VIDEO: Josephine Mushumbusi akihutubia Singida Mjini

VIDEO: Josephine Mushumbusi akihutubia Singida Mjini

mbona mushumbuzi hana shida kabisa?? kama vp unayelalamika nenda na ww ukapige debe

Shida sio Mushumbusi as a person. By the way, she is a very wonderful person. Tatizo ni pale rasilimali za chama zinazotokana na ruzuku ya walipa kodi zinapotumiwa kinyume na taratibu zilizowekwa ambazo tumekubaliana wenyewe katika vikao rasmi.
 
Mrs Babu anakula pesa za chadema tu.Mbulula wapo kimya wanyanyue midomo kama hawajatimuliwa kwenye sacoos ya chadema.Kawe ndo anachokiota sasa hivi
 
Huna hoja...
We una hoja mbona umefirisika umeona hata thread zinazoanzishwa kwa jina lako halisi hazifikishi post 20 ha ha ha finito kajenge chama chenu acha uzumbukuku na utapambana na wana CCM February ndio utajua wame ku X
 
Mrs Babu anakula pesa za chadema tu.Mbulula wapo kimya wanyanyue midomo kama hawajatimuliwa kwenye sacoos ya chadema.Kawe ndo anachokiota sasa hivi

Mkuu, huyu Kawe hana chake. Halima ni kisiki cha mpingo.
 
Shida sio Mushumbusi as a person. By the way, she is a very wonderful person. Tatizo ni pale rasilimali za chama zinazotokana na ruzuku ya walipa kodi zinapotumiwa kinyume na taratibu zilizowekwa ambazo tumekubaliana wenyewe katika vikao rasmi.

Unjustified allegations kwa nini usirudi kwenye vikao vyenu wewe ni mharibifu umeshindwa kutumia mitandao unakuja kuattack personalities sasa sisi tumo kwenye vikao vyenu mwanaume mmbeya kama nini
 
Huyu mama ana matusi ya reja reja,amewaambia watu wa Singida wanaitwa chumbani na kupewa tsh 25,000 na 50,000.Hii si kauli ya kiistaarabu hata kidogo sidhani kama anaweza akaitamka kwa wake zake Karatu.
 
Si ndio siasa au siasa ni pale tuu anakuwa sio Josephine mukiambiwa Slaa ni raisi munakataa ,sasa kama sio Raisi iweje Josephine asishiriki siasa kama anataka si alikutana na Slaa bungeni

mungu huoyo usimguse
 
Katika makosa makubwa anayofanya Josephine ni kutumia cheo cha Slaa kumchafua Mdee. Lakini Mdee never loses, we know her and we trust her capacity.
Mdee ni msomi mzuri sijani kama kichwani mwake mumejaa pumba kiasi cha kwamba atakubali hii propaganda unayotaka kuijenga wewe unamtumia hata mama yako kuhalalisha unayoyaleta hapa hata wakati wa kifo cha Regia ulisema alitoka kwa mama yako kumbe haikuwa kweli Halima kama alikengeuka kukuamini mpaka sasa atajua munadanganya, Halima ajikite akajenge chama Kawe kama akizembea kukuamini wewe janga la la kisiasa atajutia mwenyewe
 
Ukiona Molemo anajibu kwa kifupi hivyo ujue hana hoja. Actually na yeye ni miongoni mwa waathirika wa chama kuingiliwa na Mushumbusi ila ameamua tu "kufunika kombe mwanaharamu apite".

Mkuu ZeMarcopolo kwa kuwa umenipointi nitasema....Josephine Mushumbusi ni Kamanda na mpambanaji asiyechoka mfano wa Winie Mandela alivyokuwa anapambana wakati mumewe akiwa jela.

Laiti ningekuwa na mamlaka ndani ya Chadema ningesema chama kimtengee bajeti maalum ya kuzunguka mikoani kuhamasisha kinamama ambao bado wamefunikwa na blanketi la woga.

Josephine Mushumbusi alimwaga damu yake wakati alipopigwa kinyama mkoani Arusha mwaka juzi wakati akipigania chama chake cha Chadema.

Josephine Mushumbusi ni zaidi ya mama wa Chadema,nina mpango wa kupeleka maombi maalumu kwenye Kamati Kuu ya Chadema kuangalia namna ya kumtumia mpambanaji huyu asiyechoka kukiimarisha chama mikoani.
 
Last edited by a moderator:
Ndio tatizo la kuchanganya mapenzi na kazi.
 
Hivi Josephine, ni nani ndani ya Chadema hiyo ziara nani kampa ruksa.
 
Last edited by a moderator:
Katika makosa makubwa anayofanya Josephine ni kutumia cheo cha Slaa kumchafua Mdee. Lakini Mdee never loses, we know her and we trust her capacity.

Mtapika propaganda sana lakini hamtaweza kumhadaa Mdee.
 
Kwani kuna kosa gani mwanachadema kuhutubia?
 
Mkuu ZeMarcopolo kwa kuwa umenipointi nitasema....Josephine Mushumbusi ni Kamanda na mpambanaji asiyechoka mfano wa Winie Mandela alivyokuwa anapambana wakati mumewe akiwa jela.

Laiti ningekuwa na mamlaka ndani ya Chadema ningesema chama kimtengee bajeti maalum ya kuzunguka mikoani kuhamasisha kinamama ambao bado wamefunikwa na blanketi la woga.

Josephine Mushumbusi alimwaga damu yake wakati alipopigwa kinyama mkoani Arusha mwaka juzi wakati akipigania chama chake cha Chadema.

Josephine Mushumbusi ni zaidi ya mama wa Chadema,nina mpango wa kupeleka maombi maalumu kwenye Kamati Kuu ya Chadema kuangalia namna ya kumtumia mpambanaji huyu asiyechoka kukiimarisha chama mikoani.
Sio bure una maslahi binafsi katika hili.
 
Back
Top Bottom