Vibonzo vya mtume mohamadi mjini texas

Vibonzo vya mtume mohamadi mjini texas

Status
Not open for further replies.
Tatizo wanaenda kuwabuguzi wengine , kwa nn wavamie mahali watu wanachora kisa katuni imeandikwa Muhammad
Wakati kuna akina Muhammad's wengi ,

Bhanunu upo kumbe? long time no see!!
 
Last edited by a moderator:
Duh sasa hii ndio nini! mtu akichora mtume kabang anauliwa. ukikataa dini yao kabang unauliwa. sasa huyu mtume anayetetewa kwa kuuwa watu anapeleka watu ahera au kuzimuni. naamini hao wauaji wamepotoka sio mafundisho ya dini yao

Ndo wanavyoamriwa,msome mdau hapo juu!!
 
kuna uhuru wa habari wewe,hii kitu mbona iko tu magazetini.halafu kama dhambi si ni yangu.atakaechomwa moto si ni mimi bana,kinakuuma nini?

Sawa kama uhuru huo mnaoutaka mchore baba yako analawitiwa
 
Kuna mkina Muhammad's wengi duniani , wegine ni walevi , vibaka ,wazinzi , na wengine ni Mashoga kama unti Mudi
Sasa wanauhakika gani kama anechorwa ni huyo Mudi wa kwenywe kitabu vha Hadith

Bhanunu katika ubora wake ha ha ha!!
 
Last edited by a moderator:
Mada za kijinga, zisizokuwa na maana, zenye kejeli, chuki, dharau, majigambo, dhiaka, sifa, ubinafsi, matusi n.k ndizo ambazo zina washabiki wengi humu jamvini, kama hauamini stay tuned..... Hata wale ambao huwa hawachangii chochote utawaona nao wanajitokeza kuanza kutoa matusi kwa dini na imani nyingine. Jinsi inavyoonekana ni wazi kabisa hawa wazungu na waarabu wamejua kuteka na kuchezea akili za waafrika. Yaani waafrika tumekuwa kama mapumbavu fulani na hizi imani kisha cha kushangaza ni kwamba sijui kwenye nyumba za ibada somo kubwa linakuwa ni kutukana dini ya mwenzako ndio unakuwa unafutiwa madhambi, nashindwa kuelewa, maana yake unakuta mtu anataja kabisa iman yake kisha anatoa matusi kwa imani nyingine. Waafrika wenzangu humu jamvini ebu tuamke kwanza na kuachana na huu utumwa, kama unafuata iman fulani basi wewe endelea kuifuata, lakini jaribu angalau kuheshimu imani za wengine.
Yaani ukiangalia baadhi ya statements humu ndani unaweza hata kulia na kushangaa kweli watanzania wa jamiiforums tunaojiita Great Thinkers tumefikia huku.
Lakini mwisho wa siku naomba hizi chuki zenu mnazoonyeshana wazi ziishie humu humu kwenye keyboards na monitors, lakini zisifike mtaani manake itakuwa kama C.A.R vile.
Mungu wabariki watanzania wote, Mungu Bariki waafrika wote ili angalau tutokwe na hizi tongotongo.
 
Respect is (usually) a two way street. You can't go dropping bombs on a foreign land and demand respect while drawing offensive caricatures of a religious figure. With this you will never see peace and tranquility among all men. And to those who think you can bomb an ideology into submission... Ya let me know how that goes when you're still at it a few hundred years from now.
Now that I have said that, I won't be surprised at the responses I'll be getting...if any
 
utakua hujaziona picha za hawa jamaa (i mean cartoon)

Hata kama nimeziona siwezi kuumia na siwezi kulipa kisasi tatizo sio wao ni roho /mapepo ndio yanawasumbua.... Sisi mungu wetu ni wa upendo na amani kusamehe na kusahau,...waache hao Charlie hebdo wachore mpka wachoke bt wakristo hatuwez kulipiza kisasi
 
Leo nimemkumbuka yule mchungaji wa kimarekani ambaye alipanga kuchoma moto nakala million moja za qurani.
 
Kila mtu anzungumzia muhammadi, tuache kuongea bila mifano hai. Hebu aliyeona hiyo cartoon ya muhammad aitume hapa wote tuione.
Usijekuja wazungu wanacheza na akili za watu. Mimi binasfi sijaiona hiyo cartoon
 
wakristo hasa wakizungu kuchokozeka sio rahisi kwani imani yao hawaichukilii serious.
ila mfano huku waje na picha hizo za yesu wawe wanafanya na semina na makongamano na pia maonyesha ya picha kama hizo hadharani.
kina ngwajima wasipo react ntawaambia wanibatize hapohapo

Wakireact waende wakaue waislamu au una maana gani?
 
Kucheza na akili ya mtu ni kazi ndogo sana.
Unaweza kumjenga mtu tofauti katika imani yoyotr ile ambayo unauhakika itakuletea faida mbeleni.
Mfano mzuri huyo suspect sidhan kama ni muislam au amepandikizwa tu kuharibu hii dini.
Kumbuka katika vitabu vyote( holy bible & holy qur'an) hakuna verse iliyoamrisha kwamba ukiua basi utaenda peponi)
 
kama ni waislam waliofanya tukio hilo kwa sababu ya kulinda heshima ya mtume muhammad(saw) basi ni vizuri na Allah(sw) awape shahada na awafufue miongon mwa mashuhadaa wa uislamu na awajaalie jannatul firdaus inshaallah!!!! Ameen
 
Dini zingine bana wanauakika gani kama hiyo nikatuni ya Bwana Muhammad wakati hakuna anemjua
Muhamadi kwa Picha ,kweli hii dini wanaulemavu waakili

Kichwani kumejaa tope, wewe endelea kuamini yule aliyetundikwa pale msalabani na kuvaa pampas kuwa ni mungu wako na wewe ukachekela, sisi huo ujinga hatutaki.
 
Waendelee tu kuchora katuni za wafuasi wa Brian Deacon na dini zingine wanaopenda hata vijarida vyao vinavyohusiana na imani yao kuchorwa vikatuni
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom