Bushmamy
JF-Expert Member
- Aug 18, 2019
- 10,424
- 18,450
Bora sukari itachemkia kwenye chai.Bora mchele utaenda kuosha, anakupimia sukari
Anakufungia maandazi au skonzi 🤧🤧
Bora sukari itachemkia kwenye chai.Bora mchele utaenda kuosha, anakupimia sukari
DaahBora sukari itachemkia kwenye chai.
Anakufungia maandazi au skonzi![]()
Huyo jamaa namuonaga kwenye threads nyingi akitoa majibu ya majidai/as If yeye ndio mjuaji wa kila kitu. Hata kwenye threads za jokes yeye anajifanya kuleta u-serious/ujuaji mwingi/umarekani mwingi.We nae
Halafu sukari ilivyopanda bei bado tena mtu katia corona yake mumo humoBora mchele utaenda kuosha, anakupimia sukari
Hahaha msamehe pacha wangu, watu waliozoea kushika pesa huwa hawajui kuwa kuna maisha nje ya pesaHuyo jamaa namuonaga kwenye threads nyingi akitoa majibu ya majidai/as If yeye ndio mjuaji wa kila kitu. Hata kwenye threads za jokes yeye anajifanya kuleta u-serious/ujuaji mwingi/umarekani mwingi.
Mbona easy tu anaweza akapita kimya kimya kama hajapendezwa na uzi.
Nahisi hazijatimia & nimemdharau rasmi kuanzia leo.
Ni shida mwananguHalafu sukari ilivyopanda bei bado tena mtu katia corona yake mumo humo
Mnachukulia mambo serious sana hata pale ambapo sio lazimaHuyo jamaa namuonaga kwenye threads nyingi akitoa majibu ya majidai/as If yeye ndio mjuaji wa kila kitu. Hata kwenye threads za jokes yeye anajifanya kuleta u-serious/ujuaji mwingi/umarekani mwingi.
Mbona easy tu anaweza akapita kimya kimya kama hajapendezwa na uzi.
Nahisi hazijatimia & nimemdharau rasmi kuanzia leo.
Sawa mkuu. Nitamsamehe rasmi anzia kesho.Hahaha msamehe pacha wangu, watu waliozoea kushika pesa huwa hawajui kuwa kuna maisha nje ya pesa
Sio mara ya kwanza leo. May be hujui tambo na majigambo ya huyu memberMnachukulia mambo serious sana hata pale ambapo sio lazima
Namfahamu vizuriSio mara ya kwanza leo. May be hujui tambo na majigambo ya huyu member
"kuna watu nawachukia tu" wanajidai sana, kazi kukopi nyuzi za watu"Kama ni hivo basi humu hamnazo wamejaa wengi sana
sawaHuu ubunifu mngeutumia kuzalisha mali mngekuwa mabilionea 😀😀😀😀
Jamaa yup BossHuyo jamaa namuonaga kwenye threads nyingi akitoa majibu ya majidai/as If yeye ndio mjuaji wa kila kitu. Hata kwenye threads za jokes yeye anajifanya kuleta u-serious/ujuaji mwingi/umarekani mwingi.
Mbona easy tu anaweza akapita kimya kimya kama hajapendezwa na uzi.
Nahisi hazijatimia & nimemdharau rasmi kuanzia leo.
Hebu tuache. 😅
Leo nilikuwa sina mood nzuri lakini imenibidi nicheke tu.