Viatambulisho Vya Taifa viko wapi tena!! Pesa ilikuwepo vipii!

Nadhani na hoja ya msingi tanzania kumekuwa na wapiga domo sana lakini hakuna kinachokamilika Kama hakuna pesa
mradi walianzisha wa nini pili Mbona tunaambiwa kodi sasa ni makusanjo ni billion 780 zinakwenda wapi hau wanagawana
kwani Huyu mradi wa nida tuliambiwa ni billion 2000 ni pesa ya weeky moja ya makusanjo Tatizo letu ni ufisadi ambao upo
kwenye damu na ufisadi huu autakaa uishe Watu wanataka madaraka hili waibe sasa huduma za jamii wanasisahau
 
gobore Maelezo kama haya ndio siyapendagi mimi!!ndio kauli za ccm especially JK always,maelezo ya kijanjajanja,..mbona hawakuyaeleza yote haya wakati wanaanza na kabla ya kuanza,..utasubiri milele,magamba washapiga hii hela nakwambia
 
Last edited by a moderator:
ukichukua baseline data June,2012...ukaendelea na 'mchakato' wako kimyakiya.....utengeneze na ku-issue hizo ID June,2016.....data zako zitakuwa reliable kiasi gani? wangapi watakuwa washakufa? washahama? washahamia? washazaliwa? iwe mvua au jua, serikali imekurupuka??? haijui ifanye nini iache nini??? ili wazee mfisadi lazima m'buni mradi, ndio kama huu!!! mwisho wenu utakuwa m'baya, endeleeni kutetea wizi!!!

Well said.....
 
Je kuna kitu ambacho serikali ya Tanzania inaweza kufanya vizuri? Je vitambulisho viko wapi wakati wananchi waliambiwa pesa imeshategwa na zoezi limeongelewa kwa miaka karibu kumi sasa. Pesa ilikuwa imeshategwa kwanani? Kwasababu ya vitambulisho au kwa mafisadi!. Ndiyo maana wengi tunasema kusubiri serikali kufanya vitu hatutaendelea ina bidi tupunguze kazi za serikali na mambo mengine yafanywe na serikali za mitaa au hata kampuni binafsi. Serikali imetumia pesa kujilipa mishahara ya watu wengi kwenye mradi lakini vitambulisho hakuna watasema hile pesa walioweka haipo na wanataka pesa nyingine!!

Naona wanavichakachua kwanza ndiyo waendelee
 
Back
Top Bottom