wamisako
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 917
- 869
Inadumu kwa siku ngap?Yani umeniokoa hyo ya tigo nimeweka imekubali nilikua nanunua 1 gb kwa elf2
Inadumu kwa siku ngap?Yani umeniokoa hyo ya tigo nimeweka imekubali nilikua nanunua 1 gb kwa elf2
nimejaribu kubonyeza hiyo menyu ya *149*03# mara kibao lakin vifurushi vyangu havijabadilika ila sikati tamaa nitakomaa hadi kielewekepia kwenye voda kuna 51gb kwa 50,000 mwezi, 10gb kwa 10,000 kwa wiki, vya siku ni 3gb kwa 2,000 , 800mb kwa 1000 na 300mb kwa miatano. unabonyeza *149*03#. endelea kubonyeza hata mara 20 hadi upate kifurushi unachokitaka. hivi ndiyo natumia kupakua movies na kucheki mechi.
vipi chief umefanikiwa kupata vifurushi zaid kwenye hii menyu ya *149*03#unamaanisha kila nikiendelea kubonyeza vifurushi vinabadilika?
yap, huwa napenda niwe na line zote, nchi hii kila eneo mtandao fulani ni bora kuliko mwengineHONGERA SANA MKUU....KWA KUTUPATIA MAUJUZI.....inamaana mkuu laini zote hizo unazo?
thanx nimeshabadilishakwa tigo chief ni mb 500 sio 700
cha chuo hichi right?*149*81#
mkuu zantel sijaiona...hapo vipi haijakizi vigezo unavyo vihitaji? kimtandao...yap, huwa napenda niwe na line zote, nchi hii kila eneo mtandao fulani ni bora kuliko mwengine
Uko pande zipi Mkuu?, mbona voda kwenye simu yangu H ni mizinguo mitupu?voda ndo hapo huwa naikubali 3gb siku 5 na kwa speed nzuri ajabu.
Yap mkuucha chuo hichi right?
Yap mkuucha chuo hichi right?
Mimi nataka ya wiki!Ya siku saa 24 nimenunua tigo ya elf1 nimepata gb1
hapana, baadae nitajaribuvipi chief umefanikiwa kupata vifurushi zaid kwenye hii menyu ya *149*03#
toka wamenunuliwa na Tigo sijaona vifurushi vyao vya maana, offer zote wamezitoa, hata kwenye hii trend ya halichachi na haliishi sijawaona, kama kuna mwenye vifurushi vyao vizuri avitaje.mkuu zantel sijaiona...hapo vipi haijakizi vigezo unavyo vihitaji? kimtandao...
TTCL nao je?toka wamenunuliwa na Tigo sijaona vifurushi vyao vya maana, offer zote wamezitoa, hata kwenye hii trend ya halichachi na haliishi sijawaona, kama kuna mwenye vifurushi vyao vizuri avitaje.
na sababu wanashare minara na Tigo ukitumia wowote ni sawa tu
nipo dar ukonga, yani ikisimama H+ ni hapo hapo. yani kama nadownload file la 1 gb. huezi amini natumia kama dakika45 tu. na natumia 3g network. ila uku ukiwa na tigo ndo utatamani kulia.Uko pande zipi Mkuu?, mbona voda kwenye simu yangu H ni mizinguo mitupu?