Video: Treni ya SGR yadaiwa kusimama baada ya kupata hitilafu eneo la Gongo la Mboto

Status
Not open for further replies.

Abraham Lincolnn

JF-Expert Member
Apr 12, 2018
2,523
4,277


======

UPDATES

=======

Habari zinazosambaa Mtandaoni zikidai Treni ya SGR yadaiwa kusimama baada ya kupata hitilafu si za Kweli kwani Treni ipo kwenye Majaribio.
IMG_20240517_064420_726.jpg
 
Je, Taratibu za ukaguzi na manunuzi ya treni hizi zilikuwaje?
Gharama zilikuwaje?
Mbona treni zingine za SGR zinazotumia umeme huko kwingineko duniani zina muonekano bora na mzuri kuliko hii ya Tanzania? Mfano SGR hii ya China

images - 2024-05-16T192716.502.jpeg
 

Attachments

  • images - 2024-05-16T192716.502.jpeg
    images - 2024-05-16T192716.502.jpeg
    47.8 KB · Views: 2
It's another white elephant project. Kama nchi hatujawahi kufanya kitu kwa ufanisi tangu tupate uhuru. Angalia mwendokasi tu imewashinda, we plan, design and construct....baada ya hapo wanakuja wataalam wa kuhujumu na kazi inaishia hapo.
 
Serikali waachane na biashara ,wafanye PPP ,kazi ya serikali iwe monitoring tu ,wawape private sector kisha wawape profit margin ya kuweza kurun bizness ,kulipa mishahara na faida inayoweza kufanya maintanance na kuwekeza zaidi ila sio Super profit.
 
TUSIWE NEGATIVE SANA kama imepata changamoto itatatuliwa hakuna shida hapo. Changamoto kitu cha kawaida, na mwanzo ni mgumu karibu kwa kila kitu. Baadhi yenu mlisema Bwawa la Nyerere ni WHITE ELEPHANT ama mnataka kusema kitu chochote atakachoanzisha mwafrika ni White Elephant??
 
It's another white elephant project. Kama nchi hatujawahi kufanya kitu kwa ufanisi tangu tupate uhuru. Angalia mwendokasi tu imewashinda, we plan, design and construct....baada ya hapo wanakuja wataalam wa kuhujumu na kazi inaishia hapo.
Kwenye kujenga tunaweza kwasababu kuna 10% kuendesha hatuwezi na hatuna interest kwasababau hakuna rusha ya chapchap
 
It's another white elephant project. Kama nchi hatujawahi kufanya kitu kwa ufanisi tangu tupate uhuru. Angalia mwendokasi tu imewashinda, we plan, design and construct....baada ya hapo wanakuja wataalam wa kuhujumu na kazi inaishia hapo.
Kweli kabisa mkuu. Yan ni mambo ya ujanja -ujanja tu. Ndo mana watu wakashauri ni kheri kubinafsisha.
 
It's another white elephant project. Kama nchi hatujawahi kufanya kitu kwa ufanisi tangu tupate uhuru. Angalia mwendokasi tu imewashinda, we plan, design and construct....baada ya hapo wanakuja wataalam wa kuhujumu na kazi inaishia hapo.
We need to accommodate the SGR othwise money is gone from tax payer
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom