FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 36,062
- 40,723
- Thread starter
- #21
Hakuna aliyebisha, ila si uumbaji wa kila kitu kwa muda huo huo, bali viumbe vili-branch out toka kwenye aina moja ya kiymbe na kuwa vingi tofauti. Niambie kwa mfano, mifupa ya miguu inafanya nini kwenye mwili wa nyangumi asiye na miguu?Kila kiumbe kimeumbwa kwa namna yake.Kwaiyo kila kiumbe kilivyo ndivyo kilivyotakiwa kuwa.Na Mungu ndiye dizaina na injinia wa hivyo vyote.Zaidi ya hapo ni porojo tu za watu.