Kwa kawe idadi inatisha, yako majina Ni mazito has a, wasiwasi wangu watalogana sana wagombea, mdee atapita kati yao.wagombea 180+ unakosaje mgawanyiko?Naona Gwajima kapata mpinzani wa kweli.
Mbowe na chadema walizingua Sana kupokea mamluki. Ona Sasa bila haya Wala Soni watu wanagombania Sonia la ubwabwa!Mbowe aliingiza mamluki wengi chamani, Mashinji+Lowasa
Safari hii wasukuma wamevamia dar kwa ubunge duh, Kule kigamboni Ni hatarHuyu ndo haswaa anaetakiwa na mkuu awepo pale.
wasukuma ni taifa kubwa.Safari hii wasukuma wamevamia dar kwa ubunge duh, Kule kigamboni Ni hatar
Wampitishe banah
Hivi huu mwaka mbona kwenye kura za maoni kutakuwa Buchani
Damu itaruka sana sa a
Kawe itakuw na wagombea 180+ , watu wanalilia marupurupu ya ubunge...wamegundua ccm usiposhinda unashindishwa
huyu rofa nae anautaka?
Mashinji aliingizwa na lowasa maana ni mtu wake wa karibu sanaMbowe aliingiza mamluki wengi chamani, Mashinji+Lowasa
KAWE TUKO NA CHADEMA TU
Mashinji ni moja ya makatibu was hovyo kuwahi tokea CDM!
Mtake msitake huyo ndiye Mbunge wenu mtarajiwa wa Kawe, Mdee atapigwa asubuhi tuHuyu Jamaa anampandisha Halima Mdee ghadhabu, Halafu Mimi sijawahi kumuelewa tangu akiwa CDM,Ni wazi huyu anaamini katika Vyeti vyake ambavyo hawezi kuvitetea, Siasa haiwezi amepooza.
Kiifupi tu kwa Siasa siyo upande wake maana Hana mvuto, HAJUI kucheza na Audience, Hata Sauti ya Vocal Hana. Halima Kinachomsaidia Ni Ile Sauti yake ya mkwaruzo, Inaleta uhalisia,