ukichukua baseline data June,2012...ukaendelea na 'mchakato' wako kimyakiya.....utengeneze na ku-issue hizo ID June,2016.....data zako zitakuwa reliable kiasi gani? wangapi watakuwa washakufa? washahama? washahamia? washazaliwa? iwe mvua au jua, serikali imekurupuka??? haijui ifanye nini iache nini??? ili wazee mfisadi lazima m'buni mradi, ndio kama huu!!! mwisho wenu utakuwa m'baya, endeleeni kutetea wizi!!!
tanzania ya leo sio kama ile ya zamani.
Labda zoezi hili linasubiri lisainiwe na jk na kuzinduliwa na bilali na kutekelezwa na pinda.
Je kuna kitu ambacho serikali ya Tanzania inaweza kufanya vizuri? Je vitambulisho viko wapi wakati wananchi waliambiwa pesa imeshategwa na zoezi limeongelewa kwa miaka karibu kumi sasa. Pesa ilikuwa imeshategwa kwanani? Kwasababu ya vitambulisho au kwa mafisadi!. Ndiyo maana wengi tunasema kusubiri serikali kufanya vitu hatutaendelea ina bidi tupunguze kazi za serikali na mambo mengine yafanywe na serikali za mitaa au hata kampuni binafsi. Serikali imetumia pesa kujilipa mishahara ya watu wengi kwenye mradi lakini vitambulisho hakuna watasema hile pesa walioweka haipo na wanataka pesa nyingine!!