Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,846
- 114,415
Ki layman Hati za Muungano ni mkataba, lakini kisheria sio mkataba ni makubaliano tuu!. Hili nimelielimisha sana humu, Je, Wajua Kuwa Tanzania Hatuna Mkataba wa Muungano?. Kilichopo ni Makubaliano Tuu ya Muungano?Soma hapo kilichopo , Huo ni mkataba
Muungano wa Tanganyika na Zanzibar - Wikipedia, kamusi elezo huru
sw.m.wikipedia.org
Na hili nimelifanyia assignment Je, wajua kuwa kuna uwezekano Tanzania sio nchi halali Kisheria (De Jure) Bali ni De Factor?!
P