

-Vifurushi vya chuo

Hivi utapata mb na dakika kwa pamoja ila nitaandika tu mb, shilingi 1500 mb500 kwa wiki na sh500 ni mb300 kwa wiki. kujiunga bonyeza *148*01*20# au bonyeza *148*00# kisha chagua vifurushi maalum, itabidi uwe na line ya chuo

Vodacom

-3gb kwa sh 2000 au 800mb kwa sh 1000
Bonyeza *149*03# kupata hivi vifurushi, kutegemeana na line utapata kifurushi kimoja kati ya hivyo
-Vifurushi vya chuo
Kwa sh 500 utapata mb500, 1500 utapata 1gb na 2500 utapata 2gb zinazodumu wiki nzima, kujiunga piga *149*42#

Airtel
-Vifurushi vya chuo
Hawa jamaa wana vifurushi vizuri zaidi vya chuo hasa cha usiku ambacho unapata 10gb kwa sh 600, pia kipo cha kawaida unapata 2gb kwa 1000 na 1.2gb kwa sh600. Kuvipata unahitaji kununua vocha za chuo zinazopatikana vyuoni au kutumia airtel money *150*60# kisha uchague ofa kabambe nafkiri option ya 6.

Halotel
-Vifurushi vya chuo

Hawa wana kifurushi kizuri cha chuo cha mwezi sh 10,000 unapata 10gb ni kizuri kwa wasiopenda usumbufu wa kuunga unga vifurushi, pia kipo cha wiki sh 500 mb600, kujiunga *148*55#
-Usiku 10g kwa sh 1500
Pia kipo kifurushi cha usiku kwa wale ambao airtel haina speed kwao, kujiunga *148*66# kisha utaenda upande wa internet.

TTCL
-Boom pack (vya chuo)

Kwa shilingi 500 utapata 500MB, shilingi 1500 1gb na shilingi 2500 3gb kujiunga *148*30#

Smart
-Unlimited bundle
Kwa siku unlimited 1,000 kwa wiki 7,000 na kwa mwezi 20,000 tuma neno DATASIKU au DATAWIKI au DATAMWEZI kwenda 100, vifurushi hivi ni kwa watu walio nje ya dar tu


Vifurushi vya youtube
Zipo website nyingi sana wanahost movie youtube, unaweza jiunga kifurushi cha youtube kisha ukatembelea hizo site na kudownload, sema utahitaji bundle nyengine ya kubrowse na bundle ya youtube ya kudownloadia. vipo kila mtandao.

Kuna kifurushi unaona kinastahili kuwa hapo? usisite kukitaja chini.

Remote
 
Hii ni thread ya vifurushi ambavyo sio rasmi kama vya chuo au vifurushi maalum ambavyo vinatoa kiasi kikubwa cha internet, nitalist vifurushi ninavyovifahamu kama kuna wanaojua vyengine watasaidia

Tigo
-1gb kwa shilingi 600

Nunua vocha ya 1000 halafu ingiza mfumo huu *104*namba ya vocha*03# watakukata shilingi 600 na utapewa 1gb ya internet

-Vifurushi vya chuo

Hivi utapata mb na dakika kwa pamoja ila nitaandika tu mb, shilingi 1500 mb500 kwa wiki na sh500 ni mb300 kwa wiki. kujiunga bonyeza *148*01*20# au bonyeza *148*00# kisha chagua vifurushi maalum, itabidi uwe na line ya chuo

Vodacom

-3gb kwa sh 2000 au 800mb kwa sh 1000
Bonyeza *149*03# kupata hivi vifurushi, kutegemeana na line utapata kifurushi kimoja kati ya hivyo
-Vifurushi vya chuo
Kwa sh 500 utapata mb500, 1500 utapata 1gb na 2500 utapata 2gb zinazodumu wiki nzima, kujiunga piga *149*42#

Airtel
-Vifurushi vya chuo
Hawa jamaa wana vifurushi vizuri zaidi vya chuo hasa cha usiku ambacho unapata 10gb kwa sh 600, pia kipo cha kawaida unapata 2gb kwa 1000 na 1.2gb kwa sh600. Kuvipata unahitaji kununua vocha za chuo zinazopatikana vyuoni au kutumia airtel money *150*60# kisha uchague ofa kabambe nafkiri option ya 6.

Halotel
-Vifurushi vya chuo

Hawa wana kifurushi kizuri cha chuo cha mwezi sh 10,000 unapata 10gb ni kizuri kwa wasiopenda usumbufu wa kuunga unga vifurushi, pia kipo cha wiki sh 500 mb600, kujiunga *148*55#
-Usiku 10g kwa sh 1500
Pia kipo kifurushi cha usiku kwa wale ambao airtel haina speed kwao, kujiunga *148*66# kisha utaenda upande wa internet.

TTCL
-Boom pack (vya chuo)

Kwa shilingi 500 utapata 500MB, shilingi 1500 1gb na shilingi 2500 3gb kujiunga *148*30#

Smart
-Unlimited bundle
Kwa siku unlimited 1,000 kwa wiki 7,000 na kwa mwezi 20,000 tuma neno DATASIKU au DATAWIKI au DATAMWEZI kwenda 100, vifurushi hivi ni kwa watu walio nje ya dar tu


Vifurushi vya youtube
Zipo website nyingi sana wanahost movie youtube, unaweza jiunga kifurushi cha youtube kisha ukatembelea hizo site na kudownload, sema utahitaji bundle nyengine ya kubrowse na bundle ya youtube ya kudownloadia. vipo kila mtandao.

Kuna kifurushi unaona kinastahili kuwa hapo? usisite kukitaja chini.

Remote
Asante
 
Samahani nipo out of mada kiongozi...

Ni hivi simu yangu (HTC e9 plus) nikitumia data halotel ina overheat sana na kuisha betri haraka tofauti na ninapokuwa natumia data kwa voda....he tatizo ni nini?

Nilijaribu kuuliza baadhi ya watu wanaotumia halotel data kwa huku nilipo wakasema wana experience the same issue....

Natanguliza Shukrani

hili suala tulishaliongea humu halotel hana 3G/WCDMA yeye ana hspa na hspa+ tu

mitandao mengine wanatumia wcdma kama standby na kutunza charge na inakuja h au h+ pale tu unapokuwa unatumia internet, lakini wao halotel muda wote wanakuwa h+ ambayo inakula sana charge.

sio wewe tu hata mimi inanitokea na watu wengi tu.
 
Hallotel wamesha kuwa wezi, yani ukinunua bando halikai kama mwanzo..
Makampuni ya simu ni wezi balaa. Hakuna wakutusemea. Viongozi wanashindwa kusimamia na kukomesha wizi huu. TCRA wapo kimya tu hawana meno.ukitembelea page za Facebook za haya makampuni watu wamalalamika sana kuhusu kuibiwa, huduma mbovu.TTCL ndo hvyo tena.
 
hili suala tulishaliongea humu halotel hana 3G/WCDMA yeye ana hspa na hspa+ tu

mitandao mengine wanatumia wcdma kama standby na kutunza charge na inakuja h au h+ pale tu unapokuwa unatumia internet, lakini wao halotel muda wote wanakuwa h+ ambayo inakula sana charge.

sio wewe tu hata mimi inanitokea na watu wengi tu.
Shukrani sana kiongozi,nimepata kuelewa
 
Hii ni thread ya vifurushi ambavyo sio rasmi kama vya chuo au vifurushi maalum ambavyo vinatoa kiasi kikubwa cha internet, nitalist vifurushi ninavyovifahamu kama kuna wanaojua vyengine watasaidia

Tigo
-1gb kwa shilingi 600

Nunua vocha ya 1000 halafu ingiza mfumo huu *104*namba ya vocha*03# watakukata shilingi 600 na utapewa 1gb ya internet

-Vifurushi vya chuo

Hivi utapata mb na dakika kwa pamoja ila nitaandika tu mb, shilingi 1500 mb500 kwa wiki na sh500 ni mb300 kwa wiki. kujiunga bonyeza *148*01*20# au bonyeza *148*00# kisha chagua vifurushi maalum, itabidi uwe na line ya chuo

Vodacom

-3gb kwa sh 2000 au 800mb kwa sh 1000
Bonyeza *149*03# kupata hivi vifurushi, kutegemeana na line utapata kifurushi kimoja kati ya hivyo
-Vifurushi vya chuo
Kwa sh 500 utapata mb500, 1500 utapata 1gb na 2500 utapata 2gb zinazodumu wiki nzima, kujiunga piga *149*42#

Airtel
-Vifurushi vya chuo
Hawa jamaa wana vifurushi vizuri zaidi vya chuo hasa cha usiku ambacho unapata 10gb kwa sh 600, pia kipo cha kawaida unapata 2gb kwa 1000 na 1.2gb kwa sh600. Kuvipata unahitaji kununua vocha za chuo zinazopatikana vyuoni au kutumia airtel money *150*60# kisha uchague ofa kabambe nafkiri option ya 6.

Halotel
-Vifurushi vya chuo

Hawa wana kifurushi kizuri cha chuo cha mwezi sh 10,000 unapata 10gb ni kizuri kwa wasiopenda usumbufu wa kuunga unga vifurushi, pia kipo cha wiki sh 500 mb600, kujiunga *148*55#
-Usiku 10g kwa sh 1500
Pia kipo kifurushi cha usiku kwa wale ambao airtel haina speed kwao, kujiunga *148*66# kisha utaenda upande wa internet.

TTCL
-Boom pack (vya chuo)

Kwa shilingi 500 utapata 500MB, shilingi 1500 1gb na shilingi 2500 3gb kujiunga *148*30#

Smart
-Unlimited bundle
Kwa siku unlimited 1,000 kwa wiki 7,000 na kwa mwezi 20,000 tuma neno DATASIKU au DATAWIKI au DATAMWEZI kwenda 100, vifurushi hivi ni kwa watu walio nje ya dar tu


Vifurushi vya youtube
Zipo website nyingi sana wanahost movie youtube, unaweza jiunga kifurushi cha youtube kisha ukatembelea hizo site na kudownload, sema utahitaji bundle nyengine ya kubrowse na bundle ya youtube ya kudownloadia. vipo kila mtandao.

Kuna kifurushi unaona kinastahili kuwa hapo? usisite kukitaja chini.

Remote
Edit hapo Airtel Wana Night Pack (Amsha Popo) kwa Tsh. 1,500 unapata 10GB.
 
Hzo 100 za Usiku magumashi matupu maana zikiisha zile mb500 huwez peruzi hata km ni saa8 usiku mpk ujiunge tena.
Kweli mkuu Mimi imenitokea Jana nilikua nimetumia MB 500 Bahati nzuri Simu yangu huwa inanirekodia Matumizi cha ajabu zile MB 100 hata sikuzitumia
 
Back
Top Bottom