Valentines Special Thread 2017

Mtumie ujumbe huu,

"Escobar amekutumia Tsh 1,000,000 ukafanye shopping ya valentines. Kama pesa itapungua usiogope kunicheck nikuongezee. Enjoy.
 
Mimi kwa dhati ya moyo wangu nakupa limau
 
= tukabarizi

Sawa, njoo pale swimming pool pub ya Kilimanjaro, agiza vinywaji unisubiri.
nitachelewa bibi naomba wew wahi mim napatia supermakert kuangalia zawadi ikufaayo ....Maana leo najitolea kukupaa upendo kuliko watu wote JF ...usiniangushe bi mkubwa .
ukipata bimkubwa kama huyu akulee raha sana ....nahisi naikaribia bahati yangu .
 
Cc: Madam B

Nakusubiri home...vipo vyooote uvipendavyo ewe moyo wangu.

Tukitoka home tutaenda Zanzibar kisha night club lakasa chika Tanga.
 
Salio lako jipya ni Tsh 500,000:umepokea Tsh 500,000 kutoka kwa Wakala - Mustapha Sailo kumbukumbu no.: CI.170104.1045.I4311619436. 14/02/17 08:24
 
..
Afadhali unautendea haki ubavu wako...wengine siujui wanafikiri tuliwazawadia tuuu
Ubavu wake mzee wa Mashushuooo Stunter ama? Haya na wewe Daby Leo umejipangaje kumtoa Lazizi out?
 
Naandika post [HASHTAG]#173[/HASHTAG]
Mimi hakuna aliyenitakia HV
hata kwa kunitusi tu jamani
Hafu kesho mnasema tuko sawa
Haya HV my castle lagger
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…