sweetlady
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 16,947
- 8,409
Yupo muhimbili hospital.. Ukifika hapo utajua yupo ward gani!..Pole sana kaka Vengu. nilimsikia masanja akisema unaumwa lakini hakusema unaumwa nini na uko hospital gani. Ningejua uliko ningekuja kukuona. Yesu alisema "nilikuwa hospital humkuja kuniona ondokeni siwajui.'' Kama mfuasi wa mafundisho ya Yesu ningejua ulipo Bro ningekuja kukuona. Mungu akujalie Afya tena urudi chuoni na kwenye Original Komed. Tunakumiss sana.