issenye
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 3,781
- 5,205
Wameshanza kuiona kwenye bei ya saruji, tunasubiri kinachofuataBavicha lazima mkione cha moto mwaka huu
Wameshanza kuiona kwenye bei ya saruji, tunasubiri kinachofuataBavicha lazima mkione cha moto mwaka huu
Hapa ni iliyo kuwa Zaire kipindi cha nyuma wanufaika wa rais wa zamani wa nchi hiyo wanavyo muimbia nyimbo za mapambio.
Tabia hizi ni za kibinafsi sana kwani ni kujirahisishia au kujisafishia njia kwa bwana mkubwa ili kuyajaza matumbo yao.
Hii tabia haina nafasi tena kwenye karne hii tuliyo nayo.
CCM haina duka mkuu kila mtu anaisoma noWameshanza kuiona kwenye bei ya saruji, tunasubiri kinachofuata
Tumeshafika huko ukisikiliza watu kama akina masanja mkandamizaji unaona kabisa jinsi walivyojitoa ufahamuJe, Kwa maoni yako Tz tumefika au ndio tunakaribia
Mtawala wa kule nchi ya kusadikika anatamani utawala wa kina MaboutuMobutu ilikua kabla ya taarifa ya habari ya usiku kwny TV haijaanza anaonyeshwa akishuka kutoka mawinguni,nadhani soon ndicho kinachoenda kufanyika kule kwny nchi ya PORTLAND.
Umekuja Tena, tuliwaambia mkakojoe mlale watoto ile ngoma ya watu wazima hamuiwezi mkakaidi mkaleta Lissu na beberu wake mkapata kichapo Cha shoga mwizi Sasa umeanza za Mobutu.Hapa ni iliyo kuwa Zaire kipindi cha nyuma wanufaika wa rais wa zamani wa nchi hiyo wanavyo muimbia nyimbo za mapambio.
Tabia hizi ni za kibinafsi sana kwani ni kujirahisishia au kujisafishia njia kwa bwana mkubwa ili kuyajaza matumbo yao.
Hii tabia haina nafasi tena kwenye karne hii tuliyo nayo.
Inamaana wewe juzi ulipo chapwa kumbe ni shoga?Umekuja Tena, tuliwaambia mkakojoe mlale watoto ile ngoma ya watu wazima hamuiwezi mkakaidi mkaleta Lissu na beberu wake mkapata kichapo Cha shoga mwizi Sasa umeanza za Mobutu.
Vipi huko ukimbizini nyumbu pingapinga Fc wanaendeleaje?
Inamaana wewe juzi ulipo chapwa kumbe ni shoga?Umekuja Tena, tuliwaambia mkakojoe mlale watoto ile ngoma ya watu wazima hamuiwezi mkakaidi mkaleta Lissu na beberu wake mkapata kichapo Cha shoga mwizi Sasa umeanza za Mobutu.
Vipi huko ukimbizini nyumbu pingapinga Fc wanaendeleaje?
Hata enzi mobutu walinufaika hivyohivyo ila mwisho wao ulikuwa aibu na wa ubaya same will be to themIli mkono wao na familia zao uende kinywani