VIDEO: Mlipuko wa Bomu Arusha - Sehemu ya Kwanza...

VIDEO: Mlipuko wa Bomu Arusha - Sehemu ya Kwanza...

Video inaleta maswali amabayo ni mengi kushinda majibu mpaka sasa.

Hii video wameitoa wapi, kama kupitia a reputable media ni ipi?

au ni nani karekodi na huyo jamaa anautaratibu wa kurekodi video hata kwa matumizi binafsi au ndio mara ya kwanza, na katumia nini camera au simu? maana mtu wa kawaida hawezi kurekodi tukio kama lile na yeye akimbilie straight kwenye walioudhurika angeogopa tu kama wengine walio kaa mbali, this guy must be taken for questioning soon.

CDM wanautaratibu wa-kurekodi their political rallies if yes are there prior evidences if not why this one?

CDM wanauhusiano gani na huyu jamaa alierikodi, kwanini asizipeleke kwenye media au police aanze na CDM?

Kuvaa nguo za polisi aina maana jamaa lazima alikuwa polisi anaweza shona sare yake na yeye na kupata mabomu na risasi za serikali kama ndio zilizo tumika na kama kweli ni polisi ni picha yake hiko wapi na aelezee kafanya hayo matendo kwa amri ya nani maana JK alikuwa UK kipindi hicho na mawaziri kebe tu.

Maswali ni mengi naelewa CCM kama chama kilicho ishiwa na itafanya mengi kubaki madarakani but i just dont buy this one, someone needs to be hanged here. Atuwezi kucheza na maisha ya watu kisa uchu tu wa madaraka.
 
Halafu bado kuna mpuuzi anaweza kusema bomu hili ni mipango ya CHADEMA hiviiiiiiiiii, kuiangalia tuu katika laptop shida jee waliokuwepo katika tukio halisi? mungu yupo na ipo siku.
 
Video inaleta maswali amabayo ni mengi kushinda majibu mpaka sasa.

Hii video wameitoa wapi, kama kupitia a reputable media ni ipi?

au ni nani karekodi na huyo jamaa anautaratibu wa kurekodi video hata kwa matumizi binafsi au ndio mara ya kwanza, na katumia nini camera au simu? maana mtu wa kawaida hawezi kurekodi tukio kama lile na yeye akimbilie straight kwenye walioudhurika angeogopa tu kama wengine walio kaa mbali, this guy must be taken for questioning soon.

CDM wanautaratibu wa-kurekodi their political rallies if yes are there prior evidences if not why this one?

CDM wanauhusiano gani na huyu jamaa alierikodi, kwanini asizipeleke kwenye media au police aanze na CDM?

Kuvaa nguo za polisi aina maana jamaa lazima alikuwa polisi anaweza shona sare yake na yeye na kupata mabomu na risasi za serikali kama ndio zilizo tumika na kama kweli ni polisi ni picha yake hiko wapi na aelezee kafanya hayo matendo kwa amri ya nani maana JK alikuwa UK kipindi hicho na mawaziri kebe tu.

Maswali ni mengi naelewa CCM kama chama kilicho ishiwa na itafanya mengi kubaki madarakani but i just dont buy this one, someone needs to be hanged here. Atuwezi kucheza na maisha ya watu kisa uchu tu wa madaraka.

Reputable media ndio nini km recording ya event?

-Kuna kitu hujaona..ile kamera ilikuwa inazoom,na kuzunguka...na kuzunguka ila haikuwa imeshikiliwa na mtu km inaongozwa na remotely.Na hivo kufaya search yake isiwe directly na smooth.

-Hiyo ya kuvaa nguo z apolisi itakuwa ajabu sana km polisi wanakuwa site halafu wanatokea watu waliovaa km polisi na wasiojulikana ktk timu ya arusha bado wakawaacha wafanye actin kwa jina lao na silaha za kuwatisha bila wao kulalamika.
 
Reputable media ndio nini km recording ya event?

-Kuna kitu hujaona..ile kamera ilikuwa inazoom,na kuzunguka...na kuzunguka ila haikuwa imeshikiliwa na mtu km inaongozwa na remotely.Na hivo kufaya search yake isiwe directly na smooth.

-Hiyo ya kuvaa nguo z apolisi itakuwa ajabu sana km polisi wanakuwa site halafu wanatokea watu waliovaa km polisi na wasiojulikana ktk timu ya arusha bado wakawaacha wafanye actin kwa jina lao na silaha za kuwatisha bila wao kulalamika.
May be you should quote other people and leave me alone because i can go on and on; on this one.

Kwanza Lema alishawahi kupiga picha na mwanajeshi for the purpose of misleading us that even the soldiers are on their side. Only for us to learn he wasn't one, na magwanda aliyashona tuu yule jamaa au Lema mwenyewe alimshonea tu muhuni mmoja for the purpose of photo opportunity and implementing the army of being tired too.

Hence what makes you think this is anything different ya kwamba jamaa kashonewa magwanda only this time to kill in the midst of the police force ambao walikuwa busy overseeing the congregation anyone could have joined with their uniform au hata labda polisi mmoja alilipwa na wengine ambao sio serikali kutimiza agenda sisemi na CDM.

Huyo askari aliyeonekana akirusha bomu yupo wapi, iweje muwe na ushahidi wa askari kurusha bomu na kupiga risasi hila picha azipo, let me guess you only had one camera to zoom the whole meeting and capture what suited you ama? maana kama mnadai mlikuwa na kamera za kulinda mkutano wenu wa kisasa iweje zikamate matukio ya bomu tu, huyo mrushaji mbona aonekani, yeah the camera did not zoom there si ndio, Embu msisumbue watu this time wengine tunawaombea wahusika wakamatwe na watiwe lupango tu.

By the way reputable media was used in the context ya kwamba kama mkanda mmeutoa kwenye chombo cha habari ambacho kinajulikana na kilikuwa kinafuatilia mkutano for the purpose of reporting ndio ikapata hizo images kumbe mlikuwa na CCTV zenu apparently ambazo zimekata kile mlichokitaka.
 
May be you should quote other people and leave me alone because i can go on and on; on this one.

Kwanza Lema alishawahi kupiga picha na mwanajeshi for the purpose of misleading us that even the soldiers are on their side. Only for us to learn he wasn't one, na magwanda aliyashona tuu yule jamaa au Lema mwenyewe alimshonea tu muhuni mmoja for the purpose of photo opportunity and implementing the army of being tired too.

Hence what makes you think this is anything different ya kwamba jamaa kashonewa magwanda only this time to kill in the midst of the police force ambao walikuwa busy overseeing the congregation anyone could have joined with their uniform au hata labda polisi mmoja alilipwa na wengine ambao sio serikali kutimiza agenda sisemi na CDM.

Huyo askari aliyeonekana akirusha bomu yupo wapi, iweje muwe na ushahidi wa askari kurusha bomu na kupiga risasi hila picha azipo, let me guess you only had one camera to zoom the whole meeting and capture what suited you ama? maana kama mnadai mlikuwa na kamera za kulinda mkutano wenu wa kisasa iweje zikamate matukio ya bomu tu, huyo mrushaji mbona aonekani, yeah the camera did not zoom there si ndio, Embu msisumbue watu this time wengine tunawaombea wahusika wakamatwe na watiwe lupango tu.

By the way reputable media was used in the context ya kwamba kama mkanda mmeutoa kwenye chombo cha habari ambacho kinajulikana na kilikuwa kinafuatilia mkutano for the purpose of reporting ndio ikapata hizo images kumbe mlikuwa na CCTV zenu apparently ambazo zimekata kile mlichokitaka.

Why other people?You still insist that yo gonna keep on going on and on?
hujanijubu haya wee gaidi:

Reputable media ndio nini km recording ya event?

-Kuna kitu hujaona..ile kamera ilikuwa inazoom,na kuzunguka...na kuzunguka ila haikuwa imeshikiliwa na mtu km inaongozwa na remotely.Na hivo kufaya search yake isiwe directly na smooth.

-Hiyo ya kuvaa nguo za polisi itakuwa ajabu sana km polisi wanakuwa site halafu wanatokea watu waliovaa km polisi na wasiojulikana ktk timu ya arusha bado wakawaacha wafanye actin kwa jina lao na silaha za kuwatisha bila wao kulalamika.


Halafu uje kwenye haya mr mwigulu:
-Camera hata ingekuwa moja yenye kuona 360 km ulivyoambiwa ktk taarifa ya chama..inakuwa inazunguka.Na ktk video ndicho kinachonekena camera inazunguka sehemu moja ,halafu ina zoom, kwa haraka kwani aliyekuwa anaionoza remotely alipopata target akaivuta haraka.Huna ujanja hapa ni the Hague tuu.

-Kwa ujinga wako utauliza reputable media kwa vile mlishazibana media, ilas ijui hata benak pakiibwa mtawataka waje na reputable media.Kichwa maji kabisa.

-Halfu pia ujua kamera huwa haziwekwei ili kulinda il akutambua baadaye, wanaoweka kulinda basi huwa wanaziweka kwa melengo ya kutazama na kuafifu watu wa getini au usalama.

-Kushonewa magwanda ni sababu ya kijinga sana, kani unadhani polisi wa arusha hawajuani mji mzima?wale polisi wanabadilishana vituo, mahakamani, doria etc.Sasa kuona wapya lazima watakuwa wameambiwa kuna special force imeingia kazini na wafanye nini pasiwe na mgongano wa moves zao.Sasa km aksari hawakuona tofauti walikuja linda nini?Na km ni hivyo basi ina maana hata akina JK hawapo salama.Askari wao wanaweza achia mtu yoyote mwenye uniforma aje ,au na kuondoka.Kwa taarifa yako hata askari mwenzao akiua km taarif ahaikupangwa wengie huwajibika mdhibiti asijekuwa ana kichaa.

-Issue ya idadi ya kamera haikuhusu na kingin ekilicoonekana pia hakikuuhusu,kinachohusu uma hapa ni kile kilicho kilichohitajika.Idadi ya kamera ni siri ya CDM.

Mtadai mengi sana ila kiwango chenu kipo chini sana na mnachosubiri ni kusulubiwa na raia au mahakamani.
 
Sasa huyo mama na huyo mtoto wamefanya kosa gani la kusitahili kifo cha kumwaga damu namna hiyo? Mwenyezi Mungu tunaomba uziweke roho zao mahali pema peponi-Amen.
 
Why other people?You still insist that yo gonna keep on going on and on?
hujanijubu haya wee gaidi:

Reputable media ndio nini km recording ya event?

-Kuna kitu hujaona..ile kamera ilikuwa inazoom,na kuzunguka...na kuzunguka ila haikuwa imeshikiliwa na mtu km inaongozwa na remotely.Na hivo kufaya search yake isiwe directly na smooth.

-Hiyo ya kuvaa nguo za polisi itakuwa ajabu sana km polisi wanakuwa site halafu wanatokea watu waliovaa km polisi na wasiojulikana ktk timu ya arusha bado wakawaacha wafanye actin kwa jina lao na silaha za kuwatisha bila wao kulalamika.


Halafu uje kwenye haya mr mwigulu:
-Camera hata ingekuwa moja yenye kuona 360 km ulivyoambiwa ktk taarifa ya chama..inakuwa inazunguka.Na ktk video ndicho kinachonekena camera inazunguka sehemu moja ,halafu ina zoom, kwa haraka kwani aliyekuwa anaionoza remotely alipopata target akaivuta haraka.Huna ujanja hapa ni the Hague tuu.

-Kwa ujinga wako utauliza reputable media kwa vile mlishazibana media, ilas ijui hata benak pakiibwa mtawataka waje na reputable media.Kichwa maji kabisa.

-Halfu pia ujua kamera huwa haziwekwei ili kulinda il akutambua baadaye, wanaoweka kulinda basi huwa wanaziweka kwa melengo ya kutazama na kuafifu watu wa getini au usalama.

-Kushonewa magwanda ni sababu ya kijinga sana, kani unadhani polisi wa arusha hawajuani mji mzima?wale polisi wanabadilishana vituo, mahakamani, doria etc.Sasa kuona wapya lazima watakuwa wameambiwa kuna special force imeingia kazini na wafanye nini pasiwe na mgongano wa moves zao.Sasa km aksari hawakuona tofauti walikuja linda nini?Na km ni hivyo basi ina maana hata akina JK hawapo salama.Askari wao wanaweza achia mtu yoyote mwenye uniforma aje ,au na kuondoka.Kwa taarifa yako hata askari mwenzao akiua km taarif ahaikupangwa wengie huwajibika mdhibiti asijekuwa ana kichaa.

-Issue ya idadi ya kamera haikuhusu na kingin ekilicoonekana pia hakikuuhusu,kinachohusu uma hapa ni kile kilicho kilichohitajika.Idadi ya kamera ni siri ya CDM.

Mtadai mengi sana ila kiwango chenu kipo chini sana na mnachosubiri ni kusulubiwa na raia au mahakamani.

Kwanza mimi sina upande moja, my main concern is the overall political progress that includes the right people being in the right position to take us forward take it or leave that is my stance.

Tukirudi kwenye concerns zako, itakuwa unaanza kukinzana na wana CDM wenzako kwa kauli yako ya kuwa polisi wa arusha wanajuana na ni wao tu walikuwepo meaning wale wanaosema kulikuwa na special force kutoka morogoro ni waongo.

Pili utakapo ulizwa the purpose of having security cameras is to protect therefore it should aim to capture all the angles you cant just have one camera and say its for security, and yet use that as an evidence: mbaya zaidi ambapo hile camera inapokamata the images that would back your argument only in case of accidents, already the whole thing becomes fishy.

Tatu in the name of the law CDM could have cooperated with the law enforcement or other bodies in bringing about their evidence of the bombing. lakini wao wamechukua muda na kwanza kulitumia hili suala for political gain why? Usiseme polisi hawa waamini ina maana JF tu ndio chombo cha kuhabarisha tz.

Finally sitosahau kauli ya Miss shonza humu kama tutashinda arusha kwa vishindo na matetezi ya sasa ya CCM yakuwa CDM wameboronga kwakukimbia uchaguzi. Wakati ualisia wa umati ni kwamba CDM imekamata himaya hivyo mkono wao pia CCM unanafasi kubwa ya kuhusika kwa agenda ya ku-postpone uchaguzi.

Lakini you people are making it difficult to the observers for the purpose of elimination processed, well ingawa ni ngumu sana theory ya CCM involvement so far. Maana the way you handle this it has all the elements of political sympathy from ya leaders who knows may be ur one of them.

usiku mwema
 
kweli tanzania tunataka kuzoeshana haya mambo?
hivi kama vijana na watoto wakizoea kuona umwajikaji huu wa damu au walio ondokewa na ndugu zao kama huyo mama anawatoto je wanae wakiamua nao kujitoa mhanga nani wakulaumiwa?

plz plz hiii kitu siasa na madaraka isitufikishe huku.
na kama kuna mtu mwenye ukweli juu ya hili hata kama mtauficha ila lazima utafahamika tu.

HAKUNA LIFICHWALO JUU YAKE MUNGU
 
Kwanza mimi sina upande moja take it or leave it, my main concern is the overall political progress that includes the right people being in the right position to take us forward take it or leave that is my stance.

Tukirudi kwenye concerns zako, itakuwa unaanza kukinzana na wana CDM wenzako kwa kauli yako ya kuwa polisi wa arusha wanajuana na ni wao tu walikuwepo meaning wale wanaosema kulikuwa na special force kutoka morogoro ni waongo.

Pili utakapo ulizwa the purpose of security camera is to protect therefore it should aim to capture all the angles you cant just have one camera and say its for security and use that as an evidence mbaya zaidi ambapo hile camera inapokamata the images that would back your argument only already the whole thing becomes fishy.

Tatu in the name of the law CDM could have cooperated with the law enforcement or other bodies in bringing about their evidence of the bombing. lakini wao wamechukua muda na kwanza kulitumia hili suala for political gain why? Usiseme polisi hawawaamini ina maana JF tu ndio chombo cha kuhabarisha tz.

Finally sitosahau kauli ya Miss shonza humu kama tutashinda arusha kwa vishindo na matetezi ya sasa ya CCM yakuwa CDM wameboronga kwakukimbia uchaguzi. Ukati ualisia wa umati ni kwamba CDM imekamata himaya hivyo mkono wao pia unanafasi kubwa ya kuhusika kwa namana ku-postpone uchaguzi, lakini you people are making it difficult for the purpose of elimination purposes, ingawa ni ngumu sana theory ya CCM involvement so far maana the way you handle this has all the elements of political sympathy.

usiku mwema
utaspin sana na ku vibrate sana ila mimi huw asipepesi macho..ulichoandika hapo huwezi sema hakina upande.Kwa kili yako unadhani umejitetea ila unapomalizia huna tofauti na Pinda alivyomalizia bunge aka nullify kila kitu.

-Ni udogo wa ubongo wako tena unakuuza na kukuanika wewe na wauaji wengine..Nimekuambi kujuana kwa polisi kunaonyesha kwamba hao wauaji anaosema Mwigulu au pinda kuwa ni wakuletwa Polisi wangewatabua kuwa si wenzao,na silaha zilipolia poliisi wangeact,ila wao hawakuwafnya kitu na haikuwa complain yao mpaka leo.Hii inaonyesha uwa hivyo vikosi maalumu vilitambulishwa na pengine kufanya mazoezi ya pamoja.BY the way wakuu wa polisi walishasema kuwa polisi walitumia risasi za moto, waziri nae akasema kuwa cdm ndio walianza wapiga mawe.

-Nani kakuambia unahitaji camera nyingi kuweza toa detailed picture?umesoma wapi security wewe kimeo.bomba unaongea mambo yasiyo secure.Hizo camera nyingine unataka ujue za nini?kwani walioshikwa ktk hizo kamera zingine unataka uwajue kwani kuna concern yao imeuwa risen?

-Lawa inforcement wa nini wakati walishuhudia na kushiriki..sasa kwanini CDM ndio waulizwe jukumu la polisi.Km Polici walitaka ushirikiano basi wangwaomba cdm wawarecordie na watoe maelekezo nini kifanyike.Mbona polis kun akipindi waliwahi ingia ktk kamera kt ktukio waliloliandaa kwa ajili ya kuwasingizia CDM.

-Hayo ya shoza unaongea tuu km mfu..matetezi ya nini,sasa kwani wao ndio wamepiga bomu, risasi na kumaliza watoto ambao hawakuwa wamekufa,na kuahirisha uchaguzi?kwani wao ndio walipiga mawakala monduli hadi wakaachia vituo vya kura ccm wakajipa ushindi?

-wewe subiri unayostahili.
 
huyu obama anakuja kwenye uongozi usioheshimu haki za binadamu,bora tu asije kabisa
 
Video inaleta maswali amabayo ni mengi kushinda majibu mpaka sasa.

Hii video wameitoa wapi, kama kupitia a reputable media ni ipi?

au ni nani karekodi na huyo jamaa anautaratibu wa kurekodi video hata kwa matumizi binafsi au ndio mara ya kwanza, na katumia nini camera au simu? maana mtu wa kawaida hawezi kurekodi tukio kama lile na yeye akimbilie straight kwenye walioudhurika angeogopa tu kama wengine walio kaa mbali, this guy must be taken for questioning soon.

CDM wanautaratibu wa-kurekodi their political rallies if yes are there prior evidences if not why this one?

CDM wanauhusiano gani na huyu jamaa alierikodi, kwanini asizipeleke kwenye media au police aanze na CDM?

Kuvaa nguo za polisi aina maana jamaa lazima alikuwa polisi anaweza shona sare yake na yeye na kupata mabomu na risasi za serikali kama ndio zilizo tumika na kama kweli ni polisi ni picha yake hiko wapi na aelezee kafanya hayo matendo kwa amri ya nani maana JK alikuwa UK kipindi hicho na mawaziri kebe tu.

Maswali ni mengi naelewa CCM kama chama kilicho ishiwa na itafanya mengi kubaki madarakani but i just dont buy this one, someone needs to be hanged here. Atuwezi kucheza na maisha ya watu kisa uchu tu wa madaraka.

Wana Jf,

Imethibitika kwamba technology ya mawasiliano hivi sasa imekua kwa kasi ya ajabu sana, kiasi chakufikia kuwa kumbe siyo lazima tutegemee camera za waandishi wa habari kuchukua matukio.

Ni kwamba chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMA kwenye mkutano wake wa mwisho licha ya kutumia setlite kurekodi mikutano yake, imethibitika kuwa chama hicho kilitumia mtambo maalum wa mawasiliano kurekodi mkutano wake wa mwisho katika uwanja wa soweto Arusha. Mtambo huo ambao unauwezo wa kurekodi matukio kwa masaa 72 mfululizo bila kuhitaji chaji, ulifungwa sehemu maalum ili kuweza kunasa matukio yaliyokuwa yanaendelea kwenye mkutano.

Mtambo huo ulisaidia kunasa tukio la mlipuko wa bomu na matumizi ya risasi kwenye mkutano kuwapiga raia, ambapo ulionyesha askari polisi aliyesimama pembeni ya nguzo ya umeme karibu na mfereji ulio mkabala na round about iliyo karibu na soweto garden akiwapiga risasi watu waliokuwa wanamkimbiza mtu aliyevaa suruali ya jeans aliyekimbia nakuingia kwenye gari ya polisi na kuondoka kwa kasi kwenye eneo la tukio. Mtambo pia uliweza kuonyesha gari ya blue landcruiser iliyoweza kui escort gari ambayo amepanda tule mtu aliyekuwa anakimbizwa.

Ule mtambo ambao una uwezo wa kurekodi matukio kwa around 360 degree angle uliweza kuonyesha tukio la watu wanaosadikiwa kuwa maaskari kufika kwenye eneo la tukio hasa kwenye gari la matangazo la chadema majira ya usiku, na kuweza kuzurura pale bila kuonyesha kwa kina walichokuwa wanakifanya pale.

video inaonyesha ule mtambo ulizima wenyewe saa moja na madakika asubuhi ya siku ya pili.

Kwa ujumla mtambo una taarifa nyeti za kuweza kusaidia kwa ushahidi wa tukio hili ambalo limegharimu maisha wa watu wasiokuwa na hatia. Muda utakapofika nadhani kwa idhini ya mwenyekiti wa chama kila kitu kitawekwa wazi.
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...-kurekodi-mkutano-wa-tarehe-15-06-2013-a.html

 
Yaani....nimelia sana......hali hii tulipofika haikubaliki kwa namna yeyote ile......this has to stop..........
 
Mkuu Nicholous achana na huyo kilaza anajikanyaga nadhani ni kati ya wahusika hivyo anashangaa ni kwa jinsi gani security ya CHADEMA ilivyo wanasa huku wakiamini kuwa mission iliandaliwa kwa viwango vya juu kabisa na km nilivyoona kwny uzi ule mwingine, wapangaji wakuu ni wakubwa sana ktk nchi hii. Basi naona jamaa anaona kama ndoto mambo waliyodhani yamefichwa kuwekwa peupe kirahisi hivyo. Kweli nimeipenda hii ya chadma mmewashinda TISS kwa maili makumi alfu
 
-Halfu pia ujua kamera huwa haziwekwei ili kulinda il akutambua baadaye, wanaoweka kulinda basi huwa wanaziweka kwa melengo ya kutazama na kuafifu watu wa getini au usalama
Ndio maana ikawa karibu na geti si ndio, clearly you dont know nothing regarding CCTV

-Kushonewa magwanda ni sababu ya kijinga sana, kani unadhani polisi wa arusha hawajuani mji mzima?
mpaka hapo utakapo kuja na video yako au picha kama za Mwangosi na askari wa serikali ndipo tutakapo amini , vinginevyo so far tunachukulia pengine ni kama yule sampuli ya Mwanajeshi wa Lema only this time karusha mabomu na kupiga watoto risasi kwa faida za M kuonewa huruma za kisiasa.

wale polisi wanabadilishana vituo, mahakamani, doria etc.Sasa kuona wapya lazima watakuwa wameambiwa kuna special force imeingia kazini na wafanye nini pasiwe na mgongano wa moves zao.Sasa km aksari hawakuona tofauti walikuja linda nini?
Mbona unaongea kama unamjua huyo mrusha bomu kwa sura au police tactical on that day, do u know anything that the rest of us dont know, vinginevyo unamwaga pumba tupu ama unataka kutulazimisha ukweli uliojiaminisha wewe, for some unless you bring evidence huyo atakuwa askari wa Lema tu (i am entitled to think independently especially where the evidence is vague).

-Issue ya idadi ya kamera haikuhusu na kingin ekilicoonekana pia hakikuuhusu,kinachohusu uma hapa ni kile kilicho kilichohitajika.Idadi ya kamera ni siri ya CDM.
typical of a puppet on a string do not question ndio nyie kesho huwa mnafanywa chambo kwa maslahi ya wachache just as in this instance (well kind of)
Mtadai mengi sana ila kiwango chenu kipo chini sana na mnachosubiri ni kusulubiwa na raia au mahakamani.
Amazing of you to mention the court of law considering you dont believe in a fair system currently, may be you live in ya own imaginary world ndio sababu hata argument zako zipo eclectic to justify ya own nonsense which is all over the place.

Ni udogo wa ubongo wako tena unakuuza na kukuanika wewe na wauaji wengine..Nimekuambi kujuana kwa polisi kunaonyesha kwamba hao wauaji anaosema Mwigulu au pinda kuwa ni wakuletwa Polisi wangewatabua kuwa si wenzao,na silaha zilipolia poliisi wangeact,ila wao hawakuwafnya kitu na haikuwa complain yao mpaka leo.
this is why we do not need an inquiry because you have the face of the man that threw the bomb, i tell ya you so clever Nicholas (in your own little world).

-Nani kakuambia unahitaji camera nyingi kuweza toa detailed picture?umesoma wapi security wewe kimeo.bomba unaongea mambo yasiyo secure.Hizo camera nyingine unataka ujue za nini?kwani walioshikwa ktk hizo kamera zingine unataka uwajue kwani kuna concern yao imeuwa risen?
hii nawaachia wale wanaolinda saa hizi na wanajiliwaza na JF wasome pumba hizi maana hata uelewi the purpose ya security camera kumbe.

-Lawa inforcement wa nini wakati walishuhudia na kushiriki.
.Those are the allegation but they have no backup evidence to justify them, just as i believe the whole thing was planned by CDM.
wewe subiri unayostahili
Kwa mikwara tu amjambo, aliekwambia hatakuja kwenye rally zenu nani mumtungue bomu wenyewe, unacheza wewe.

mjomba sio wote ni wanasiasa humu wengine ni passive tu kwanini huwa amuamini.
 
Zinjanthropus
Kama ww ndio wanakutegemea huko upande wa pili dhidi ya Homosapiens ''modern man'' hutaweza maana wako advanced sana kukuliko na unavyoozidi kubwabwaja ndio unajivua nguo kabisaa na kuonesha ulivyo huna kitu kichwani wkt huko ww ndio kichwa wao. Lol pole sana cccmm
 
Kwa jinsi ChaDEMA mlivyowakamata policccm kwa Mwangosi, na hii ya ARUSHA huenda mngepewa KIA wale twiga wetu wangekuwepo lol inaniuma, ila imarisheni zaidi security ya viongozi mdau kashasema wanatamani kuwaua anytime possible bila kujali matokeo.
 
Zinjanthropus
Kama ww ndio wanakutegemea huko upande wa pili dhidi ya Homosapiens ''modern man'' hutaweza maana wako advanced sana kukuliko na unavyoozidi kubwabwaja ndio unajivua nguo kabisaa na kuonesha ulivyo huna kitu kichwani wkt huko ww ndio kichwa wao. Lol pole sana cccmm
thanks for the compliments, hila mi wakawaida tu ushakutana na watoto wamafisadi wewe ambao wamepelekwa shule na wakatetea hoja na hada zao hizo shule wanazoenda, huwezi kutetea mfumo wa sasa niamini.
 
Niwie radhi,

Which solar system or galaxy do reside?
If you live in our solar system which planet do live? Mercury?
In planet earth, things have changed a lot since year 2000.

Karne hii ya 21 unauliza maswali hayo?
Bado kidogo mtasema hakuna mtu aliyekufa Video ni Fake.

Kuna Camera za bei chini ya $10,000 zinaweza kuzoo na kupiga picha very clear ya mjusi ukutani mita 500 ziko zinazokwenda 1000M pia.
Sioni cha kushangaa

Naona jinsi utelezi wa knowledge unavyowatafuna nambari1.
Fedha si kila kitu, know how is.


Wenzetu huku First world, kwa vile serikali zao zinawamonitor kwa Technology kuna kitu kinaitwa Watching the Watcher.
Ni pale Kila mwanchi atakapo kuwa na Camera ya Video masaa 24 halafu picha za Kamera zote kuunganishwa pamoja kwa kila atakaye kuona aone. Hebu Fikiria Kamera 100,000 za serikali against 100,000,000 za wenyenchi.
Ikifika hapa Serikali ndo itakuwa monitored si wananchi tena. Watcher will be Watched and if necessary scrutinized.

Video inaleta maswali amabayo ni mengi kushinda majibu mpaka sasa.

Hii video wameitoa wapi, kama kupitia a reputable media ni ipi?

au ni nani karekodi na huyo jamaa anautaratibu wa kurekodi video hata kwa matumizi binafsi au ndio mara ya kwanza, na katumia nini camera au simu? maana mtu wa kawaida hawezi kurekodi tukio kama lile na yeye akimbilie straight kwenye walioudhurika angeogopa tu kama wengine walio kaa mbali, this guy must be taken for questioning soon.

CDM wanautaratibu wa-kurekodi their political rallies if yes are there prior evidences if not why this one?

CDM wanauhusiano gani na huyu jamaa alierikodi, kwanini asizipeleke kwenye media au police aanze na CDM?

Kuvaa nguo za polisi aina maana jamaa lazima alikuwa polisi anaweza shona sare yake na yeye na kupata mabomu na risasi za serikali kama ndio zilizo tumika na kama kweli ni polisi ni picha yake hiko wapi na aelezee kafanya hayo matendo kwa amri ya nani maana JK alikuwa UK kipindi hicho na mawaziri kebe tu.

Maswali ni mengi naelewa CCM kama chama kilicho ishiwa na itafanya mengi kubaki madarakani but i just dont buy this one, someone needs to be hanged here. Atuwezi kucheza na maisha ya watu kisa uchu tu wa madaraka.
 
Niwie radhi,

Which solar system or galaxy do reside?
If you live in our solar system which planet do live? Mercury?
In planet earth, things have changed a lot since year 2000.

Karne hii ya 21 unauliza maswali hayo?
Bado kidogo mtasema hakuna mtu aliyekufa Video ni Fake.

Kuna Camera za bei chini ya $10,000 zinaweza kuzoo na kupiga picha very clear ya mjusi ukutani mita 500 ziko zinazokwenda 1000M pia.
Sioni cha kushangaa

Naona jinsi utelezi wa knowledge unavyowatafuna nambari1.
Fedha si kila kitu, know how is.


Wenzetu huku First world, kwa vile serikali zao zinawamonitor kwa Technology kuna kitu kinaitwa Watching the Watcher.
Ni pale Kila mwanchi atakapo kuwa na Camera ya Video masaa 24 halafu picha za Kamera zote kuunganishwa pamoja kwa kila atakaye kuona aone. Hebu Fikiria Kamera 100,000 za serikali against 100,000,000 za wenyenchi.
Ikifika hapa Serikali ndo itakuwa monitored si wananchi tena. Watcher will be Watched and if necessary scrutinized.
Ngoja nilale, nisubiri part two labda tutamuona adui yetu mrusha bomu, hii part one imekaa kutuhuzunisha tu maskini ya mungu raia wasio na hatia.
 
Back
Top Bottom