VIDEO: Josephine Mushumbusi akihutubia Singida Mjini

VIDEO: Josephine Mushumbusi akihutubia Singida Mjini

Mwambie aende Hanang akawaelimishe aone balaa lake.Kama hajashikilia mkononi nguo yake ya ndani
First lady wa mioyo ya watanzania. Acha awaelimishe watanzania kwani tumeibiwa na serikali ya ccm kama chambo.
 
ccm bana, mkibanwa, ama kweli mnaropoka, Pipooooz Pawaaaaaaaaaaaaaaa!
 
MwanaMama yuko kwenye mapambano ya uongozi ndani ya chama kupitia jukwaani. Who does'nt like Tsh140 million free loan with interest free

Baadhi ya viongozi,Wanachama na wapenzi wa CDM ni wepesi kuonyosha vidole kwa wengine pale linapokuja swala la matumizi ya raslimali lakini kwa huyu MwanaMama wako radhi kufumba macho kama hawaoni na kuzipa mdomo (cowardliness). Hii ina maana kuwa, dictatorial practises is well and truly with impunity within CDM machinery kwa 'wenye' CDM.

MwanaMama hata sauti, pose na presentation anajitahidi ku copy & paste kutoka kwa boyfriend wake.

The message is loud and clear. Fight against us and you'll face the consequences or Join us and keep your mouth shut, You'll be spared enough to make your life simple
 
Kuna babu anashangaa mdudu gani huyu anongea.yaani huyu hata house girl kwangu hafai.Hili ni janga la kitaifa kweli kutokuwepo kwa ajira watu wamevamia fani ambazo sio zao
 
MwanaMama yuko kwenye mapambano ya uongozi ndani ya chama kupitia jukwaani. Who does'nt like Tsh140 million free loan with interest free

Baadhi ya viongozi,Wanachama na wapenzi wa CDM ni wepesi kuonyosha vidole kwa wengine pale linapokuja swala la matumizi ya raslimali lakini kwa huyu MwanaMama wako radhi kufumba macho kama hawaoni na kuzipa mdomo (cowardliness). Hii ina maana kuwa, dictatorial practises is well and truly with impunity within CDM machinery kwa 'wenye' CDM.

MwanaMama hata sauti, pose na presentation anajitahidi ku copy & paste kutoka kwa boyfriend wake.

The message is loud and clear. Fight against us and you'll face the consequences or Join us and keep your mouth shut, You'll be spared enough to make your life simple

Sasa ulitaka akuige wewe usiye na girl friend wala mke? kama unaona wivu oa kisha umfundishe mkeo kuiga mapose yako, very simple!!
 
MwanaMama yuko kwenye mapambano ya uongozi ndani ya chama kupitia jukwaani. Who does'nt like Tsh140 million free loan with interest free

Baadhi ya viongozi,Wanachama na wapenzi wa CDM ni wepesi kuonyosha vidole kwa wengine pale linapokuja swala la matumizi ya raslimali lakini kwa huyu MwanaMama wako radhi kufumba macho kama hawaoni na kuzipa mdomo (cowardliness). Hii ina maana kuwa, dictatorial practises is well and truly with impunity within CDM machinery kwa 'wenye' CDM.

MwanaMama hata sauti, pose na presentation anajitahidi ku copy & paste kutoka kwa boyfriend wake.

The message is loud and clear. Fight against us and you'll face the consequences or Join us and keep your mouth shut, You'll be spared enough to make your life simple
Anagombe nini? Umbea tu! Sio uongozi ni ukombozi.
 
Una uhakika gani ni hela ya chama inatumika? Can yo justify your claims?

Acha kutumia miguu kufikiri wewe anatumia hela za babu ambaye anafanya kazi kanisani.....hiyo imekuingia kidogo akilini......
 
First lady wa mioyo ya watanzania. Acha awaelimishe watanzania kwani tumeibiwa na serikali ya ccm kama chambo.

Hv unajua maana First Lady...haya kwa mara ya kwanza nasikia Hawara kawa ist lady kavunja historia aah nshomile unatisha....na sio wa watz bali wa babu na wewe
 
Babu kashawekewa LIMBWATA la kanyigo hakurupuki hapo chezea nshomile wewe........na tutaona mwisho wake

Ninawasiwasi limbwata likiingia kwny harakati za kisiasa,tunaweza kuuza nchi. Kwn atakuwa ndye msemaji mkuu
 
Hii ni mojawapo ya video za harakati za Josephine Mushumbusi kuusuka mtandao wa wagombea ubunge wa Chadema wa uchaguzi mkuu wa 2015.

Haijafahamika nafasi ya Josephine katika chama, lakini imeelezwa kuwa amekuwa akipewa heshima zote kama kiongozi wa kitaifa katika wilaya anazotembelea, huku akitumia gari la chama lenye bendera na wasaidizi.



Mama salma hua tunamuona anatumia pesa ze2 walipakodi tena tunatukana na matusi kibao,huu ni u z.o.mbi ruzuku za chama kutumik na vimada kiholela.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu ZeMarcopolo kwa kuwa umenipointi nitasema....Josephine Mushumbusi ni Kamanda na mpambanaji asiyechoka mfano wa Winie Mandela alivyokuwa anapambana wakati mumewe akiwa jela.

Laiti ningekuwa na mamlaka ndani ya Chadema ningesema chama kimtengee bajeti maalum ya kuzunguka mikoani kuhamasisha kinamama ambao bado wamefunikwa na blanketi la woga.

Josephine Mushumbusi alimwaga damu yake wakati alipopigwa kinyama mkoani Arusha mwaka juzi wakati akipigania chama chake cha Chadema.

Josephine Mushumbusi ni zaidi ya mama wa Chadema,nina mpango wa kupeleka maombi maalumu kwenye Kamati Kuu ya Chadema kuangalia namna ya kumtumia mpambanaji huyu asiyechoka kukiimarisha chama mikoani.

"Winnie Mandela alivyokuwa anapambana mume wake akiwa jela" hahaha Mkuu MALemo na Mshumbusi ni mke wa Babu au ni HAWARA aka Girl Friend na hii utaikuta Tanzania tu BABU mwenye Mchumba
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom