Kama ni tusi iwe zawadi kwa familia yenu yote.
Mkuu Mingoi mi siwezi kukutukana wewe maana yake mtu anaejuwa ukweli huku anapindisha
Kama ni tusi iwe zawadi kwa familia yenu yote.
Hivi Padri anaruhusiwa kuwa na Girlfriend ?
Sisi wa Singida kwa kuwashobokea mabilionea hatujambo,ndo maana Nyalandu na Dewji kazi yao kumwaga mihela tayari wameshinda.2015 mtamtutambua,mnatudanganya na mihela kidogo huko mnasimamia mihela mingi ikitoroshwa na wajanja.Katika hotuba nzima anawananga wana singida kwa kumchagua Dewji, nadhani hapa ndiko chadema wanapokosea, yeye alitakiwa awambie wana singida mjini kama watachagua chadema kuna jambo gani la maana zaid itawafanyie kuliko Billionea Dewji. au awatolee mfano wa jimbo linaloongozwa na Tundu Lisu wamefanya kadha wa kadha sio kuwalazimisha na kuichagua CDM wawaongezee umaskini.
Mke wa Rais ajaye anaruhusiwa kutangaza siasa na kuzungukazunguka lakini mke wa Rais aliyeoko madaraka anatakiwa kukaa ndani siasa kwake mwiko??????????????
Sikiliza video clip sio unatetea ujinga au modem yako ina kb 45 unaogopa kudownload video?
MBONA HAMUMTUMI ZZK??? huyu anacheo gani ndani ya CDM??Wivu mbaya na majungu ni uhaini.
Una uhakika gani ni hela ya chama inatumika? Can yo justify your claims?Tatizo siyo kuhutubia mkuu. Ugomvi wetu ni mambo mawili. Kwanza kutumia pesa za chama kwa maslahi binafsi kwa sababu anachokifanya siyo kazi ya chama ila ni kazi ya kujenga mtandao wake, pili ni kuabuse power kwa kupokelewa kama kiongozi wa kitaifa bila kuheshimu protocol.
Una uhakika gani ni hela ya chama inatumika? Can yo justify your claims?
du ivi aliolewaga lini na padrehivi jamani huyo mnaemuita babu si alimkuta huyu bibie akiwa kwenye harakati za kulikomboa hili taifa?? mlitaka alivyoolewa na Dr. aache harakati au?