Hata mimi nilikuwa najiuliza anaumwa nini, lakini kwa jinsi watu walivyojibu sijapata jibu la maana mpaka sasa.
watanzania tuna roho mbaya ile mbaya....unafanyaje maskhara na maradh ya mwenzio,hujui anataabika jamani!
labda ana ngoma/miwaya
Aisee!ukijua alafu ikusaidie nn? Una ndugu zako wangapi je una'updates za apya zao.
Kweli kabisa mpendwa, wala haipendezi. Tunamwombea na naamini maombi yetu yatamwamsha tena!Kuna vitu vya kuleta utani, lakini kwenye hili tuache jokes, Joseph Shamba (vengu) anaumwa na anahitaji maombi yetu, kwa hali ya kawaida binadamu kupoteza fahamu kwa siku 21, ni mungu pekee anahitajika amponye, sasa mwenzetu yupo kwenye hali kama hii, baadhi yetu tunafanya mzaha HAIPENDEZI
ooh God hell our comedian vengu!
ooh God heal our comedian vengu!
kwani ngoma ina maajabu gani!!! We unayesema hivi mzima? Acheni kuropoka tu!ngoma,malaria kaswende,degedege ,na mengine yooote sawa tu, na sote tupo njia moja,unamcheka mwenzio wakati pua yako imeelekea udongoni? Mwisho wa yooote haya ni six feets under iwe una sukari ngwengwe,au huumwi kabisaa