Hakukuwa na uchaguzi pale!, Watu walikuwa na matokeo yao mfukoniLengo la post ni kumpiga nyundo JPM , lakn jaman si tulipiga kampeni wote , tukatukana tukahamasishana , tukazomea .... Mda wa kupiga kura ukafika wananchi wakapanga foleni , matokeo yakatoka, wengine wakaamua kuondka kwenda ughaibuni Kula Maisha , JPM amebak na kuweka Sawa Serikali yake nasi wananchi tupo tunapambana na Maisha kupata mkate wa kila siku.
Lakn bado mnamuita dikteta, analambwa miguu , duuuh Aya bhana
Huko ufipa mna Mobutu wenu, mwenyekiti wa zabanga, mpaka atimulie madarakani maana hakuna kikomo Wala katiba kuhusu uenyekiti.Tumeshafika tangu miaka 4 iliyopita
Mbaya sana hii....Siyo kwamba wanamuimbia nyimbo za mapambio,la hasha!,hapo wanamuabudu
Kwani mkuu kuwa mfuasi wa mwanasiasa ni vibaya?Sasa hapo ungemkuta Luambo Makiadi na gitaa lake ndiyo ungeshangaa kabisa anavyomsifu Mobutu.
Hapa kwetu siku hizi huwa tunaimba kale kanyimbo ketu pendwa kanasema hivi "Tuna Imani"
Tuna Imani na Magufuli Oyaa oyaaa oyaaa!
Tuna Imani na Lowassa Oyaa Oyaa Oyaaaaaa!
It's just a Monkey Business and a load of baloney.
Hivi unayajua madhambi yaliyotendeka wakati wa uchaguzi au ndo kibaraka na mmoja wa malaika wa magu?Lengo la post ni kumpiga nyundo JPM , lakn jaman si tulipiga kampeni wote , tukatukana tukahamasishana , tukazomea .... Mda wa kupiga kura ukafika wananchi wakapanga foleni , matokeo yakatoka, wengine wakaamua kuondka kwenda ughaibuni Kula Maisha , JPM amebak na kuweka Sawa Serikali yake nasi wananchi tupo tunapambana na Maisha kupata mkate wa kila siku.
Lakn bado mnamuita dikteta, analambwa miguu , duuuh Aya bhana
Acha kutisha walio na akili kukuzidi weweHayo ni maoni yako na kama kuhukumiwa utahukumiwa nayo
Aliyofanya Tototundu na vibaraka vyake?Hivi unayajua madhambi yaliyotendeka wakati wa uchaguzi au ndo kibaraka na mmoja wa malaika wa magu?
Mkuu hapa umeongea na nimekujua in full colour why bavicha wakione Cha moto,kwa kosa gani, wamefanya nini, bavicha ni wakimbinzi ndani ya taifa hili,? Nani mwenye kumiliki taifa hiki? Je mkuu kwa maneno haya wamanisha,au watania mkuu?Bavicha lazima mkione cha moto mwaka huu
Then mfumo ukiwatupa usikii wakiimba tena,thus atumsikii bashite,kange,nkamia,musiba wakiendelea kusifu hata kwa kutoa viclip clip wa kuendelea kumsifu mungu wao sababu sio wanufaika tena. But kama wakirudishwa mezani tena lzm waendelee na unafiki tenaTatizo ni kundekeza njaaa
ExactlyThen mfumo ukiwatupa usikii wakiimba tena,thus atumsikii bashite,kange,nkamia,musiba wakiendelea kusifu hata kwa kutoa viclip clip wa kuendelea kumsifu mungu wao sababu sio wanufaika tena. But kama wakirudishwa mezani tena lzm waendelee na unafiki tena
Umekuja Tena, tuliwaambia mkakojoe mlale watoto ile ngoma ya watu wazima hamuiwezi mkakaidi mkaleta Lissu na beberu wake mkapata kichapo Cha shoga mwizi Sasa umeanza za Mobutu.
Vipi huko ukimbizini nyumbu pingapinga Fc wanaendeleaje?