Usijisahaulishe bro ni mwanamke huyo 😂😂😂Wewe gari unalo?
Kwa nini msitumie la kwako?
Am I missing something?
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Anataka lakoWewe gari unalo?
Kwa nini msitumie la kwako?
Am I missing something?
we unalo au unatako tu ,Nami kwa kweli kama huna gari kali hata usinisemeshe. Maana tutatoka out itafika mida ya kutaka kuondoka akili yako inahama inaanza kuwaza kugombea daladala au mwendokasi. Sitakiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii.
View attachment 2643444
Pili pili hoho, mchele, ubwabwa, mpunga, nadhalilisha bure vyakula vya watu. Sho(ga) hiloKwa hiyo huyo kwenye clip ndio ameyasema hayo ya kutakwa kimapenzi?
Mbona mwanaume sasa au ndio mambo yenu yale
Oooooh kumbePili pili hoho, mchele, ubwabwa, mpunga, nadhalilisha bure vyakula vya watu. Sho(ga) hilo
Mungu ibariki Tanzania hasa Bongo za watz zifikiri sawa sawa!Nami kwa kweli kama huna gari kali hata usinisemeshe. Maana tutatoka out itafika mida ya kutaka kuondoka akili yako inahama inaanza kuwaza kugombea daladala au mwendokasi. Sitakiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii.
View attachment 2643444
Wewe gari unalo?
Kwa nini msitumie la kwako?
Am I missing something?
Cute wife hata upande baiskeli hakatai