Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 30,724
- 39,817
- Thread starter
- #9,101
Za 5G na Unlimited? Kama unaweza afford chukua. 5g nzuri.Mkuu chief hizi router za sasahv unazionaje? Hasa airtel
Za 5G na Unlimited? Kama unaweza afford chukua. 5g nzuri.Mkuu chief hizi router za sasahv unazionaje? Hasa airtel
Hio ya 5g nataka niwauzie na majirani kuna madogo wa shuleZa 5G na Unlimited? Kama unaweza afford chukua. 5g nzuri.
Speed ni fixed 10 ama 30 etc inategemea na watumiaji, kama ni 10mbps usitegemee watu wengi kutumia pamoja, maximum kama wa 5 hivi kwa mkupuo na kupata speed nzuri.Hio ya 5g nataka niwauzie na majirani kuna madogo wa shule
Terms and condition hua hatusomagi, ngoja tuone atafika wapi, ila huyu mzee wa spana kwa hili hatoboiHuyu jamaa apo mwisho mbona kama kaharibu kwa kuthibitisha kuwa kweli amekwenda kinyume cha mkataba, kwa kuwa ukisoma kwenye Sheria na Masharti aliyoyakubali ni kwamba huruhusiwi kuhama eneo na hiyo Router bila taarifa wala kutumia hiyo Router kwenye eneo lisilo na 5g, na ikiwa utatumia Airtel inaweza kusitisha huduma.
View attachment 2945563
Au mimi Kiingereza sijui kusoma kwa kiwango cha wanasheria wake?
Huwezi kwenda Mahakamani na kusema matangazo yao yalisema hivi wakati unaambiwa usome kwa makini mkataba na usipende kusikiliza marketing au sales department; hawa watu wataongea chochote ili ununue bidhaa zao na maneo yao si "legally binding" hayana mashiko kisheria.
Anyway kila la kheri kwake. Mimi hii Router nilighairi kuichukua kwa kuwa ninajua figisu za Airtel Tanzania.
Wakuu hebu kuwen makin na hizi ishu bora ufike ofisin wakuunge wao nishapigwa 40000 kwenye hiz mambo na member wa humuhumu no trust any one inauma ila ni funzo bora upatiwe huduma kwanza ndipo ulipie.Karibuni kuungwa katika huduma ya SME airtel , halotel na tigo tupunguze gharama za matumizi ya bando
Kama bado mnampango wa kuendelea kutumia Airtel 5g Sina ushauli ila taarifa nilizopata Airtel Wana limit data na sio unlimited router yangu nimelipia mara mbiliSpeed ni fixed 10 ama 30 etc inategemea na watumiaji, kama ni 10mbps usitegemee watu wengi kutumia pamoja, maximum kama wa 5 hivi kwa mkupuo na kupata speed nzuri.
Waliposhusha speed ulikua unatumia 4G ama 5G? Kama ni 4G ulijaribu kwenda eneo lenye 5G speed ikawa ndogo bado?Kama bado mnampango wa kuendelea kutumia Airtel 5g Sina ushauli ila taarifa nilizopata Airtel Wana limit data na sio unlimited router yangu nimelipia mara mbili
nikidownload file kubwa kama mbili tu za gb 45 mtandao unashuka kifurushi kikikaribia kuisha wanapandisha speed after that inashuka Tena nimeenda mpk makao makuu Yao Morocco hakuna msaada wowote zaidi Wanachukua number za router wanasema watafanyia kazi
na nilichokuja kugundua kwa wateja wote wa mwanzo hii changamoto wanapitia ila waliosajiri Ivi soon wote hawapitii hii changamoto kama wanawavuta maji mengi
Wanaumusha sanaa
Hii changamoto kwangu sijawahi kukutana nayo.Kama bado mnampango wa kuendelea kutumia Airtel 5g Sina ushauli ila taarifa nilizopata Airtel Wana limit data na sio unlimited router yangu nimelipia mara mbili
nikidownload file kubwa kama mbili tu za gb 45 mtandao unashuka kifurushi kikikaribia kuisha wanapandisha speed after that inashuka Tena nimeenda mpk makao makuu Yao Morocco hakuna msaada wowote zaidi Wanachukua number za router wanasema watafanyia kazi
na nilichokuja kugundua kwa wateja wote wa mwanzo hii changamoto wanapitia ila waliosajiri Ivi soon wote hawapitii hii changamoto kama wanawavuta maji mengi
Wanaumusha sanaa
Sikuwahi kwenda ila nilitoa taarifa kwao Airtel wakasema Ilo tatizo limetokea baada ya kuwa walikua wanafanya malegebisho but soon ingekaa sawa but after kama 2 weeks ikakubali nikajiungaWaliposhusha speed ulikua unatumia 4G ama 5G? Kama ni 4G ulijaribu kwenda eneo lenye 5G speed ikawa ndogo bado?
Uliwahi ku experience changamoto ya speed kwenye eneo lingine nje ya uTorrent?Sikuwahi kwenda ila nilitoa taarifa kwao Airtel wakasema Ilo tatizo limetokea baada ya kuwa walikua wanafanya malegebisho but soon ingekaa sawa but after kama 2 weeks ikakubali nikajiunga
Tena kama kawaida yangu nikaweka mizigo ya kutosha torrent almost kama gb 130hiv haikumaliza hata week ikawa slow Tena nikawachek Tena wakaniomba number ya router but nothing happen
ikawa slow hivo hivo mwezii ulivokaribia kuisha wakaongeza speed nikajaribu Tena kuweka mizigo yangu torrent haikumaliza hata siku hapo nikawa nime notice kitu kwamba walinipa baath ya gb tu nitumie Ili nipate nguvu ya kulipia Tena next month
Mkuu jaribu pia ikiwa slow uende eneo la 5G isijekua wanapiga pin kwenye minara ya 4G tu.Sikuwahi kwenda ila nilitoa taarifa kwao Airtel wakasema Ilo tatizo limetokea baada ya kuwa walikua wanafanya malegebisho but soon ingekaa sawa but after kama 2 weeks ikakubali nikajiunga
Tena kama kawaida yangu nikaweka mizigo ya kutosha torrent almost kama gb 130hiv haikumaliza hata week ikawa slow Tena nikawachek Tena wakaniomba number ya router but nothing happen
ikawa slow hivo hivo mwezii ulivokaribia kuisha wakaongeza speed nikajaribu Tena kuweka mizigo yangu torrent haikumaliza hata siku hapo nikawa nime notice kitu kwamba walinipa baath ya gb tu nitumie Ili nipate nguvu ya kulipia Tena next month
Hata uki connect kwenye simu tu speed inakua ndogo sana hata Instagram haifungukiUliwahi ku experience changamoto ya speed kwenye eneo lingine nje ya uTorrent?
Kwasababu uTorrent ina changamoto zake hususani kama unajua mechanism ya zile seeders, leachers na trackers
Sina uhakika juu ya Ilo ila ntajalibuMkuu jaribu pia ikiwa slow uende eneo la 5G isijekua wanapiga pin kwenye minara ya 4G tu.
Ulijaribu kuwasiliana na team leader aliyekuletea?Hata uki connect kwenye simu tu speed inakua ndogo sana hata Instagram haifunguki
Ilo tatizo lilikuwa kama hili langu?Ulijaribu kuwasiliana na team leader aliyekuletea?
Ishawahi kutokea kwa rafiki yangu situation kama hiyo na tulimpigia tukamuambia aje na Router nyingine wakati hii akienda nayo ofisini kwao kuifanyia marekebisho.
Alikuja tukampa Router, naye akatuachia nyingine kama mbadala.
Siku kadhaa mbele alikuja kutuletea ile Router yetu baada ya kuifanyia ukarabati. Na hilo tatizo halikuwahi kujitokeza tena.
Yeah kama lako kabisa.Ilo tatizo lilikuwa kama hili langu?
Dah, kubaabeki! Beta Testers.Kama bado mnampango wa kuendelea kutumia Airtel 5g Sina ushauli ila taarifa nilizopata Airtel Wana limit data na sio unlimited router yangu nimelipia mara mbili
nikidownload file kubwa kama mbili tu za gb 45 mtandao unashuka kifurushi kikikaribia kuisha wanapandisha speed after that inashuka Tena nimeenda mpk makao makuu Yao Morocco hakuna msaada wowote zaidi Wanachukua number za router wanasema watafanyia kazi
na nilichokuja kugundua kwa wateja wote wa mwanzo hii changamoto wanapitia ila waliosajiri Ivi soon wote hawapitii hii changamoto kama wanawavuta maji mengi
Wanaumusha sanaa
30,000 GB 25 ni cha zamani ama kipya? Waliwahi kuniambia huwezi badili vifurushi vya zamani kuja vipya, mpaka ucancel utengeneze upya postpaid.Nawezaje kubadili kifurushi cha tigo postpaid cha elfu 30 kwenda elfu 15?
Gb 25 kwa mwezi simulizi
Cha zamani30,000 GB 25 ni cha zamani ama kipya? Waliwahi kuniambia huwezi badili vifurushi vya zamani kuja vipya, mpaka ucancel utengeneze upya postpaid.