VIDEO: Josephine Mushumbusi akihutubia Singida Mjini

VIDEO: Josephine Mushumbusi akihutubia Singida Mjini

Mbona huongelei salma kikwete hapo juzi alipofungua mkutano pale AICC,ana cheo gani katika nchi hii?Acha udaku na umbea.Huu ni wakati wa ukombozi toka kwa wakoloni weusi.
Hii ni mojawapo ya video za harakati za Josephine Mushumbusi kuusuka mtandao wa wagombea ubunge wa Chadema wa uchaguzi mkuu wa 2015.

Haijafahamika nafasi ya Josephine katika chama, lakini imeelezwa kuwa amekuwa akipewa heshima zote kama kiongozi wa kitaifa katika wilaya anazotembelea, huku akitumia gari la chama lenye bendera na wasaidizi.

 
Last edited by a moderator:
Wanaombeza Josephine ni watu wenye fikra fupi sana. Kama mnashindwa kufanya kazi ya kuwaelemisha watanzania rwaelewe wahoji matumizi ya rasilimali zao ili serikali ifanye kazi kwa ufanisi nchi itoke kwenye lindi la umaskini mnakuja kuchambua mambo madogo kama kinamama wanaosutana uswahili mmeishiwa fikra kuliko hata wale wanaouza twiga zetu nchi za nje.
Hivi Josephine si mtanzania? Si mwanachama wa CDM? Je, ni wangapi wanachama wa CDM wanafanya kazi za chama bila kutumia rasilimali za chama? Si kwamba kuna wengine wanajitolea pasipo kuuliza chama kitawapa nini?
Kuna makundi mawili yanayoshiriki huu upuuzi 1. Watu wa ccm wenye fikra fupi. Hawa angalau unaweza kuelewa kwa kuwa ni watu wa ccm wanatetea uovu wa chama chao kiovu na mtu yeyote atakayepita kwenye anga hizo za kuwatolea mfupa mdomoni lazima wapambane naye hata kwa hoja za kipuuzi.
2. Watu wa CDM waliokosa sifa za uzalendo badala yake wangetegemea CDM kuwa kitega uchumi kwao. Hawa ndio wengi na ndio walioibua hoja ya Josephine wakifikiri kazi anazofanya wangepewa wao. Kwao siasa ni sehemu ya kuwapatia kipato na mtu anayekuja kufanya kazi za chama tofauti na wao anawazibia ulaji.
Hawa ndio ninaosema wana vichwa vya samaki. Badala ya kushikana kujenga chama wao wanaangalia nani anafaidi pesa za ruzuku. Mwenzao hata angejitahidi kiasi gani kuliko hata wao ambavyo wangefanya wao watamponda kwa hasira zao za kukosa ruzuku. Watu hawa wangependa umaarufu wao kupitia chama uimarike ili majina yao kwenye jamii ya watanzania izidi kutukuka au ijulikane. Sasa malengo yao yanafifishwa na wale wanaofanya kazi ya chama. Hawa kweli wanafaa kuwa wanachama wa ccm. Waende huko watapata nafasi ya kula wakati wakombozi hawajachukua nchi. Hawana maana kwa taifa zaidi ya kuwa makupe.
 
Wanaombeza Josephine ni watu wenye fikra fupi sana. Kama mnashindwa kufanya kazi ya kuwaelemisha watanzania rwaelewe wahoji matumizi ya rasilimali zao ili serikali ifanye kazi kwa ufanisi nchi itoke kwenye lindi la umaskini mnakuja kuchambua mambo madogo kama kinamama wanaosutana uswahili mmeishiwa fikra kuliko hata wale wanaouza twiga zetu nchi za nje.
Hivi Josephine si mtanzania? Si mwanachama wa CDM? Je, ni wangapi wanachama wa CDM wanafanya kazi za chama bila kutumia rasilimali za chama? Si kwamba kuna wengine wanajitolea pasipo kuuliza chama kitawapa nini?
Kuna makundi mawili yanayoshiriki huu upuuzi 1. Watu wa ccm wenye fikra fupi. Hawa angalau unaweza kuelewa kwa kuwa ni watu wa ccm wanatetea uovu wa chama chao kiovu na mtu yeyote atakayepita kwenye anga hizo za kuwatolea mfupa mdomoni lazima wapambane naye hata kwa hoja za kipuuzi.
2. Watu wa CDM waliokosa sifa za uzalendo badala yake wangetegemea CDM kuwa kitega uchumi kwao. Hawa ndio wengi na ndio walioibua hoja ya Josephine wakifikiri kazi anazofanya wangepewa wao. Kwao siasa ni sehemu ya kuwapatia kipato na mtu anayekuja kufanya kazi za chama tofauti na wao anawazibia ulaji.
Hawa ndio ninaosema wana vichwa vya samaki. Badala ya kushikana kujenga chama wao wanaangalia nani anafaidi pesa za ruzuku. Mwenzao hata angejitahidi kiasi gani kuliko hata wao ambavyo wangefanya wao watamponda kwa hasira zao za kukosa ruzuku. Watu hawa wangependa umaarufu wao kupitia chama uimarike ili majina yao kwenye jamii ya watanzania izidi kutukuka au ijulikane. Sasa malengo yao yanafifishwa na wale wanaofanya kazi ya chama. Hawa kweli wanafaa kuwa wanachama wa ccm. Waende huko watapata nafasi ya kula wakati wakombozi hawajachukua nchi. Hawana maana kwa taifa zaidi ya kuwa makupe.

Yaani wewe ndio hujui kabisa kinachoendela. Soma posts za wadau utaelewa kinachozungumzwa, la sivyo kalagha bhao...
 
Sasa ulitaka akuige wewe usiye na girl friend wala mke? kama unaona wivu oa kisha umfundishe mkeo kuiga mapose yako, very simple!!

Swala la kama nina mke, kuoa au kutokuoa wala lisikupe shida.

Kwa wenye fikra pana wanapoona mwanamke ambaye ana copy & paste character on everything in order to impress boyfriend wake achilia mbali mme ni ishara kamilifu kama hayo mahusiano yana uwalakini. In other word, mahusiano tegemezi.
 
Kazi ya kuijenga CDM ni ya kila mwanachama wake,hata we na demu wako mnaruhusiwa ili mradi 2 taratibu zifuatwe
 
Hii ni mojawapo ya video za harakati za Josephine Mushumbusi kuusuka mtandao wa wagombea ubunge wa Chadema wa uchaguzi mkuu wa 2015.

Haijafahamika nafasi ya Josephine katika chama, lakini imeelezwa kuwa amekuwa akipewa heshima zote kama kiongozi wa kitaifa katika wilaya anazotembelea, huku akitumia gari la chama lenye bendera na wasaidizi.



Siungi mkono haya anayoyafanya mama yetu. Yaani ni mapema mno. Kwa nini asiwe low profile kama mama yetu Maria Nyerere. Haileti picha nzuri kwa chama ambacho kila mtanzania anaona ndiyo tumaini lililobaki. Ajitofautishe na hii mike ya magamba iliyotangulia
 
Last edited by a moderator:
Nionavyo mimi, kuna kufuja mali za uma na kufuja mali za chama, kati ya hawa wawili nani anapaswa kujadiliwa na uma wote kitaifa? Mali za chama zikifirisiwa chama kitakufa na kujiondoa ulingoni iwe faida kwa washindani wa chama hicho, lakini mali za taifa sikifirisiwaje?!
 
Hii ni mojawapo ya video za harakati za Josephine Mushumbusi kuusuka mtandao wa wagombea ubunge wa Chadema wa uchaguzi mkuu wa 2015.

Haijafahamika nafasi ya Josephine katika chama, lakini imeelezwa kuwa amekuwa akipewa heshima zote kama kiongozi wa kitaifa katika wilaya anazotembelea, huku akitumia gari la chama lenye bendera na wasaidizi.



Acha unafiki wewe! Josephine ccm mnamjua, kama umemsahau basi jikumbushe siku mlipo fanya mauaji ya kinyama jijini arusha, Josephine alipigwa ngeo, akalowa damu, picha yake ni moja wapo ya picha eleleshi juu ya udhalimu wa serkali ya ccm na vyombo vyake vya mabavu dhidi ya raia, ambazo zimefika hadi nje ya mipaka ya nchi yetu huko kwenye vyombo vya kimataifa vya kutetea haki za raia, sasa kama hajulikani kwenu kwa nini mlimpasua kichwa??
 
Last edited by a moderator:
Wanakoelekea CDM ni pagumu sana ukizingatia CCM wamejirekebisha sana kiasi cha kuwaaminisha wananchi kwamba wako makini kuliko CDM. kwa kweli kama CCM wataendelea kuwa wasikivu na wachapakazi hivi sijui CDM watatumia turufu gani 2015.

JUST IMAGINE MAGUFULI AU MWAKYEMBE NDIO MGOMBEA WA CCM 2015 unafikiri watu wengi watampigia nani?

ccm waakili kuliko wanavyofikiri chadema..... ngoja mje muone 2015...hizi m4c zenu zitakuwa bure tu
 
Acha unafiki wewe! Josephine ccm mnamjua, kama umemsahau basi jikumbushe siku mlipo fanya mauaji ya kinyama jijini arusha, Josephine alipigwa ngeo, akalowa damu, picha yake ni moja wapo ya picha eleleshi juu ya udhalimu wa serkali ya ccm na vyombo vyake vya mabavu dhidi ya raia, ambazo zimefika hadi nje ya mipaka ya nchi yetu huko kwenye vyombo vya kimataifa vya kutetea haki za raia, sasa kama hajulikani kwenu kwa nini mlimpasua kichwa??
Sasa ulitegemea nini kwa ngozi iliyobadilishwa kutoka rangi halisi kwenda nyeupe mbele ya kibao cha kijana wa kikuria toka FFU?
 
Dr. Slaa amepewa adhabu gani kwa

1. kujikopesha pesa za ruzuku kwa matumizi yake binafsi?

2. Kumlipa Josephine Mushumbusi mamilioni kwa kazi anayooita ya kujitolea?

3. Kutumia rasilimali za chama kumtuma Josephine Mushumbusi kujenga mtandao wa Slaa mikoani?

Adhabu Chadema zinatolewa kwa mafungu. Hivi mnadhani Josephine Mushumbusi alikuwa anazunguka mikoani bila kuwa na mkakati ulioandaliwa maalum na timu ya watu?
 
Wanaombeza Josephine ni watu wenye fikra fupi sana. Kama mnashindwa kufanya kazi ya kuwaelemisha watanzania rwaelewe wahoji matumizi ya rasilimali zao ili serikali ifanye kazi kwa ufanisi nchi itoke kwenye lindi la umaskini mnakuja kuchambua mambo madogo kama kinamama wanaosutana uswahili mmeishiwa fikra kuliko hata wale wanaouza twiga zetu nchi za nje.
Hivi Josephine si mtanzania? Si mwanachama wa CDM? Je, ni wangapi wanachama wa CDM wanafanya kazi za chama bila kutumia rasilimali za chama? Si kwamba kuna wengine wanajitolea pasipo kuuliza chama kitawapa nini?
Kuna makundi mawili yanayoshiriki huu upuuzi 1. Watu wa ccm wenye fikra fupi. Hawa angalau unaweza kuelewa kwa kuwa ni watu wa ccm wanatetea uovu wa chama chao kiovu na mtu yeyote atakayepita kwenye anga hizo za kuwatolea mfupa mdomoni lazima wapambane naye hata kwa hoja za kipuuzi.
2. Watu wa CDM waliokosa sifa za uzalendo badala yake wangetegemea CDM kuwa kitega uchumi kwao. Hawa ndio wengi na ndio walioibua hoja ya Josephine wakifikiri kazi anazofanya wangepewa wao. Kwao siasa ni sehemu ya kuwapatia kipato na mtu anayekuja kufanya kazi za chama tofauti na wao anawazibia ulaji.
Hawa ndio ninaosema wana vichwa vya samaki. Badala ya kushikana kujenga chama wao wanaangalia nani anafaidi pesa za ruzuku. Mwenzao hata angejitahidi kiasi gani kuliko hata wao ambavyo wangefanya wao watamponda kwa hasira zao za kukosa ruzuku. Watu hawa wangependa umaarufu wao kupitia chama uimarike ili majina yao kwenye jamii ya watanzania izidi kutukuka au ijulikane. Sasa malengo yao yanafifishwa na wale wanaofanya kazi ya chama. Hawa kweli wanafaa kuwa wanachama wa ccm. Waende huko watapata nafasi ya kula wakati wakombozi hawajachukua nchi. Hawana maana kwa taifa zaidi ya kuwa makupe.
Bangi za kuanzia utotoni mbaya sana.
 
Back
Top Bottom