google helper
JF-Expert Member
- Jun 11, 2013
- 9,629
- 13,694
maswali haya ni mazuri sana ila akijibu uniiteUmesema kuwa Kama kiungo hakitumiki hupotea chenyewe.
Swali: Ni vipi Hawa masista na mapadre ambao hawajamiiani/hawazai. Je mfumo wao wa uzazi unapotea mwilini mwao? Yaani nyeti zao hubaki kwaajili ya kukojoa na kunya tu?