Mtambuzi,
Kiatu hufanya nguo uliyovaa ishuke thamani ama ionekane ya thamani zaidi. Na kiatu pia huchukuliwa kawaida na watu wengi but viatu iwe kwa mwanamke ama mwanaume huongea lugha yake ya kipekee kabisa. Huwezi vaa viatu virefu kila mahala, ila bana mahala ambapo kiatu kirefu kinatakiwa ni kujikaza kwenda mbele but unakufa navyo hadi huko unakoenda kieleweke. Hiyo picha umeweka hapo, pamoja na uzuri wote na figure iliyo Perfect, kiatu kimecheza nafasi ya yeye kuwa more hot..
Mahala kama mtoko mkubwa wa usiku, Mkutano hasa hii ya Co-operate world, na sherehe mbali mbali hasa hizi za Cocktail ni lazima utokelezee na kiatu kirefu. Umuhimu huu ndio hasa unaeleza why akina dada/mama siku hizi wanatembea na viatu pair mbili, flat (sandals) na heels, akitoka tu nje ya mahala husika anaweka mbadala. Kiatu kirefu makes akina dada aonekane sexy and extra hot pia hata kuwa upo sophisticated Siku moja nikipata nafasi nitatoa viatu vya kike na kiume vya aina mbali mbali hutoa ujumbe gani kuhsu mhusika... Lol.