'Vestiges' kwenye miili ya wanyama, ushahidi tosha kwamba hatukuumbwa, bali tuli-'evolve' kuwa tulivyo

Basis ya permanent phenotypic changes ni Genotypic adaption. Temporary phenotypic adaptions huwa haziwi included genome ndani ya muda mfupi, ili phenotypic adaptions ziweze kuwa included kwenye genes na hivyo kuwa permanent inahitaji muda mrefu ranging from malaki to millions of years
Sasa kwa maana hiyo hii discussion ipo nullified, sababu Ni miaka mingapi tokea dunia imetokea? Kama Ni laki au million je Kuna kiumbe chochote kimetokea au kuonyesha dalili(practically) au Ndiyo hivi literally tunaamini kila kitu.
 
sasa lini sisi hivyo vi mkia vilifanya kazi ? au ndo vinaota mdogo mdogo miaka ijayo vifanye kazi ?
Evolution inaendelea, ila observable changes huchukua millions of years, binadamu gani ataishi hiyo miaka yote ili aweze ku-observe hizo changes?
 
Haina kazi, ile mifupa ni vestige iliyobaki katika evolution yake ya kutoka kutembea ardhini hadi kuogelea baharini, imechukua millions of years, na bado after several milion years hata hiyo mifupa itakuja kupotea kabisa, if you don't use it, lose it, hiyo ndio guiding principle ya evolution.
hahahahahhaha mzee no vivid evidence kuhusu hizo theory.
 
jamaa unajibu ki siasa mnoo mzee hakuna jibu lenye nyama hata kidogo, majibu yako yooote flat screen wakati watu wanataka majibu msambwanda
Probably Mungu aliumba kiumbe cha kwanza ambacho kilikuwa single celled na kika-evolve na kubranch out kuwa viumbe vyote tunavyovijua leo.

Pia mabadiliko ya kiwango cha vinasaba huweza kuchukua mamiliini ya miaka, kwahiyo usitegemee kuona sokwe akibadilika ndani ya uhai wako, wanaweza kuja kuwa the next super species na wao wakatuona sisi ndio kama manyani..
 
Viumbe wote inavyoonekana tulikuwa na ancestor mmoja ambae alikuwa ni single celled organism, na aka-develop into more complex forms na viumbe vika branch out kutokea hapo. Itakuwa Mungu aliumba huyo kiumbe wa kwanza na akaacha evokution iendelee tokea hapo.
Dah huyo kiumbe anafananaje
 
Sasa kwa maana hiyo hii discussion ipo nullified, sababu Ni miaka mingapi tokea dunia imetokea? Kama Ni laki au million je Kuna kiumbe chochote kimetokea au kuonyesha dalili(practically) au Ndiyo hivi literally tunaamini kila kitu.
Dunia ina miaka bilioni 4 plus, enough time for evolution to have taken place
 
Utumbo wa kiwango cha nya...

Evolution does not come from a vacuum..!

If we evolved, it means we were developed/changed from a certain type to what we are , this doesn’t debunk creation at all..
 
Utumbo wa kiwango cha nya...

Evolution does not come from a vacuum..!

If we evolved, it means we were developed/changed from a certain type to what we are , this doesn’t debunk creation at all..
Nimeshaeleza kwamba tulievolve toka kiumbe cha kwanza ambacho ni single celled hadi kuwa idadi na aina za viumbe vya sasa, nacho kiliumbwa
 
Aah aah dah yaani kitu kilichokuchanganya hata sijui nakuelekeza vipi ila ni kidogo tu.

Tafsiri ya miguu unaichukulia personal saana kwamba ni kitu kilicho chini ya kiuno inakuwa miwili na kazi yake ni kutembelea..

Kwa iyo ukiona kiumbe hakina kiuno ila mifupa ya miguu uniona unaanza pagawa.



Ghorofa ya kwako kwa nchwa ni kichuguu... Miguu ya nyangumi sio kama yako , na mkia wa kwako wewe sio kama wa ngedere na ndio maana maaana mishipa yoote ipo ikiwa na maana viungo vyoote vipo ila ni katika muonekano ambao bado wewe haujaukariri.

Cha msingi we relax tafuta pesa... Maisha magumu saana huku mtaani kama hauna kitu.. Kuwa mpole mengine yakupite tu kamanda
 
hata kama babu yake ni sokwe ajibu sokwe alitokea wapi ??? mbona leo sokwe hawageuki binadamu ?
Kama ingekuwa ni kweli wanabadilika basi tungeona viumbe waliobadilika hata kwa25% na sokwe wengine wangeshaanza kuongea!

Zamani nyoka alikuwa na miguu kabla hajampa jongoo! Teehh...
 
Kama ingekuwa ni kweli wanabadilika basi tungeona viumbe waliobadilika hata kwa25% na sokwe wengine wangeshaanza kuongea!

Zamani nyoka alikuwa na miguu kabla hajampa jongoo! Teehh...
Permanent observable changes katika evolution huchukua malaki hadi millions of years, mfano wa hivi karibuni ni sub species ya binadamu weupe iliyotoka kwa binadamu mweusi, baada ya wao kuondoka Afrika kwenye jua kali na kwenda kwenye mabara ya baridi ile melanin nyeusi kwenye ngozi inayotukinga na jua ikaanza kupungua kwenye ngozi zao kwa sababu zilikuwa hazihitajiki sana kwenye nchi za baridi na jua hafifu, eventually imepungua kiasi wakawa weupe, na hii ni katika miaka elfu kadhaa tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom