Vichwa Hivi vya Azania Viliishia Wapi?

Vichwa Hivi vya Azania Viliishia Wapi?

Azania class, 2000-2003, niweke kumbukumbu sawa, mwaka wetu ilitoka point saba ya rashidi tulisindo, 8 mmoja ya jamaa mmoja sauti kubwa anaitwa aloyce mtenga, tisa zilikuwa nyingi ila naikumbuka mmoja ya albert maira,katika hawa maira alirudi na point tatu form six, nawasilisha
 
Dah! Mmefikiria nn? Hivi mchwampaka yupo? Kuna kipindi nilisikia alimchapa jamaa akamvuta korodan akaandikwa sana kwenye magazet
 
Dah! Nilihamia 1997 Kidato 3!! Mwalimu Ambaye Alikuwa Mkali Na Msumbufu Ni MCHWAMPAKA!! Sijui Kama Yupo Hai Na Wapi!! Kama Alivyokuwa Mwl. NYAU La Utani, Jina Lake HALISI Nimelisahau Alikuwepo Pale TAMBAZA!!! Uzuri Nimesoma Shule Zote 2 O level!!!! Drs 1 Na REGNARLD MUNISI Yule Wa CHADEMA Sijui Meneja Wa UCHAGUZI!!!! Azania Boys!! Not Now Shule Zote Zina Mademu KIBAO!!
 
Dah! Nilihamia 1997 Kidato 3!! Mwalimu Ambaye Alikuwa Mkali Na Msumbufu Ni MCHWAMPAKA!! Sijui Kama Yupo Hai Na Wapi!! Kama Alivyokuwa Mwl. NYAU La Utani, Jina Lake HALISI Nimelisahau Alikuwepo Pale TAMBAZA!!! Uzuri Nimesoma Shule Zote 2 O level!!!! Drs 1 Na REGNARLD MUNISI Yule Wa CHADEMA Sijui Meneja Wa UCHAGUZI!!!! Azania Boys!! Not Now Shule Zote Zina Mademu KIBAO!!
Braza shikamoo me ndo nipo azania mpk sa iv pale nasoma mkuu wetu ni ngozye unampata ?
 
Mr Kwayu nimekutana nae juzi maeneo ya Sanene Segerea..kastaafu..aisee tuliongea mengi na mkuu na kukumbusha enzi zile...yuko peace sana the former Headmaster
Bonge La Headmaster! Cool, Hana Makelele Wala Vurugu!! Hata Tambaza Alikuwa Mr Shio Yaani Same 2 Mr Kwayu!!! Alafu Miaka Hiyo Ya 90 Shule Hizi 2 Zilikuwa Na Makamanda Wa Ubabe Mno!! Kila Siku Mapambano!! Tambaza Wakiwaita Azania Ni Mabishoo Na Wenyewe Wagumu!!! Eti No Pasi, Kiatu No Kiwi Wala Soksi, Kichwani Upara Au No Kitana!!! Dah!! 1994 Hiyo Ni Noma!!! Nimekumbuka MAJEMBE Yangu, Mengi Leo Ni Madaktari Sehemu Mbali Mbali!!!
 
Bonge La Headmaster! Cool, Hana Makelele Wala Vurugu!! Hata Tambaza Alikuwa Mr Shio Yaani Same 2 Mr Kwayu!!! Alafu Miaka Hiyo Ya 90 Shule Hizi 2 Zilikuwa Na Makamanda Wa Ubabe Mno!! Kila Siku Mapambano!! Tambaza Wakiwaita Azania Ni Mabishoo Na Wenyewe Wagumu!!! Eti No Pasi, Kiatu No Kiwi Wala Soksi, Kichwani Upara Au No Kitana!!! Dah!! 1994 Hiyo Ni Noma!!! Nimekumbuka MAJEMBE Yangu, Mengi Leo Ni Madaktari Sehemu Mbali Mbali!!!
Aisee kumbe humu Jf mpo watu wakubwa nahis me ni mdogo peke yangu
Vp lakini azania kipind hicho mlikuwa na session
 
Braza shikamoo me ndo nipo azania mpk sa iv pale nasoma mkuu wetu ni ngozye unampata ?
Marhaba Dogo!! KITAMBO Full Misosi, Taaluma Iko JUU!! Fujo Zilipokuwa Kubwa Ndio Mkaletewa "WACHUMBA " High Level!! Kuanza Tambaza Na Baadae Azania!! Na TAALUMA Ikazima Hapo!!! Shule Ikiwa Boys Ni HATARI Kitaaluma!!! Piga Book Dogo!!
 
Marhaba Dogo!! KITAMBO Full Misosi, Taaluma Iko JUU!! Fujo Zilipokuwa Kubwa Ndio Mkaletewa "WACHUMBA " High Level!! Kuanza Tambaza Na Baadae Azania!! Na TAALUMA Ikazima Hapo!!! Shule Ikiwa Boys Ni HATARI Kitaaluma!!! Piga Book Dogo!!
Hawa walimu unawafaham
Mwalim issaya kitambo pale anapiga hesabu
Kuna huyu bibi wetu wa biology advance
 
Aisee kumbe humu Jf mpo watu wakubwa nahis me ni mdogo peke yangu
Vp lakini azania kipind hicho mlikuwa na session
....hahahahahaha...dogo umenifurahisha ulivyokuwa mpole!...humu kuna hadi babu zako!
...ila kazeni!..siku hizi mmekuwa urojo sana!
 
Wadau, headboy wa Azaboyz kwenye miaka ya mwanzo ya 90, kwa jina Michael, yuko wapi siku hizi?
 
Mimi sitasahau wanafunzi waliomaliza o-level mwaka 1997, waliweka rekodi ya division one 124, rekodi hii haijavunjwa mpaka leo hapo Azania. Tena wawili kati yao walipata one points 7, mmoja kati yao ya waliopata one ya 7 ni member wa Jamíi forum.

Na mtu huyo ni wewe.
 
Ebwana kweli ww unamjua vizuri, mchizi Kaboka, mpaka umekumbuka jina lake, nikweli alisoma O-level Azania na A_level Tambaza. Unakumbuka jinsi mchizi alipokuwa anasoma tuition bure kule Jangwani kwa kina Babangida na Mudi?
Chaka letu mchikichini, nasikia siku hizi wakina mudi physics hawapo huko tena, kumefungwa, ya kweli haya!?
 
Back
Top Bottom