Valentines Special Thread 2017

Tusherehekee Valentino huku tukijihadhari na virus vya UKIMWI.Hii siku kuna baadhi ya watu wanaigeuza kuwa siku ya kugusanisha "positive and negative" charges Sorry to say this
 
Hahaaaa!! Yaani nimesubiri wee unitaje hata hunitaji, we haya tu!!
Atoto hata sijui aliko.
Una waume wa kukutosha humu, mimi ni nani nipate japo sehem ndogo ya moyo wako
 
As busy as we get, we need to be reminded that we are still sweethearts. Valentine’s Day is a good day for me to stop and realize how wonderful you make me feel. Happy Valentine’s Day Clkey
 
Happy valentine rubii. Mwenyezi Mungu akulinde na kukutunza. Zawadi yangu kwako ni kukuombea ili ufanikiwe katika kila utendalo,uwe na amani furaha maishani mwako.


Asante sana kipenzi
 
Tusherehekee Valentino huku tukijihadhari na virus vya UKIMWI.Hii siku kuna baadhi ya watu wanaigeuza kuwa siku ya kugusanisha "positive and negative" charges Sorry to say this
Kugusanisha wanagysanisha kila siku,leo mwendelezo tu
 
Una waume wa kukutosha humu, mimi ni nani nipate japo sehem ndogo ya moyo wako
Usinisingizie jamani!!
We nitaje tu hata ya uongoongo nafsi yangu iridhike.
 
nitachelewa bibi naomba wew wahi mim napatia supermakert kuangalia zawadi ikufaayo ....Maana leo najitolea kukupaa upendo kuliko watu wote JF ...usiniangushe bi mkubwa .
ukipata bimkubwa kama huyu akulee raha sana ....nahisi naikaribia bahati yangu .

Haya, saa ngapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…