Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,450
- 203,041
yaan kila nilkiangalia kiatu kuna picha ya mtu inanijia kichwani
![]()
yaan kila nilkiangalia kiatu kuna picha ya mtu inanijia kichwani
![]()
Mi ni mzee naepitwa na fashioni
leteni za awamu ya 5,wanazingua
Itabidi niunge mkono juhudi tuNitajitahidi kukufanya uendane na kasi ya awamu ya 5
Hahahaha hiyo midole sasa jamani sio kwa kunichoka huko
Nitaunga mkono kwa niaba yakoItabidi niunge mkono juhudi tu
AsanteeNitaunga mkono kwa niaba yako
Kwa hiyo?mkuu kwani kuna tatizo gani mtu akitoa content social media nyingine ? mbona mimi hua natoa story kwenye vyombo vya habari nakuja kusimulia huku
Sent using Jamii Forums mobile app
We naeHuu ubunifu mngeutumia kuzalisha mali mngekuwa mabilionea 😀😀😀😀
Kwa father babuVinci ulimuona wapii
Huyo ndio unamkuta dukani ankupimia mchele
Bora mchele utaenda kuosha, anakupimia sukariHuyo ndio unamkuta dukani ankupimia mchele