sinza pazuri
JF-Expert Member
- Aug 16, 2014
- 2,525
- 7,374
Nimeona Chid analalamika kaimba na Diamond ila ajalipwa pesa.
Ni hivi Chid Benz ana wimbo unaitwa Tunaishi nao kamshilikisha Diamond Platnumz.
Chidi analalamika mtu ambaye kamshilikisha kwenye wimbo wake ajamlipa. How come mwenye wimbo anataka alipwe na aliyepewa colabo?
Diamond aliamua kuweka chorus baada ya kilio cha muda mrefu kuomba ampe colabo na amsaidie. Akaweka chorus na akamfanyia surprise as aliomba sana mpaka kwenye media wote mashaidi.
Akafanya nae makubaliano ya kuzunguka show zote za wasafi 2023. Pia kurekodi video ya wimbo kwa gharama za Diamond Platnumz. Promo ya project yote ilikuwa iwe chini ya Wasafi.
Mwisho wa siku wimbo haukutoka officially Chidibenz anataka alipwe na Diamond.
Kama kawaida ya wanafki wanamjaza Chidi ana akili nyingi kumuelewa lazima uwe genius 😂😂
Chidi waambie watanzania kilitokea nini Mwanza mpaka kila kitu kikafa?
Ni hivi Chid Benz ana wimbo unaitwa Tunaishi nao kamshilikisha Diamond Platnumz.
Chidi analalamika mtu ambaye kamshilikisha kwenye wimbo wake ajamlipa. How come mwenye wimbo anataka alipwe na aliyepewa colabo?
Diamond aliamua kuweka chorus baada ya kilio cha muda mrefu kuomba ampe colabo na amsaidie. Akaweka chorus na akamfanyia surprise as aliomba sana mpaka kwenye media wote mashaidi.
Akafanya nae makubaliano ya kuzunguka show zote za wasafi 2023. Pia kurekodi video ya wimbo kwa gharama za Diamond Platnumz. Promo ya project yote ilikuwa iwe chini ya Wasafi.
Mwisho wa siku wimbo haukutoka officially Chidibenz anataka alipwe na Diamond.
Kama kawaida ya wanafki wanamjaza Chidi ana akili nyingi kumuelewa lazima uwe genius 😂😂
Chidi waambie watanzania kilitokea nini Mwanza mpaka kila kitu kikafa?