Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,795
- 218,436
- Thread starter
- #41
labda katumwa na MwenyekitiHivi huyu mtu ana akili kweli? Kwa umaarufu upi aliyo nao Mashinji pale kawe?
labda katumwa na MwenyekitiHivi huyu mtu ana akili kweli? Kwa umaarufu upi aliyo nao Mashinji pale kawe?
Naunga mkono hojawasukuma ni taifa kubwa.
Mtu anapewa mafao alishaacha ubunge,lazima watu watamabi kuona hata ukifukuzwa ccm bado mafao ubaitiwa tuKawe itakuw na wagombea 180+ , watu wanalilia marupurupu ya ubunge...wamegundua ccm usiposhinda unashindishwa
Mtake msitake huyo ndiye Mbunge wenu mtarajiwa wa Kawe, Mdee atapigwa asubuhi tu
labda katumwa na Mwenyekiti
Gwajima katumwa na "roho mtakavitu "Hapo Gwajima katumwa na nani?
Lake mwenyewe, kashindwa kujenga kanisa mika karibu 10 yeye ana ndege na helikopita ila kanisa hapana,na watu bado wanatia sadakaGwajima katumwa na "roho mtakavitu "
Usiposhindishwa utateuliwaKawe itakuw na wagombea 180+ , watu wanalilia marupurupu ya ubunge...wamegundua ccm usiposhinda unashindishwa
Jiwe kampotezeahuyu rofa nae anautaka?
Yupi Mashinji...!! kule atapitishwa Gwajima kuchangamka kwa gwaji sio bureNaona Gwajima kapata mpinzani wa kweli.
Bhebhe chagulaga mayowasukuma ni taifa kubwa.
Mbowe jina kubwa. Akinguruma wanaotetemeka Ni wengi akiwemo karibu kata wa Manzese
Hakika... hakika...Gwajima katumwa na "roho mtakavitu "
Una uhakika?Kwahiyo alikuwa anasubiria na ' Kuvizia ' asikie wapi Mtu aliyekuwa akitajwa mno Kugombea Kawe RC Paul Makonda aliache ndipo nae agombee?
sijuiKwahiyo alikuwa anasubiria na ' Kuvizia ' asikie wapi Mtu aliyekuwa akitajwa mno Kugombea Kawe RC Paul Makonda aliache ndipo nae agombee?
Nadhani wengi wa hawa wanaojitokeza wameambiwa kwamba sharti kubwa la kufikiriwa kwao katika teuzi mbalimbali baada ya uchaguzi (wakiamini ushindi ni wao), ni kuonyesha nia ya kugombea.Kawe itakuw na wagombea 180+ , watu wanalilia marupurupu ya ubunge...wamegundua ccm usiposhinda unashindishwa
Naona Gwajima kapata mpinzani wa kweli.