Vibinda Digitali, Wanaume tuwe makini.....!!!!!????

Vibinda Digitali, Wanaume tuwe makini.....!!!!!????

Wanaume tunadanganywa sana, tuna bambikiwa mimba, tunadanganywa kwa mimba feki, MP feki, rangi ya ngiozi feki, nywele feki, kucha feki, kope feki, matsabury feki, wanawake feki aka mashoga! Kwa vile wamekuwa feki hatuna namna nyingine ya kufanya, nikupiga tu!

tunakoelekea kupata mwanamke oreginal itakuwa ishu kama ilivyo cm original now
 
mmh! sasa yote haya yanaletwa nini? na uzuri ni kwamba hawa magharibi aka wazungu wanajua kutushika aisee

Ulimbukeni wetu ndo unaotumaliza kwa kufanya kitu bila ya kuangalia hasara zake
 
Mwanaume mwerevu name anayejua nn anafanya sidhani kama ------ kwake ni dili.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom