Viatu challenge

Viatu challenge

Huyo jamaa namuonaga kwenye threads nyingi akitoa majibu ya majidai/as If yeye ndio mjuaji wa kila kitu. Hata kwenye threads za jokes yeye anajifanya kuleta u-serious/ujuaji mwingi/umarekani mwingi.
Mbona easy tu anaweza akapita kimya kimya kama hajapendezwa na uzi.

Nahisi hazijatimia & nimemdharau rasmi kuanzia leo.
 
Huyo jamaa namuonaga kwenye threads nyingi akitoa majibu ya majidai/as If yeye ndio mjuaji wa kila kitu. Hata kwenye threads za jokes yeye anajifanya kuleta u-serious/ujuaji mwingi/umarekani mwingi.
Mbona easy tu anaweza akapita kimya kimya kama hajapendezwa na uzi.

Nahisi hazijatimia & nimemdharau rasmi kuanzia leo.
Hahaha msamehe pacha wangu, watu waliozoea kushika pesa huwa hawajui kuwa kuna maisha nje ya pesa
 
Huyo jamaa namuonaga kwenye threads nyingi akitoa majibu ya majidai/as If yeye ndio mjuaji wa kila kitu. Hata kwenye threads za jokes yeye anajifanya kuleta u-serious/ujuaji mwingi/umarekani mwingi.
Mbona easy tu anaweza akapita kimya kimya kama hajapendezwa na uzi.

Nahisi hazijatimia & nimemdharau rasmi kuanzia leo.
Mnachukulia mambo serious sana hata pale ambapo sio lazima
 
Kama ni hivo basi humu hamnazo wamejaa wengi sana
"kuna watu nawachukia tu" wanajidai sana, kazi kukopi nyuzi za watu"
Screenshot_20200403-165123_1.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo jamaa namuonaga kwenye threads nyingi akitoa majibu ya majidai/as If yeye ndio mjuaji wa kila kitu. Hata kwenye threads za jokes yeye anajifanya kuleta u-serious/ujuaji mwingi/umarekani mwingi.
Mbona easy tu anaweza akapita kimya kimya kama hajapendezwa na uzi.

Nahisi hazijatimia & nimemdharau rasmi kuanzia leo.
Jamaa yup Boss
 
Back
Top Bottom