Mbugi
JF-Expert Member
- Jan 7, 2011
- 1,488
- 258
Mbona Mnyika ana ghorofa tangi bovu yeye ni wa miaka mingapi? mh. wengine wanamiliki costa zaidi ya 10 kama mh wa tunduma- Kaka wacha majungu na siasa za makengeza sio nyie mliotuambia hapa kwamba utajiri wa Sugu ni halali maana alikuwa muimbaji wa muziki sasa hapa tofauti ni nini hasa ya hawa wanamuziki wawili kuwa na utajiri unaofanana? Sometimes mnakuwa na siasa za kuchekesha tulipouliza hapa kuhusu utajiri wa Sugu mlisema ni mwanamuziki sasa what is the problem hapa?
Le Mutuz