MoPlan
JF-Expert Member
- Dec 31, 2011
- 907
- 661
haya twende kazi sasa hapo@Watu8. kaja
Naona huyo wa kulia kakosa miwani tu na kashaanza kurithi kukenuakenua kama Mangunga wa Msoga!! Ukimvalisha na yale mapete na hiyo height yake ni full copy,Wacha Rizimoko awe busy na ufisadi,ana wadogo zake kama 25 hivi!!!
Last edited by a moderator: