VIDEO: Josephine Mushumbusi akihutubia Singida Mjini

VIDEO: Josephine Mushumbusi akihutubia Singida Mjini

yaani kwa ccm magufuli na mwakyembe ni virus, hawaendani na nyinyi na ujinga wenu, chama chote wachafu wasafi wanahesabika
Ndio demokrasia hata Chadema Zitto na shibuda hawajakubali kuburuzwa na siasa za kitwana.
 
Ukombozi upi wewe Tanzania tumepata uhuru wetu mwaka 1961.

Kna Lema wanawadanganya na msemo ya zaman ya kina Steven Biko. Eti Watanzania wanataka kukombolewa.

Ulikombolewa wewe na familia yako 2. na uhuru wa bendera!
 
Wanakoelekea CDM ni pagumu sana ukizingatia CCM wamejirekebisha sana kiasi cha kuwaaminisha wananchi kwamba wako makini kuliko CDM. kwa kweli kama CCM wataendelea kuwa wasikivu na wachapakazi hivi sijui CDM watatumia turufu gani 2015.

JUST IMAGINE MAGUFULI AU MWAKYEMBE NDIO MGOMBEA WA CCM 2015 unafikiri watu wengi watampigia nani?
inategemea cdm watamsimamisha nani,kama Zitto atakuwa ndio mgombea wa cdm basi cdm itashinda.
Lakini kama atasimamishwa mzee wakulamba ruzuku basi cdm itaangukia pua.


Sent from my GT-I9300 using Tapatalk 2
 
Last edited by a moderator:
Ukombozi upi wewe Tanzania tumepata uhuru wetu mwaka 1961.

Kina Lema wanawadanganya na misemo ya zamani ya kina Steven Biko. Eti Watanzania wanataka kukombolewa.

Ndugu yangu Ritz huwa nikisoma comments zako huwa nalaani ubemendwaji. Ni hali inayochangia mtu kudumaa mwili na akili.. Umekua ukitoa michango sana hapa jukwaani lakini ni kama michango ya tumboni ambayo umeinywea dawa pasi na timing.. Nchi bado haijapata ukobozi kamili, stil tu uhuru wa bendera..theluthi tu ya watanzania ndio wanaoishi maisha yenye staha,,lakini nchi imeshikwa na mafisadi ambao rasili mali za nchi wamezigeuza zao,angalia maisha ya wananyamongo,geita angalia pale merereni ni maeneo yenye madini lakini kuna ufukara wa kutupwa.. tunapodai haki tunapigwa na vitu vyenye ncha kali au kutupwa msitu wa pande, elimu ya vijana wetu ni ya kuvizia kijana anamaliza form four ukimuuliza swali anaandika bongofleva..unafikiri kama nchi ingekuwa na uhuru kamili unafikiri meno ya vipusa yangepelekwa kuuza makontena kwa makontena?ivi unafikiri hela za epa zingeliwa na wapuuzi wachache? Nasema wana wa hili taifa wapo katika mood ya mabadiliko, tunahitaji uhuru wetu kutoka kwa mkoloni mweusi ambae ni CCM, hizi movement zimetiwa kiberiti usifikiri kukejeli wanaharakati unzima harakati zaidi zaidi unawatia hasira,usifikiri kukejeli na kupinga hizi harakati inasaidia kupunguza kasi laa hasha ni sawa na kuziba tundu la panya kwa mkate ndugu, usifikiri kuwakejeli makamanda itasaidia kupunguza harakati za kuelekea mabadiliko zaidi zaidi unatia benzin katika mapambano yaliyokwisha pigwa kiberiti.. Vita hii nyepesi sanaaa.
 
Last edited by a moderator:
UKISIKIA MASALIA ANAMWITA MAMA SLAA HAWARA Ujue amezaliwa nje ya ndoa au hamjui baba yake
 
UKISIKIA MASALIA ANAMWITA MAMA SLAA HAWARA Ujue amezaliwa nje ya ndoa au hamjui baba yake
Hawara ni neno fasaha la kiswahili sasa sijui unapinga na nini,wewe una uhakika gani kama umetokana na ndoa? mwenye kujua baba wa mtoto ni mama mfuate mama yako akuthibitishie baba yako.
 
Hii ni mojawapo ya video za harakati za Josephine Mushumbusi kuusuka mtandao wa wagombea ubunge wa Chadema wa uchaguzi mkuu wa 2015.

Haijafahamika nafasi ya Josephine katika chama,
lakini imeelezwa kuwa amekuwa akipewa heshima zote kama kiongozi wa kitaifa katika wilaya anazotembelea, huku akitumia gari la chama lenye bendera na wasaidizi.



kazi ipo hawa MACDM wameishiwa kwelikweli na tunasubiri Lissu aje apambane na billionea Dewji kipenzi cha wanasingida uwe mwisho wake kisiasa maana Ikungi kumemshinda na hakika anajua hawezi pita...njoo mjini Dewji akupige. Hawamuwezi Dewji amefanya na atafanya mengi sijuwi Lisu kawafanyia nini zaidi ya kuhamasisha wanyaturu kufukia visima huku akiwaacha solemba...Lissu kwa hakika huna chako.
 
Last edited by a moderator:
Hawara ni neno fasaha la kiswahili sasa sijui unapinga na nini,wewe una uhakika gani kama umetokana na ndoa? mwenye kujua baba wa mtoto ni mama mfuate mama yako akuthibitishie baba yako.

Kwani ninani huyo Josephine kama sio Hawara...huitaji kuwa na degree kujua hilo...ukipenda kitu unakuwa mbumbumbu...nawwe basi kama hujuwi hilo basi nawe ni outgrower...
 
Wanakoelekea CDM ni pagumu sana ukizingatia CCM wamejirekebisha sana kiasi cha kuwaaminisha wananchi kwamba wako makini kuliko CDM. kwa kweli kama CCM wataendelea kuwa wasikivu na wachapakazi hivi sijui CDM watatumia turufu gani 2015.

JUST IMAGINE MAGUFULI AU MWAKYEMBE NDIO MGOMBEA WA CCM 2015 unafikiri watu wengi watampigia nani?

MKUU!kwa magufuli hapana!!
 
Kwani ninani huyo Josephine kama sio Hawara...huitaji kuwa na degree kujua hilo...ukipenda kitu unakuwa mbumbumbu...nawwe basi kama hujuwi hilo basi nawe ni outgrower...
Mkuu,taratibu kabla kupost rejea bandiko #168
 
Mada za kipumbavu hizi, sasa kosa lipo wapi kwa mtu kuhutubia?
 
Hawara ni neno fasaha la kiswahili sasa sijui unapinga na nini,wewe una uhakika gani kama umetokana na ndoa? mwenye kujua baba wa mtoto ni mama mfuate mama yako akuthibitishie baba yako.

Mingoi nakuheshimu sana lakini kwa hili nakufananisha na munaulu kwa kiluga chetu.....
 
Mkuu hayo yote watu hawajakataa wanacho hoji Josephine anafanya ziara ya kichama kama nani tupe cheo chake.

Mkuu Ritz sie watu wa Singida tumempokea Josephine kama HAWARA na si vinginevyo hata BK wanajua hilo na Maaskofu wote wanajua......lakini kwa kina Shayo...shirima watajua watakavyo muita hlo halihusu.
 
Last edited by a moderator:
Sijui mkuu naomba utafahamishe.


Mkuu na msema kweli milele...Ritz ndugu yangu josephine na Babu wanacheza ule mchezo wa kombolela......mtu mzima hovyoooooo sasa anataka nasisi tuwe Wazinifu...laanatulah
 
Back
Top Bottom