Vick Kamata: Utajiri hu unahitaji maelezo ya ziada

Vick Kamata: Utajiri hu unahitaji maelezo ya ziada

- Kaka wacha majungu na siasa za makengeza sio nyie mliotuambia hapa kwamba utajiri wa Sugu ni halali maana alikuwa muimbaji wa muziki sasa hapa tofauti ni nini hasa ya hawa wanamuziki wawili kuwa na utajiri unaofanana? Sometimes mnakuwa na siasa za kuchekesha tulipouliza hapa kuhusu utajiri wa Sugu mlisema ni mwanamuziki sasa what is the problem hapa?

Le Mutuz

Yaani Sugu kuwa na nyumba nzuri ndio unafananisha na jumba la kifahari la Mh Kamata??
Je Mh Kamata aliimba mziki kwa muda gani?? zaidi ya wimbo wa wanawake na maendeleo, unaweza taja nyimbo zake 10 zilizohitt?? Je Mh Sugu katoa albamu ngapi?? nyimbo ngapi zimehitt?? Je naye ile nyumba yake nzuri uloweka hapa mtandaoni ndio unataka kuilinganisha na jumba la ghorofa la kifahari la Mh Kamata???. Kama ni sawa kumlinganisha Tembo na pundamlia kwa kuwa wote ni wanyama wa mwitu??
Acha kujiposha kaka, hata ukiipenda CCM usifumbie macho maovu kwa sababu tunaoumia na ni sisiwananchi, labda kwa kua wewe ni mtoto wa kigogo wa chama hujui maisha wanayoishi watanzania maskini. Lakini ipo siku kiburi chenu kitakwisha
 
watu wengi sana wana pesa zaid ya hizo. Kama akikopa benki na kuwekeza kwenye biashara na ajira ikatumika kama collateral?

Nyerere aliharibu sana watu akili. Roho zetu zimekaa za kimaskini sana.
Mtu ana nyumba na mashamba sijui eti pia X5 basi kelele?
 
Le Mutuz,sometimes silence speaks louder than words,sio kila kitu uchangie.Hivi by the way 2015 unategemea kugombea jimbo gani? maana naona sera mpya ni Sioi-ism,naona mwenzio mtoto wa marehemu waziri wa fedha yuko ulingoni.

Alichelewa, angemdedisha dingi ili arithi ubunge, maana ndo mpango mzima siku hizi
 
Mwacheni dada'angu kakamata fursa na kutumia vzr!
conglaturations ilumbuye!
 
!
!
mbona huo ni utajiri mdogo sana kwa mama watoto wa mkuu wa kaya?....Rizone tu vile,mama yake mdogo aweje sasa?
 
safi sana Vick Kamata, uchumi unao kwa nini uukalie tu.
 
Mnamwandama wa nini? Kwani mlitaka akatae? Mwenye makosa sio yeye, hakuna hata mmoja wenu anaeweza kataa fursa ya upendeleo na kudai eti hastahili, wakumwandama na maswali ni huyo mnaedhani anamfanyia hivyo vitu "bila kustahili" na sijui mna point gani za kufikiri hastahili.
Dada anajituma na ni strategic thinker wacha afaidi! Kwanza mimi nikipata demu kama huyo wacha aninyonye tu anatumia uwanawake wake and to me thats her God given right. Kalakabaho!
Anaempa ndio muulize anatoa wapi lakini sio anaepokea na kufanya investments zake yeye haimhusu.
 
Vicky world..
 

Attachments

  • Vicky2.jpg
    Vicky2.jpg
    8.8 KB · Views: 475
  • Vicky3.jpg
    Vicky3.jpg
    10.3 KB · Views: 467
- Punguzeni siasa za makengeza Sugu na huyu dada wote walikuwa wanamuziki ni sawa kabisa kuwa na huo utajiri walionao!!

Le Mutuz

Mkuu, mafanikio ya Kamata kwenye muziki ni madogo ukilinganisha na ya Sugu!
 
Back
Top Bottom