GE2025 VIDEO: Kimenuka Segerea, Ngumi zimepigwa, Wana-CCM wadaiwa kutaka kutoana Roho

GE2025 VIDEO: Kimenuka Segerea, Ngumi zimepigwa, Wana-CCM wadaiwa kutaka kutoana Roho

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025
Wakuu!

Kuna video inayoenea mtandaoni ikidaiwa kuonyesha vurugu katika Jimbo la Segerea, ambapo inadaiwa ngumi zimepigwa na wana-CCM.

Nchi inanuka uvundo, upumbavu umekua ndiyo akili na akili imekuwa ndiyo upumbavu. Samia hatakiwi kuachwa kitini litakuwa kosa kubwa sana kufuata matakwa ya Rostam azizi na genge lake ambao wao siyo watanzania wanajua nchi ikichafuka wanapanda ndege kwenda kula bata
 
Wakuu!

Kuna video inayoenea mtandaoni ikidaiwa kuonyesha vurugu katika Jimbo la Segerea, ambapo inadaiwa ngumi zimepigwa na wana-CCM.

Duh,
Kama fisi wanaogombania mzoga,

Kuna mtu alisema "...wakimalizana nasi wategeukiana wao kwa wao".

Hapo policcm hawatii pua
 
Back
Top Bottom