Hats aimbe kama Madonna, jide no jide hakuna wa kumfananisha huyo anaiga, jide hamuigi mtu she is herselfngoma nzuri imekaa kimbele mbele sana sio kibongo bongo wakina mwajuma ndala ndefu hawatoielewa,apunguze ubeyonce kidogo,hizi za vannesa sio level za kina shishi trump wala jay dee wala snura teh teh teh komaa mdada ila verse ya kwanza ina sound km ngoma ya AY zigo....
hongera sana mama jux.
Nyie wa uswahilini mshawahi japo kwend kwenye show zake au hata kununua cd za Albamu zake?Yani tangu amepiga hizi nyimbo sijaona Kali zaidi ya hizi.
1. Hawajui
2. Siri ft barnaba
Ajipange tena zaidi. Hii cash Madame hakuna wa kusikiliza (sisi wa uswahilini)
Mmmmh ngoma nzuri ila umbele mbele mwingi!
Ningekuwa najua kuimba ningehakikisha nateka kwanza soko la ndani baaada ya hapo naelekea nje kama alivyofanya plutnumz!!
Kinyumbani nyumbani sidhani kama itateka nyoyo za watu labda huko ughaibuni
Show zake huwa anafanyia wapi? maana ktk wasanii wenye mkosi wa kutopata show na huyu mdada yupo anapigwa bao mpk na shishi trump.....tatizo sijui nini au uzungu?Nyie wa uswahilini mshawahi japo kwend kwenye show zake au hata kununua cd za Albamu zake?
Hizi nyimbo ajawalenga nyie...nyie size yenu Manfongo na Msaga Sumu.
Shishi ameshawahi kwenda MTV au project Coca cola!!!????Show zake huwa anafanyia wapi? maana ktk wasanii wenye mkosi wa kutopata show na huyu mdada yupo anapigwa bao mpk na shishi trump.....tatizo sijui nini au uzungu?
Wewe ndio mnafiki unayeshindwa kumwambia ukweli! Kuishi nje hakufanyi mtu ashindwe kuzungumza kiswahili au completely na swaga za mbeleKinyumbani wapo snura, shilole, mwasiti, isha mashauzi , linah , n.k
Mbona hamuwapi support? Mmejaa unafki tu..Vanessa kakulia nje ya nchi msimlazimishe awe kimanzese...
Lazima tofauti iwepo ukitaka asili wakina banana , mpoto , best naso , mataluma wapo , sie tunaopenda swaga mtuachie kina Vanessa , Navy kenzo na Shaa
Hizo show za Shishi za Fiesta na Maisha Club?!Show zake huwa anafanyia wapi? maana ktk wasanii wenye mkosi wa kutopata show na huyu mdada yupo anapigwa bao mpk na shishi trump.....tatizo sijui nini au uzungu?
yan hii nyimbo ni next levelKinyumbani wapo snura, shilole, mwasiti, isha mashauzi , linah , n.k
Mbona hamuwapi support? Mmejaa unafki tu..Vanessa kakulia nje ya nchi msimlazimishe awe kimanzese...
Lazima tofauti iwepo ukitaka asili wakina banana , mpoto , best naso , mataluma wapo , sie tunaopenda swaga mtuachie kina Vanessa , Navy kenzo na Shaa
Sijawahi kumuona msanii aliyejiweka kama Chris Brown,na kuvaa meno kwenye video zake .............. Lakini kama unamjua nijulishe,mi simjui.Vipi msanii wabongo anayejiweka kwa muonekano wa Chris Brown tena unakuta kavaa meno kama Birdman?
kwanini beat nyingi za bongofleva zinakuwa kama wanapiga ngoma iliyolowa? ngoja nikasikilize zangu sumu ya panya ya Dogo Nigga.
kivipi Aishah?Angalia usije kufa kwa kusikiliza simu sana
Sijawahi kumuona msanii aliyejiweka kama Chris Brown,na kuvaa meno kwenye video zake .............. Lakini kama unamjua nijulishe,mi simjui.