Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 56,842
- 46,351
Wivu tuu mwambieni yule wa bosi wenu athubutu kusimama jukwaani kama anaweza ongea bila karatasi ya kuandikiwa na kuhesabu herufi. Ndani ya CHADEMA kila mmoja ni jembe.
Mkuu hayo yote watu hawajakataa wanacho hoji Josephine anafanya ziara ya kichama kama nani tupe cheo chake.
Last edited by a moderator: