Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 26,833
- 50,016
Jibunu kwa facts sio kumbeza mtoa mada.
Mimi sikushangai hasa ukiwa unaongea ki sayansi ila ukija upande wa uumbaji wa Mungu nadhani facts ni nyingi kuliko huko kwenye sayansi. Jambo moja tuu ujiulize katika evolution zote hizo kwanini wanyama hajawa rational compared na binadamu mpka leo?
Mimi sikushangai hasa ukiwa unaongea ki sayansi ila ukija upande wa uumbaji wa Mungu nadhani facts ni nyingi kuliko huko kwenye sayansi. Jambo moja tuu ujiulize katika evolution zote hizo kwanini wanyama hajawa rational compared na binadamu mpka leo?