Mwananchi Huru
JF-Expert Member
- Nov 20, 2021
- 1,448
- 1,003
Ngoja tuone kama ni kweli au uongo,
Wewe huna background ya International diplomacy wala journalism. Kwako ni sawa. Lakini wanaojua nisemalo.......wanajua!Nadhani hii haihusiana na kiwango cha elimu ya mtu,
Hakika nchi inafunguka kweli kweli chini ya Rais Samia Suluhu Hassan, Kwawale msiopenda nchi yetu ipate maendeleo kama mtaji wenu wa kisiasa awamu hii mtateseka sana.
<<<Angalia mpaka mwisho >>>
View attachment 2013760
Safi sana mwanakwetuDuuuh,
Kumbe lilikuwa bonge la ziara, Hongera Sana Rais Samia Mimi na familia yangu niko nawewe daima
Rais wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan ameipongeza ATCL kwa kupanua biashara ya usafiri na usafirishaji ya anga, hasa baada ya ATCL kuongeza safari zake za kibiashara kwa karibu mara tatu.
Rais Samia ameipongeza zaidi ATCL kwa kurejesha Safari za Kenya Nairobi tena kwa gharama ndogo ya KSh37,525 au $334 sawa na TZS 770, Two ways.
Lazima tufahanu kuwa mwendo huu wa kasi wa ATCL ni kabla ya ujio wa ndege mpya tano za kisasa zinazotarajiwa kuingia nchini ndani ya kipindi kifupi kijacho, hakika hakuna kama Rais Samia.
Hakika nchi inafunguka kweli kweli chini ya Rais Samia Suluhu Hassan, Kwawale msiopenda nchi yetu ipate maendeleo kama mtaji wenu wa kisiasa awamu hii mtateseka sana.
<<<Angalia mpaka mwisho >>>
View attachment 2013760
Kaziiendelee TanzaniaHakika nchi inafunguka kweli kweli chini ya Rais Samia Suluhu Hassan, Kwawale msiopenda nchi yetu ipate maendeleo kama mtaji wenu wa kisiasa awamu hii mtateseka sana.
<<<Angalia mpaka mwisho >>>
View attachment 2013760
Hakika nchi inafunguka kweli kweli chini ya Rais Samia Suluhu Hassan, Kwawale msiopenda nchi yetu ipate maendeleo kama mtaji wenu wa kisiasa awamu hii mtateseka sana.
<<<Angalia mpaka mwisho >>>
View attachment 2013760
Miradi yote iliyoachwa na Hayati Dkt John John Joseph Pombe Magufuli Rais Samia Suluhu Hassan anaitekeleza kwa 100%Kuna watu wanaumia sana nchi hii, Huenda wakaumia zaidi, Huyu mama anafanya zaidi ya matamanio na matarajio yao