They deserve a punch - Pope Francis
Bila shaka ww ni mfuasi wa DINI RAHISI, hongera
dini rahisi ni ushoga big usiiache maana utakaa kuume kwa mungu
kubatizwa hakukusaidii kitu kwa kufuata matakwa yako kwani uwe umebatizwa usiwe umebatizwa hauupunguzii wala kuuongezea chochote ukristo upo kamili tokea kuumbwa kwa dunia hivyo wa ku pay attention ni wewe na roho yako kuliko kitafanyika nini wakati hao wanachora. pili unanishangaza kusema eti kikiletwa Tanzania wakristo wa Tanzania watareact kwani ni mara ngapi waislamu wamechoma makanisa na kuwauwa viongozi wa kikristo lakini wakristo wapo wametulia sasa itakuwa kwa hicho kikaratasi ndio wakane tabia yao????? wakristo wanaongozwa na hekima na roho ya upole na unyenyekevu usifikiri hawasikii wala kuona madhihaka yanayofanywa dhidi ya imani yao hapa Tanzania bali ROHO ni mmoja anaowaongoza wakristo wote wa ulaya pamoja na wa Tanzania. juzi kanyewest ameibadili Bible nzima na kuondoa jina Mungu na kuliweka lake lakini umesikia hata mkristo mmoja akireact???? hata beyonce amefanya hivyo lakini hakuna chochote bali tunafanya maombi sababu tunajua roho inayomtawala ni ya shetani na shetani hashambuliwi kwa nguvu za kimwili.wakristo hasa wakizungu kuchokozeka sio rahisi kwani imani yao hawaichukilii serious.
ila mfano huku waje na picha hizo za yesu wawe wanafanya na semina na makongamano na pia maonyesha ya picha kama hizo hadharani.
kina ngwajima wasipo react ntawaambia wanibatize hapohapo
...kama wenzetu wangekuwa wamechorwa hivi wangelipua France yote... Sisi wakristo tumemwachia mungu anaetoa hukumu.![]()
jamaa bana,eti huyo wa mbele ni mungu,halafu wa nyuma yesu(cheki alama za misumali miguuni na mikononi,kisha taji).
halafu kwenye masabuli ya yesu kuna pembetatu ya freemasoni.
jamaa watata
...kama wenzetu wangekuwa wamechorwa hivi wangelipua France yote... Sisi wakristo tumemwachia mungu anaetoa hukumu
Dini zingine bana wanauakika gani kama hiyo nikatuni ya Bwana Muhammad wakati hakuna anemjua
Muhamadi kwa Picha ,kweli hii dini wanaulemavu waakili
Imeandikwa kuweni WAKALI KWA MAKAFIRI.Nando kinafanyika.Tuwe ubwabwa kama nyie ambao biblia imesema asiwepo mwanamke kiongozi wa dini,lkn Ndo kwanza mnajazana wawaombee(mama lwakatare).Usodoma na ugomora umejazana makanisani mpaka ndoa mnafunga afu mnajifanya mmeelimika na ustaarabu kumbe bure.Kwa matendo yenu haya...bora mnyama mbele ya mungu kuliko nyie.
Nimekufuatilia toka ulivyoweka hii kitu yako.wakristo hasa wakizungu kuchokozeka sio rahisi kwani imani yao hawaichukilii serious.
ila mfano huku waje na picha hizo za yesu wawe wanafanya na semina na makongamano na pia maonyesha ya picha kama hizo hadharani.
kina ngwajima wasipo react ntawaambia wanibatize hapohapo
kuna uhuru wa habari wewe,hii kitu mbona iko tu magazetini.halafu kama dhambi si ni yangu.atakaechomwa moto si ni mimi bana,kinakuuma nini?
utakua hujaziona picha za hawa jamaa (i mean cartoon)
Ipo siku utalia vibaya sana.
wakristo hasa wakizungu kuchokozeka sio rahisi kwani imani yao hawaichukilii serious.
ila mfano huku waje na picha hizo za yesu wawe wanafanya na semina na makongamano na pia maonyesha ya picha kama hizo hadharani.
kina ngwajima wasipo react ntawaambia wanibatize hapohapo
Nimekufuatilia toka ulivyoweka hii kitu yako.
unaonekana kama umekalia kitu chenye ncha kali.