Le Mutuz Sugu anautajiri gani zaidi ya nyumba iliyoko mby na gari moja ya kutembelea
Nakumbuka Kuna watu wanasema bakhresa Na mengi walikuwa hohehahe km Vicky, Na mabilionea pale kariakoo waliochangamkia fursa za kwenda China walikuwa maskini vile vile
watu wengi sana wana pesa zaid ya hizo. Kama akikopa benki na kuwekeza kwenye biashara na ajira ikatumika kama collateral?
Ha ha haaaaaa Kama wanafanana sijui DNA inasemajeMwangalie Vizuri Huyo Wa Kiume Halafu Mwangalie Kwa Umakini Sana Riz Kisha Watafute Watoto Wa Mama Wa Taifa Utagundua Kuwa MJOMBA ktk 6 Kwa 6 Huwa Hana Masihara Ila Binafsi Nafurahi Mno Anavyowakanyaga Kwani Wanajipendekeza Wenyewe. Lakini Tuache Masihara Vicky Amesimama Acheni Awe Tajiri Kwani Wengi Sana Wanasubiri Kwake.
Mh jamani Kama kweli leteni DNA hukuuuu
Mhn!Halafu JK akakubali aitwe "Revocatus"?
Teh teh teh...Are you sure on that one?Zuga tu hiyo,
Dogo anaitwa Mrisho! !
alteza sh ngapi? mmmh
mix with yours
- Kaka wacha majungu na siasa za makengeza sio nyie mliotuambia hapa kwamba utajiri wa Sugu ni halali maana alikuwa muimbaji wa muziki sasa hapa tofauti ni nini hasa ya hawa wanamuziki wawili kuwa na utajiri unaofanana? Sometimes mnakuwa na siasa za kuchekesha tulipouliza hapa kuhusu utajiri wa Sugu mlisema ni mwanamuziki sasa what is the problem hapa?
Le Mutuz
- Kaka wacha majungu na siasa za makengeza sio nyie mliotuambia hapa kwamba utajiri wa Sugu ni halali maana alikuwa muimbaji wa muziki sasa hapa tofauti ni nini hasa ya hawa wanamuziki wawili kuwa na utajiri unaofanana? Sometimes mnakuwa na siasa za kuchekesha tulipouliza hapa kuhusu utajiri wa Sugu mlisema ni mwanamuziki sasa what is the problem hapa?
Le Mutuz