Video: Uchochezi wa Lowassa huu hapa

Video: Uchochezi wa Lowassa huu hapa

"....msiwe baridi........."-E.L.
sikiliza kuanzia 1.44 na shirikisha kidogo akili utamuelewa!
Kama umemsikiliza Lowassa kwa makini , hotuba yake yote, au salamu zake kwa waislamu wala usingelipata tabu kumuelewa.

Alitoa mfano kwamba sheikh Kassim Bin Jumaa alikuwa anatoa kauli kali ( hakuwahi kujiripua). Lowassa anawataka waislamu wasikae kimya wakati viongozi wao wako lupango kwa sababu tu wanazozijua "ccm na Katiba yao ya kiintarahamwe).
Lowassa anataka waislamu wakemee udhalilishaji wanaofanyiwa viongozi wao.

Kwa wanaofatilia sakata la masheikh wa uamsho kuwekwa lupango wanajua ni kwa sababu walipinga Muungano wa magumashi bila kumumunya maneno na waliwaamsha watu wao kule Zanzibar waikatae Rasimu waliyopelekewa na Marehemu Sitta.

Na siku "ccm" wakishaipitisha ile "Rasimu ya katiba waliyoichakachua (Rasimu ya warioba)" ambayo inakusudia kuendeleza ung'ang'anizi wa ccm kwenye madaraka na viongozi hao wa UAMSHO utasikia haukupatika ushahidi na wataachiwa huru.

Ni mbinu ya CCM kusingizia "wapinzani" wao ugaidi.

Unakumbuka CCM walipiga propaganda kwamba CUF ni chama cha siasa kali na ugaidi.
Baadaye unakumbuka "ugaidi" wa Lwakatare na CHADEMA nani alipika dili lile?

Ulimsikia Lukuvi na Sitta walivyotoa kauli juu ya "dola ya kiislamu".

Huu mchezo wanaoucheza CCM na serikali zake utaleta hasara kubwa.







Lowassa anataka serikali na mahakama iwatendee haki masheikh wale walioko mahabusu kwa miaka 4 sasa. Lowassa anawakumbusha BAKWATA na Jumuiya za kiislamu zisikae kimya, zipaze sauti kutaka haki itendeke.

Kila mtanzania anayeitakia mema nchi hii anatakiwa apaze sauti yake ili masheikhe wale watendewe haki.

Link News Alert: - Edward Lowassa ahojiwa Makao Makuu ya Polisi kuhusu uchochezi, aachiliwa kwa Dhamana
 


Ni kweli kitendo cha kuwatia kizuizini miaka na miaka bila mashitaka mashehe wa Zanzibar wasiotaka Muungano ni kitendo cha kionevu na kifashisti. Wengine tunakubaliana kabisa na Edward Lowassa, tunakemea na kulaani kurudi kwa political prisoners ambao walishatoka magerezani toka JKN anatoka madarakani miaka ya 80.

Lakini katika kutetea mashehe hao, Lowassa amevuka mipaka kwa kiasi cha kutisha. Lowassa ameombea zirudi siku zile za taharuki za siasa za kidini zilizokuwepo enzi za Ally Hassan Mwinyi na Benjamin Mkapa, mpaka ikafikia kudhibiti hali ile kwa kutumia watu wa usalama na askari wenye mbwa kuingia misikitini kusikiliza mawaidha na kukamata watu. Lowassa anataka misikiti na mashehe radical and firebrand wa enzi zile warudi kwa sababu misikiti siku hizi imekuwa baridi.

Lakini uchochezi wa kijahili na mbaya kuliko wote ambao usingeutegemea kutoka kwa Edward Lowassa ni pale aliposema WAISLAMU SASA WAANZE KUONGEA LUGHA AMBAYO SERIKALI INAIELEWA.

Lugha ya Waislamu ambayo serikali itailewa ni ipi, kujilipua? Muhimu tukumbuke hapa pakiwaka hapa sio wewe wala mimi wala Lowassa wala Magufuli wala Shehe wala Kadinari wala polisi wala majeshi yeyote atakaekuwa na hakika ya kubaki salama.

AK47 ndio lugha watayoielewa serikali na haiko mbali mana sasa imetosha kuwadhulumu waislam ndani ya nchi yao waloipigania na kupoteza maisha kwayo.
 
Binafsi sikutegemea mtu aliyefunzwa siasa na CCM ile ya Mwalimu asimame hadharani kuongea maneno yale ...hii ni ya kukemewa na kila mtu bila unafiki ....Lowasa angeacha akina Mwita waseme hayo ....si yeye ....kama Lowasa anaweza kuongea hayo inabidi tuwahoji CCM wamepanda nini kichwani mwa watawala wetu ambacho kina faida kwa Taifa ....tulifikiri CCM imezaa mafisadi tu ....kumbe ni zaidi ya mafisadi ....JPM anayo kazi kubwa sana kama kweli dhamira yake ni ya dhati ....
Na huyo JPM wako pia ni zao LA CCM ndio tunendelea kuona ujinga uliopitiza mipaka, na nchi hii itaingia vitani soon, wacha tuone na ccm iendeleze dhulma dhidi ya waislam, ikiwa muislam haishi kwa amani na wao ccm hawataishi kwa amani katu.
 


Ni kweli kitendo cha kuwatia kizuizini miaka na miaka bila mashitaka mashehe wa Zanzibar wasiotaka Muungano ni kitendo cha kionevu na kifashisti. Wengine tunakubaliana kabisa na Edward Lowassa, tunakemea na kulaani kurudi kwa political prisoners ambao walishatoka magerezani toka JKN anatoka madarakani miaka ya 80.

Lakini katika kutetea mashehe hao, Lowassa amevuka mipaka kwa kiasi cha kutisha. Lowassa ameombea zirudi siku zile za taharuki za siasa za kidini zilizokuwepo enzi za Ally Hassan Mwinyi na Benjamin Mkapa, mpaka ikafikia kudhibiti hali ile kwa kutumia watu wa usalama na askari wenye mbwa kuingia misikitini kusikiliza mawaidha na kukamata watu. Lowassa anataka misikiti na mashehe radical and firebrand wa enzi zile warudi kwa sababu misikiti siku hizi imekuwa baridi.

Lakini uchochezi wa kijahili na mbaya kuliko wote ambao usingeutegemea kutoka kwa Edward Lowassa ni pale aliposema WAISLAMU SASA WAANZE KUONGEA LUGHA AMBAYO SERIKALI INAIELEWA.

Lugha ya Waislamu ambayo serikali itailewa ni ipi, kujilipua? Muhimu tukumbuke hapa pakiwaka hapa sio wewe wala mimi wala Lowassa wala Magufuli wala Shehe wala Kadinari wala polisi wala majeshi yeyote atakaekuwa na hakika ya kubaki salama.


Hao Mashehe Walishitakiwa na Kukutwa na Hatia? Kama sio basi Iwe ni Lowassa iwe ni Muuza Mitumba ea Katiakoo au Mbeba magunia Kiborloni, Mtanzania yeyote anahaki ya Kuhoji au Kuomba apatiwe habati kuhusu Jambo lolote, Hasa linalohusu, Uhuru na Haki za Binadamu.

Kwani Lowassa alisema Anataka akavunje Jela Awatoe hao Mashehe? Tanzania hii ya Magufuli imekuwa ni Nchi ya Ovyo ovyo ovyo, Nawashangaa wanaosema Atawale zaidi ya Miaka 10 Naona Wana Roho za Mashetani hao!
 
Ya kujilipua ni mawazo yako. Lugha inaweza kuwa ya kwenda UN, AU kutoa malalamiko. Mahakamani kudai wafikishwa mahakamani/ kesi ifutwe etc! Kwa nini mnakimbilia kwenye upuuzi wa kujilipua. Unadhani Lowasa anaweza kuwa na mawazo ya kujilipua?
Kumbuka ameanza na kuwalaumu kwa kuzidi kuwa baridi tofauti na zamani halafu anawataka waongee lugha ambayo serikali wataielewa. Mtamtetea Lowasa kwa hili, lakini ukweli amevuka mipaka.
 
Hayo ni mawazo yako, tunaposema lugha zipo nyingi ktk kufanya maamuzi, si hivyo unavyofanya ww.
 
Hiving Tz kuna ma Raisi wangapi?? Yeye Kama anaona Kama kuna Watu wanaonewa kwanini asifungue kesi kwa niaba yao na si kuingilia kazi ya taasisi nyingine iliyo juu yake?? Ni kumu undermine Raisi kwamba hafai kuwepo hapo ila yeye ??
Hivi na Ile misaada ya msikitini na makanisani vipi??
 
Kumbuka ameanza na kuwalaumu kwa kuzidi kuwa baridi tofauti na zamani halafu anawataka waongee lugha ambayo serikali wataielewa. Mtamtetea Lowasa kwa hili, lakini ukweli amevuka mipaka.
Kwa hisia zako za UCCM, na chuki dhidi ya upinzani, lakini any person directing his mind correctly to the law, common sense and critical analysis can not jump to that unfounded conclusion!
 
Lowassa kasema kila mtu atafsiri vile anavyoweza kutafsiri. Kwa lugha nyepesi ametoa kauli tata. Kiongozi mkubwa kama yeye anapotoa kauli tata maanake mara zote huwa zinalenga uvunjifu wa Amani

Una ushahidi wa hilo au mapenzi ya UCCM na chuki dhidi ya upinzani?
 
Ya kujilipua ni mawazo yako. Lugha inaweza kuwa ya kwenda UN, AU kutoa malalamiko. Mahakamani kudai wafikishwa mahakamani/ kesi ifutwe etc! Kwa nini mnakimbilia kwenye upuuzi wa kujilipua. Unadhani Lowasa anaweza kuwa na mawazo ya kujilipua?
Acha uzuzu wewe! ingekuwa lugha laini hivyo kwa nini asingeisema kama ulivyoisema wewe?
Mnajitoa ufahamu wakati ZEZETA lenu limesema kabisa "...mbona mmekuwa LEGELEGE?"
Ahojiwe vizuri. Mbona hakugawa mabilioni pale kama ambavyo huwa anafanya uchaguzi ukikaribia? au kapeleka ufadhili wake KIBITI?
 
Acha uzuzu wewe! ingekuwa lugha laini hivyo kwa nini asingeisema kama ulivyoisema wewe?
Mnajitoa ufahamu wakati ZEZETA lenu limesema kabisa "...mbona mmekuwa LEGELEGE?"
Ahojiwe vizuri. Mbona hakugawa mabilioni pale kama ambavyo huwa anafanya uchaguzi ukikaribia? au kapeleka ufadhili wake KIBITI?
Sitalki matusi zuzu mama yako na baba yako , stupid!
 
Sitalki matusi zuzu mama yako na baba yako , stupid!
Naona huelewi hata unachokiandika. ZEZETA limewabadilisha haswa! Unasema hutaki wakati unataka. Hebu jisome tena uone unavojicontradict.
 


Ni kweli kitendo cha kuwatia kizuizini miaka na miaka bila mashitaka mashehe wa Zanzibar wasiotaka Muungano ni kitendo cha kionevu na kifashisti. Wengine tunakubaliana kabisa na Edward Lowassa, tunakemea na kulaani kurudi kwa political prisoners ambao walishatoka magerezani toka JKN anatoka madarakani miaka ya 80.

Lakini katika kutetea mashehe hao, Lowassa amevuka mipaka kwa kiasi cha kutisha. Lowassa ameombea zirudi siku zile za taharuki za siasa za kidini zilizokuwepo enzi za Ally Hassan Mwinyi na Benjamin Mkapa, mpaka ikafikia kudhibiti hali ile kwa kutumia watu wa usalama na askari wenye mbwa kuingia misikitini kusikiliza mawaidha na kukamata watu. Lowassa anataka misikiti na mashehe radical and firebrand wa enzi zile warudi kwa sababu misikiti siku hizi imekuwa baridi.

Lakini uchochezi wa kijahili na mbaya kuliko wote ambao usingeutegemea kutoka kwa Edward Lowassa ni pale aliposema WAISLAMU SASA WAANZE KUONGEA LUGHA AMBAYO SERIKALI INAIELEWA.

Lugha ya Waislamu ambayo serikali itailewa ni ipi, kujilipua? Muhimu tukumbuke hapa pakiwaka hapa sio wewe wala mimi wala Lowassa wala Magufuli wala Shehe wala Kadinari wala polisi wala majeshi yeyote atakaekuwa na hakika ya kubaki salama.

Huyu akichunguzwa vizuri, Kibiti hakosekani na Sharif wake.
 
Naona huelewi hata unachokiandika. ZEZETA limewabadilisha haswa! Unasema hutaki wakati unataka. Hebu jisome tena uone unavojicontradict.
I am telling you, you are stupid, nincompoop! Rubbish!
 


Ni kweli kitendo cha kuwatia kizuizini miaka na miaka bila mashitaka mashehe wa Zanzibar wasiotaka Muungano ni kitendo cha kionevu na kifashisti. Wengine tunakubaliana kabisa na Edward Lowassa, tunakemea na kulaani kurudi kwa political prisoners ambao walishatoka magerezani toka JKN anatoka madarakani miaka ya 80.

Lakini katika kutetea mashehe hao, Lowassa amevuka mipaka kwa kiasi cha kutisha. Lowassa ameombea zirudi siku zile za taharuki za siasa za kidini zilizokuwepo enzi za Ally Hassan Mwinyi na Benjamin Mkapa, mpaka ikafikia kudhibiti hali ile kwa kutumia watu wa usalama na askari wenye mbwa kuingia misikitini kusikiliza mawaidha na kukamata watu. Lowassa anataka misikiti na mashehe radical and firebrand wa enzi zile warudi kwa sababu misikiti siku hizi imekuwa baridi.

Lakini uchochezi wa kijahili na mbaya kuliko wote ambao usingeutegemea kutoka kwa Edward Lowassa ni pale aliposema WAISLAMU SASA WAANZE KUONGEA LUGHA AMBAYO SERIKALI INAIELEWA.

Lugha ya Waislamu ambayo serikali itailewa ni ipi, kujilipua? Muhimu tukumbuke hapa pakiwaka hapa sio wewe wala mimi wala Lowassa wala Magufuli wala Shehe wala Kadinari wala polisi wala majeshi yeyote atakaekuwa na hakika ya kubaki salama.

Kwa mtazamo wako na akili ya ubongo wako ulipolalia ni KUJILIPUA. mbafffff san we!!
 
Back
Top Bottom