Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

Malalamiko ya wadau unayaona lakini?


Sema yule wakala alosema ile 200k imetolewa wafanyakazi wa namna ile hawafai kabisa ofisini

Hiki ndio napitia kwenye Supakasi.

Kila nikiongea na customer care wananiambia tatizo lako mtafute Key Account Manager wako ndio anaweza kukusaidia. Nikiwaambia waniangalizie kwenye system wanaruka wanasema hawana access.
Wananiambia tu nenda ulijisajiri watakupatia wakati alienisajili na huduma nilimtoa huku JF na sasa hivi anaruka vipengele vya Voda.

Ushauri wangu ni bora kwenda kwenye maduka makubwa kuliko haya yanayotembea yakisikia unless kifurushi ni cha Backdoor.
 
Mitandao ya simu speed sio kama Fiber ila reliability ni uhakika, Bora ukomae na 5G kama unaweza ku afford.
Chief asante sana kwa mwongozo. Binafsi naweza ku afford ila sikuitaka kuchagua huduma ghali sana maana sina matumizi makubwa na ni kwa ajili ya matumizi ya nyumbani pekee. Otherwise nimekusoma mkuu.
 
Nimeona malalamiko ya wadau huko Insta kuhusu vifurishi vya 5g vya Airtel
IMG_9176.jpeg
 
Hawa jamaa mambo yao wanafanya kitanzania kabisa, hakuna uwazi, pengine hata sio kampuni unaweza kuta kulikua na ofa 70k kifurushi cha biashara mtu akabamizwa akalipia router watu wamekula hela.
Lakini humu si kuna wadau waliokuwa wamelipia connection fee na wananunua hicho cha 70K

Vipi wadau hicho kifurushi kishaliwa kichwa mmefanya siri?

Kingsmann
 
Lakini humu si kuna wadau waliokuwa wamelipia connection fee na wananunua hicho cha 70K

Vipi wadau hicho kifurushi kishaliwa kichwa mmefanya siri?

Kingsmann
Hapana mkuu, kifurushi hakijaliwa kichwa kipo palepalee..

Juzi nimetoka kumlipia jamaa yangu ambaye naye alichukua router ya airtel, yeye hana line ya airtel huwa anaweka pesa kwangu kisha namnunulia kwa line yangu..

Screenshot_2023-12-26-12-11-09-788_com.google.android.apps.messaging-edit.jpg
 
Labda nitoe ushauri kwa wadau wa Router za Airtel waloungwa Enteprise kwa ahadi kwamba baada ya muda wataweza kujiunga na kifurushi cha 70K.

Bebeni router zenu muende Airtel Shop mlizo karibu nazo mlipie 200k ili wawabadilishie category za router kutoka Enteprise kwenda Retail maana its possible.

Wakigoma kubadilisha category, as long as hizo router hamkuzilipia basi warudishieni kisha mchukue router zingine za Retail. Hapo mnakuwa kwenye win-win situation. Either wabadilishe category, wakikataa mnawasusia hizo router mnachukua zingine za Retail..

Mimi wakati naungwa, nilikuwa namfuatilia aloniunga mwanzo mpaka mwisho, kwenye kusajili Router inafika sehemu system inampa chaguo la Category (Either Retail au Enteprise). Hivyo sidhani kama ni possible waliowekwa category ya Enteprise wakapata access ya kifurushi cha 70K.

Hata unaponunua kifurushi inakuambia upo category gani, either Retail au Enteprise..

IMG_20231226_123218.jpg


IMG_20231226_123322.jpg
 
Back
Top Bottom