Video: Jinsi wanufaika wa utawala wanavyowafanya Viongozi wa kisiasa kuwa miungu watu

Hapa ni iliyo kuwa Zaire kipindi cha nyuma wanufaika wa rais wa zamani wa nchi hiyo wanavyo muimbia nyimbo za mapambio.

Tabia hizi ni za kibinafsi sana kwani ni kujirahisishia au kujisafishia njia kwa bwana mkubwa ili kuyajaza matumbo yao.

Hii tabia haina nafasi tena kwenye karne hii tuliyo nayo.


Uchafuzi Mkuu Tanzania wa tarehe 28 Oktoba 2020 unatupeleka huko.
 
Lengo la post ni kumpiga nyundo JPM , lakn jaman si tulipiga kampeni wote , tukatukana tukahamasishana , tukazomea .... Mda wa kupiga kura ukafika wananchi wakapanga foleni , matokeo yakatoka, wengine wakaamua kuondka kwenda ughaibuni Kula Maisha , JPM amebak na kuweka Sawa Serikali yake nasi wananchi tupo tunapambana na Maisha kupata mkate wa kila siku.

Lakn bado mnamuita dikteta, analambwa miguu , duuuh Aya bhana
Wewe kwa akili na utashi wako,hivi pale palikuwa na kura au uchaguzi au kiini macho,uchaguzi huru na wahaki tokea mwanzo wapinzani wameenguliwa sehemu kibao na wakiulalamika wanaambiwa wamekosea kujaza fomu,hivi inamaana wanaokoseaga fomu ni wapinzani tu,haya ni wangapi wameshikwa wakiingiza kura feki wakati wa kupiga kura,na polisi ndio watetezi wakuu wa mpango mzima bado unasema palikuwa na uchaguzi au uchafuzi, kwa hiyo hamna tofauti ya Mabutu na Meko
 
Vijana tuache kulalamika mitandaoni bila kuchukua hatua. Uchaguzi huu naweza kusema ulikua wa haki na huru.
Wengi wenu mlipiga kura mitandaoni kabla ya tarehe 28 na mkaamini kabisa mtu mnaemtaka atashinda kwa kishindo.
Bahati mbaya yetu sisi vijana tukaridhika na matokeo hayo na ilipofi siku ya uchaguzi tar 28 muamko wetu kupiga kura ulikua mdogo sana, wenyewe tumeona. Yaani hujaenda kupiga kura ila unasubir matokeo kwa hamu. Ni ujinga.
Kulalamika bila kuchukua hatua kila siku utapigwa KO
 
Sasa hapo ungemkuta Luambo Makiadi na gitaa lake ndiyo ungeshangaa kabisa anavyomsifu Mobutu.
Hapa kwetu siku hizi huwa tunaimba kale kanyimbo ketu pendwa kanasema hivi "Tuna Imani"

Tuna Imani na Magufuli Oyaa oyaaa oyaaa!
Tuna Imani na Lowassa Oyaa Oyaa Oyaaaaaa!

It's just a Monkey Business and a load of baloney.
Haya ndiyo matatizo ya Nchi za Ndabaningi yule wa iliyokuwa Rhodesia.
 
Watz wanaongoza kwa unafiki sema jiwe awajui anadhani wanampenda atakuja elewa siku mfumo ukimtupa atabakia alone Hakuna Cha tbc ya hiki ni kishindo Wala wapambe wanaomudu Wala shehe.
We chek yule shehe wa dar baada ya bashite mkono mtupu uswahiba uusikii tena . Bashite akipata teuzi lzm ajongee
 
Vijana tuache kulalamika mitandaoni bila kuchukua hatua. Uchaguzi huu naweza kusema ulikua wa haki na huru.
Wengi wenu mlipiga kura mitandaoni kabla ya tarehe 28 na mkaamini kabisa mtu mnaemtaka atashinda kwa kishindo.
Bahati mbaya yetu sisi vijana tukaridhika na matokeo hayo na ilipofi siku ya uchaguzi tar 28 muamko wetu kupiga kura ulikua mdogo sana, wenyewe tumeona. Yaani hujaenda kupiga kura ila unasubir matokeo kwa hamu. Ni ujinga.
Kulalamika bila kuchukua hatua kila siku utapigwa KO
But haiondoi ukweli halisi wa uchaguzi kubakwa wakiwa na matokeo yao tayari mfukoni
 
Mfano wa hayo maneno kwenye wimbi ni kama"ni yeye Lissu,tunaimani na Lissu,Lissu tuvushe,Lissu the greatest,Lissu kapigwa risasi 16 na ajafa Mungu kamleta aje awerais n,k.
akuna jipya Africa mambo yote kwa vyama vyote ni yaleyale.
 
Hapa ni iliyo kuwa Zaire kipindi cha nyuma wanufaika wa rais wa zamani wa nchi hiyo wanavyo muimbia nyimbo za mapambio.

Tabia hizi ni za kibinafsi sana kwani ni kujirahisishia au kujisafishia njia kwa bwana mkubwa ili kuyajaza matumbo yao.

Hii tabia haina nafasi tena kwenye karne hii tuliyo nayo.


Enzi hizo ilikuwa kawaida, hata sisi tulimsifu sana Nyerere, hadi mawaziri! Nyimbo za bendi redioni, kwaya, nyimbo za jeshini, mchakamchaka, mashairi nk

Kuna wakati hata tulisema zidumu fikra za mwenyekiti wa CCM. Nadhani Nyerere aliturekebisha kwamba tuseme zidumu fikra sahihi za mwenyekioti wa CCM, ili tusisifie fikra za matango pori, tofauti na Magufuli anataka kila kitu tumsifie kuwa anafanya sahihi, hata utoporo wake tusifu tu.

Hata juzi tu hapa

Ali Mwinyi awamu ya pili - tumpambe maua! - TOT
Alipata kura nyingi, ndugu Ali Hassan Mwinyi - OTTU Jazz Band
 
Sasa hapo ungemkuta Luambo Makiadi na gitaa lake ndiyo ungeshangaa kabisa anavyomsifu Mobutu.
Hapa kwetu siku hizi huwa tunaimba kale kanyimbo ketu pendwa kanasema hivi "Tuna Imani"

Tuna Imani na Magufuli Oyaa oyaaa oyaaa!
Tuna Imani na Lowassa Oyaa Oyaa Oyaaaaaa!

It's just a Monkey Business and a load of baloney.
Huo wimbo hajatungiwa Magufuli. Huu wimbo ulikuwepo tangu enzi za Mchonga na maraisi woote huimbiwa huu wimbo!
 
Hapa ni iliyo kuwa Zaire kipindi cha nyuma wanufaika wa rais wa zamani wa nchi hiyo wanavyo muimbia nyimbo za mapambio.

Tabia hizi ni za kibinafsi sana kwani ni kujirahisishia au kujisafishia njia kwa bwana mkubwa ili kuyajaza matumbo yao.

Hii tabia haina nafasi tena kwenye karne hii tuliyo nayo.


Majinga yote;yanayosifia na linalosifiwa!
 
Back
Top Bottom