Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

*149*81#
 

Attachments

  • Screenshot_2017-03-30-15-03-16.png
    Screenshot_2017-03-30-15-03-16.png
    23.2 KB · Views: 527
pia kwenye voda kuna 51gb kwa 50,000 mwezi, 10gb kwa 10,000 kwa wiki, vya siku ni 3gb kwa 2,000 , 800mb kwa 1000 na 300mb kwa miatano. unabonyeza *149*03#. endelea kubonyeza hata mara 20 hadi upate kifurushi unachokitaka. hivi ndiyo natumia kupakua movies na kucheki mechi.
nimejaribu kubonyeza hiyo menyu ya *149*03# mara kibao lakin vifurushi vyangu havijabadilika ila sikati tamaa nitakomaa hadi kieleweke
 
mkuu zantel sijaiona...hapo vipi haijakizi vigezo unavyo vihitaji? kimtandao...
toka wamenunuliwa na Tigo sijaona vifurushi vyao vya maana, offer zote wamezitoa, hata kwenye hii trend ya halichachi na haliishi sijawaona, kama kuna mwenye vifurushi vyao vizuri avitaje.

na sababu wanashare minara na Tigo ukitumia wowote ni sawa tu
 
toka wamenunuliwa na Tigo sijaona vifurushi vyao vya maana, offer zote wamezitoa, hata kwenye hii trend ya halichachi na haliishi sijawaona, kama kuna mwenye vifurushi vyao vizuri avitaje.

na sababu wanashare minara na Tigo ukitumia wowote ni sawa tu
TTCL nao je?
 
Uko pande zipi Mkuu?, mbona voda kwenye simu yangu H ni mizinguo mitupu?
nipo dar ukonga, yani ikisimama H+ ni hapo hapo. yani kama nadownload file la 1 gb. huezi amini natumia kama dakika45 tu. na natumia 3g network. ila uku ukiwa na tigo ndo utatamani kulia.
 
Back
Top Bottom